Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Vipi yule kijana wa chuo kikuu aliyeteswa na Heche mpaka wakataka kumfanyia kitu kibaya.
majungu
Vipi yule kijana wa chuo kikuu aliyeteswa na Heche mpaka wakataka kumfanyia kitu kibaya.
Anaetawaliwa na mjinga anakuwaje?
Kwi kwi kwi teh teh teh!
Kama una ushahidi kamanda Heche alitesa mtu tena msomi wa chuo kikuu saidianeni mfungue kesi, mbona Heche yupo anaendeleza harakati za M4C??
kazi na dawa. NyinyiEM wanahimiza hizo shughuli? M4C ndio hiyoHaya ndio yanayochangia umaskini..kila saa wabunge wenu wanawaza starehe tu badala ya kuhimiza shughuli za maendeleo
Vipi tena utaki tena gari kama la Fetty unaona wivu sema mkuu kama unataka mjini hapa watu watakuagizia jipya kuzidi la Fetty.
2015 anarudi mtaani huyo, ubunge ndio asahau kabisa. Bangi na siasa wapi na wapi.
Weweee!! tumewashitukia siku nyingi na huo mpango wenu wa kutufanya wajinga kwa shule zenu za kata ili tuendelee kuwa wajinga ili mtutawale vizuri. ndio maana mnajitokeza vifua mbele kutangaza idadi kubwa ya waliofaulu kumbe hawajui kusoma wala kuandika. pia mnakenua meno kwasababu walimu wamekubali kufundisha kwa kinyongo, kwasababu mnajua hawatafundisha elimu nzuri na kwahiyo mbumbu wataongezeka ili lengo lenu la kuifanya tz ni taifa la wajinga lifikiwe. Kumbuka Mungu anaona uovu wenu na majibu ni hivi karibuni.Anaetawaliwa na mjinga anakuwaje?
Kwi kwi kwi teh teh teh!
Na anaejiona mtawala uku anaendeshwa na mtawaliwa amambae ni mjinga inakuaje?unajisikiaje kumwona mwelevu haishi kulalamika kua mjinga anamgombanisha na watawaliwa?tafakari
Naendesha Gari kwa hela yangu ya kudunduliza na si ya kifisadi kama zenu! Hii made in japan inatosha nyie agizeni tu toka uk na mnapandisha kwenye ndege!! Nitasema kweli daima fitna,rushwa kwangu ni mwiko!
Najua wewe ni msema kweli ebu tuambie kwa nini michango yote ya Chadema inasimamiwa na watu kutoka Kaskazini.
Haya ndio yanayochangia umaskini..kila saa wabunge wenu wanawaza starehe tu badala ya kuhimiza shughuli za maendeleo
Najua wewe ni msema kweli ebu tuambie kwa nini michango yote ya Chadema inasimamiwa na watu kutoka Kaskazini.
Hata kesi ya tuhuma za rushwa uchaguzi wa Bavicha ushahidi haujakimilika mpaka leo.
kamilisha basi wewe kama unao! hivi magamba wanawalipa kiasi mpaka mnakosa hata cha kudanganya umma mnaandika ***** kila siku??
wewe ukachukua hatua ipi au unapiga domo tu?? cdm inasonga mbele moto wa m4c unachoma magambaNyaraka zimekaliwa na Katibu mkuu
wewe ukachukua hatua ipi au unapiga domo tu?? cdm inasonga mbele moto wa m4c unachoma magamba
UMESAHAU Maposho kibao na bajeti zisizotekelezeka. Rais wa angani, migomo ya maDr na maTicha, Bunge la kila ki2 NDIYOOOOO bila kuhoji mechanisms of implenting the plan nk. UMESAHAU Mabwepande library kuwa mafuvu ya watu yamepungua, Na serikali ya ccm imeingia mkataba na kampuni ya Usambazaji wa mafuvu ya binadamu iitwayo TISS & KOVA LTD ili kuleta tani3 za mafuvu hayo pale Mabwepande Library kabla ya 2015?.