Kyalow
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,548
- 2,571
Na ni wataalamu kweli wa masuala ya juju...awaulize waliofanya kazi Lindi na Mtwara (na Rufiji kwa Wazaramo)...Kuna jamaa alikuwa mwalimu kule msabato anasema ni sala ndio zimemtoa huko salama (ameamia Dar) ila nina doubt kama aliendelea kuwa mwaminifu kwa mkewe alomwacha Dar...lakini cha kushukuru amerudi maana hawa ukibugi tu chance ya kuzamia ni 99%
nimefurahi kukuona