idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,314
- Thread starter
- #21
Mkuki moyoni mazee!!! Huo ndio ukweli bandugu. Mwenye akili timamu atajiuliza kwa nini ngome kuu ya chadema(moshi) kuko shwari na vurugu ziko mikoa mingine?? Wachaga imekula kwenu. Watanzania wamewashtukia na tutawazika nyie na chama chenu
akili kama hizi mgando sana.
kama chadema ni chama cha kichaga mshaurini msajiri akifute.
udini mmeushindwa mmerudi kwenye ukabila. chadema ni taifa kubwa mtahangaika sana.!!