Mh!..hawa wanawake wa kimakonde..simply the best

Usipoangalia Utaula wa chuya!!
Kwa taarifa yako hao jamaa licha ya umahili wao huo, pia ni 'ma mama huruma' ('baa nitamnyimaje mtu kitu ambacho mungu kanigawia bure?';
Na wa sifa ya kutodumu kwa muda mrefu katika ndoa. Kwao wao kuolewa na kuachwa,kuolewa na kuachwa na kuolewa tena ndio fasheni yao. wenyewe ndoa huita 'Chungu' yaani ukiolewa mara ya kwanza hujihesabu kuwa yupo chungu cha kwanza....chungu cha pili ni kuolewa mara ya pili nk. na anayesifiwa ni yule aliye katika chungu cha juu zaidi , na anayedharauliwa ni yule king'ang'anizi wa chungu cha kwanza... Kwa hiyo msemo kama ' Baa we binti fulani unakaa na huyo bwana muda wote huo kwani ni baba yako....mpaka mnataka kufanana?' Hiyo ni asili na sina shaka kuwa hali ni tofauti kwa wale waliozaliwa na kukulia mikoa mingine.
 
unfortunately ndoa ni zaidi ya 6*6, kama umeamua kuoa kwa kigezo hicho tu you need to re-think
 
ata wachaga tunajua kuchezea uwanja.
nakuonea huruma tu ka unaoa kwa sababu ya ngono mzee utajuta .
 
Jamani wanaume wenzangu wa mmu kuweni makini sana. This is exklusivu kwa mabachela kama mimi. Ukitaka kuoa jamani wala usihangaike. Chukua binti wa kimakonde ndugu yangu ufaidi nini maana ya kuwa na mke.

Wale watoto ni mafundi balaa. Wanajua kucheza na uwanja balaa yani messi na ronaldo wakalale.

Me nilijua utani banah ikanibidi ni 'pruvu' banah. Nikatafuta kabint kamoja ka kitaa banah...sheeeeeh...mbona niliacha wallet yangu pale na hata sikujutia.

Navyoandika hivi nipo ktk kikao cha harusi na nawakaribisha sana makapela wenzangu wa mmu. Infact mabinti wa kimakonde wanajua kukata mauno then mitindo huru kibao kupita hata ya wana hip hop. Hapana chezea makonde ladies.
Mkuu ndoa is more than kula tunda. Kama watu wangekuwa wanaoa solely for the sake ya kula tunda tu basi wengi wangeishia kwenda kumaliza haja zao kwenye red light districts ama kuleeeee kwenye whor.e houses.
Jaribu kuwa na mwenza huku ukiwaza beyond 6x6 au sijui 4x4xfar.
Cheers!
 
Na ni wataalamu kweli wa masuala ya juju...awaulize waliofanya kazi Lindi na Mtwara (na Rufiji kwa Wazaramo)...Kuna jamaa alikuwa mwalimu kule msabato anasema ni sala ndio zimemtoa huko salama (ameamia Dar) ila nina doubt kama aliendelea kuwa mwaminifu kwa mkewe alomwacha Dar...lakini cha kushukuru amerudi maana hawa ukibugi tu chance ya kuzamia ni 99%

Mtu akishalogwa "banah"!!!... siku moja tu ukatangaza ndoa je ungekua kama sisi tunaoishi nao huku? si ndio ungetangaza kabisa kuoa kijiji kizima?
 
Wazaramo wanaita chuo; sina hakika kama kweli ni Chungu kwa wamakonde...

Wako kama westerners hawa stick kwenye one relationship...wanaona anayeolewa several times ana mvuto (aka market)

utasikia huyu hiki ni chuo cha 5...basi wote wanamuonea gere...

Afu asubiru atakapokuwa anaombwa ruhusa kila wiki kwenda ngomani...na ngomani ni mwendo wa kunywa na kugawa kwa wapiga ngoma na marimba...


Usipoangalia Utaula wa chuya!!
Kwa taarifa yako hao jamaa licha ya umahili wao huo, pia ni 'ma mama huruma' ('baa nitamnyimaje mtu kitu ambacho mungu kanigawia bure?';
Na wa sifa ya kutodumu kwa muda mrefu katika ndoa. Kwao wao kuolewa na kuachwa,kuolewa na kuachwa na kuolewa tena ndio fasheni yao. wenyewe ndoa huita 'Chungu' yaani ukiolewa mara ya kwanza hujihesabu kuwa yupo chungu cha kwanza....chungu cha pili ni kuolewa mara ya pili nk. na anayesifiwa ni yule aliye katika chungu cha juu zaidi , na anayedharauliwa ni yule king'ang'anizi wa chungu cha kwanza... Kwa hiyo msemo kama ' Baa we binti fulani unakaa na huyo bwana muda wote huo kwani ni baba yako....mpaka mnataka kufanana?' Hiyo ni asili na sina shaka kuwa hali ni tofauti kwa wale waliozaliwa na kukulia mikoa mingine.
 
Yaani umeangalia tu sifa ya 6/6? Kweli hapo umeliwa. Maisha ni zaidi ya huo mchezo. Maana hutaishi maisha yako kwa kufurahia mchezo tu. Tena bora umpate aliyeko fit kwenye nyanja zingine za maisha, halafu hapo akaja jifunza kwako.
 
Makubwa basi kama waoa kwa ajili ya mauno tu.
Kuna mengi katika ndoa, ngoja ukae nae huyo ndo utajua kama anafaa au hafai kuwa wako wa milele.
 
na ujiweke sawa ktk kuchangia pesa kwa ajili ya ngoma na sare za mkeo ngoman.umeishiwa wewe mauno ki2 gan maisha kwanza na future.hao kwanza hawana future,magoli kipa hata kuwaza watoke vp hamna'utarudi kulalama hapahapa
 
Yaani umeangalia tu sifa ya 6/6? Kweli hapo umeliwa. Maisha ni zaidi ya huo mchezo. Maana hutaishi maisha yako kwa kufurahia mchezo tu. Tena bora umpate aliyeko fit kwenye nyanja zingine za maisha, halafu hapo akaja jifunza kwako.

umeona ee.. chezea makonde dadaz ww!
 
hapa ndo umeongea vizuri sasa,kumbe wewe ni mzazi wa mabinti wa kimakonde na unajaribu kuwapgia chapuo kwa vijana hapa,pole mkuu inawezekana mbinu yako ikashindwa kabisa.halafu fahamu kuwa NDOA NI ZAIDI YA KUNGONOKA.

well said.mkuu maana ndoa ni zaidi ya mafanyo hayo anayoyasifia mleta mada. he need to think out side the box
 
Back
Top Bottom