- Thread starter
- #21
kama sio kifafa basi atakuwa na damu chafu yaani hiv
kama haya ni kweli, kama ni kweli;
na hawa wakuu wa wwilaya itakuwaje?
kama sio kifafa basi atakuwa na damu chafu yaani hiv
Naanza kuliona tangazo la tanzia kwa mwana JF maana ninavyomjua hataacha hata baada ya mkwara huo mzitoAmetoa onyo akisema kuwa watu hao wasiendelee kumroga kwani pamoja na ulinzi ambao Kikwete anapatiwa na serikali, yeye amempatia ulinzi mwingine ambao hauonekani na atakayejaribu kumroga Kikwete litamkuta jambo ambalo yeye Sheikh Yahya asilaumiwe.
Hii kweli ni serikali ya mashetani, majini na walozi. Haya mambo hatukuwahi kuyasikia tangu Tanzania iwe huru, kwamba kiongozi wa serikali amerogwa. Leo yametoka wapi? Alipoanguka Mwanza na penyewe alirogwa? Alipoanguka jangwani mwaka 2005 na penyewe alimrogwa? Na nani? Who is sheik Yahya by the way katika utawala wa Kikwete? Ndiye anayemzindika? Hatuwezi kuiacha nchi yetu iongozwe na washirikina kama hawa, ndiyo maana mikosi haiishi katika nchi hii, ajali kila kukicha, umaskini kupindukia na majanga ya kila namna yanaiandama nchi yetu, kumbe ni kwa sababu CCM wanatufanya sisi matambiko. Go to hell CCM.
wapi umemsikia akisemea tupe source Mkuu, hatutaki umbeya hapa!
Mh! mh! kuna utata ngoja nifikirie:confused2:Mzima kama CHUMA ila sema tu Swaumu ya mara kwa mara huwa inamsumbua.........
We kweli bado unaishi enzi za mawe hujaelimika tu.Naanza kuliona tangazo la tanzia kwa mwana JF maana ninavyomjua hataacha hata baada ya mkwara huo mzito
wapi umemsikia akisemea tupe source Mkuu, hatutaki umbeya hapa!
Kama sio kifafa basi atakuwa na damu chafu yaani HIV