Mh. Celina Kombani AMCHANA Lissu Bungeni

Mzee

JF-Expert Member
Feb 2, 2011
13,597
5,788
Leo Waziri wa Sheria Selina Combani kamchana Mh. Tundu Lisu wazir kivuli wa sheria , msemaji wa kambi ya upinzani
Anadai:

1. Lissu ametumia lugha ya uchochezi ktk hotuba yake.

2. Hajaptia hotuba ya wzara kabla ya kuandaa ya kwake.

3.Mh. lissu huwa anakwepa vikao vya kamati ya bunge kwa hiyo hawezi kujua yaliyojadiliwa.mfano kikao kimojawapo alikuwa Nyamongo.

4.Awaasa wabunge wa kambi ya upinzani wa pitia hotuba za mawazir ili kuepuka "madudu" ya mtu mmoja kuwakilisha mawazo ya kambi nzima.

5.Kuhusu kukithiri rushwa mahakamani, anadai hana uhakika ilia atafatilia.

6.Asema Lisu hajatumia Busara, akili n akarima aliyojaaliwa na mungu.

7. Mchakato wa katiba bado.

8.Kuhusu bajet ya Wizara inatosha kama Lisu anaona haitoshi ajazie kutoka kwenye jimbo lake.
Mwisho amesema Lissu ametoa hoja ambazo ni genuine ila nyingne amedanganya.

hayo ni kwa ufupi

 
Aaah, hii ndo nini sasa. Nilidhani hoja hujibiwa kwa hoja ....
 
amejichana mwenyewe ilifika mahala mpaka akawa emotional karibu alie hajui afanyalo
 
jamani mwenye konection na dr anipe kuna uwozo mkubwa katika chuo cha madin afanye hima.
 
Nisingetegemea kabisa kuwa mama Kombani amsifie Lisu, hayo yangekuwa maajabu ya mwaka. Magamba waelewe tu kuwa siku zao zinahesabika. Hakuna kulala mpaka kieleweke.
 
Huyo mama uwezo wake kifikra na kimtazomo wa mapana na marefu ni mdogo sana!
Nilitegemea ajikite zaidi kujibu hoja badala shambulio la kimwili alilofanya.
Ili arudi ktk ulimwengu wa siasa za tz zenye kumbo la wananchi ningemsihi amuombe radhi mh Lisu hapohapo bunge!
 
mi nimemuona akiwa anajibu maswali, amani ccm mtaendelea na uongo hadi lini?
 
Huyo naye si gamba tu? Yaani Magamba wamefika mahali sasa hata hawaeleweki. Kombani hana uwezo wa kujenga hoja against Lissu
 
combani sio mama makini pia ni m2 wa kukurupuka, hakukuka chini nakufikiri kwanza. Tatizo la mawaziri na spker wa bunge na wabunge weng kama sio wote wanasaidia serikali kutawala badala ya kukosoa. Tatizo hawana uhelewa wa vitu. OGOPA ANAYESHIBA UWEZO WAKE WA KUFIKIRI NI FINYU.
 
Selina Kombani hana weledi wowote katika mambo ya sheria kwahiyo asingeweza kujibu chochote cha kisheria toka kwenye hotuba ya Tundu Lisu. Ni kama waziri vuai na serikali yote ilivyoshindwa kujibu hoja za Lema na kuishia kulalamika kwamba Lema anafanya uchochezi. Sasa serikali ya magamba ikikosa hoja ya ku counter dhidi ya wapinzani wanakimbilia kutafuta huruma kwamba hoja za upinzani ni za uchochezi.
Serikali legelege hii taabu tupu.
 
mhhhhhhhhhh
hii nayo kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
kuna la kujivunia kweli hapoooooooooooo
ama kweli tanzania ina mawaziri vihiyooooooooo
 
Leo Waziri wa Sheria Selina Combani kamchana Mh. Tundu Lisu wazir kivuli wa sheria , msemaji wa kambi ya upinzani
Anadai:
1. Lissu ametumia lugha ya uchochezi ktk hotuba yake.
2. Hajaptia hotuba ya wzara kabla ya kuandaa ya kwake.
3.Mh. lissu huwa anakwepa vikao vya kamati ya bunge kwa hiyo hawezi kujua yaliyojadiliwa.mfano kikao kimojawapo alikuwa Nyamongo.
4.Awaasa wabunge wa kambi ya upinzani wa pitia hotuba za mawazir ili kuepuka "madudu" ya mtu mmoja kuwakilisha mawazo ya kambi nzima.
5.Kuhusu kukithiri rushwa mahakamani, anadai hana uhakika ilia atafatilia.
6.Asema Lisu hajatumia Busara, akili n akarima aliyojaaliwa na mungu.
7. Mchakato wa katiba bado.
8.Kuhusu bajet ya Wizara inatosha kama Lisu anaona haitoshi ajazie kutoka kwenye jimbo lake.
Mwisho amesema Lissu ametoa hoja ambazo ni genuine ila nyingne amedanganya.

hayo ni kwa ufupi

Hapa pana tatizo kubwa. Mheshimiwa waziri amechemsha. Hizo points zote hapo juu hakuna hata moja inayozungumzia hoja za Lissu. Kwa sisi ambao hatuko kwenye luninga ametuacha hewani kwa sababu hatujui hata alichoongea mheshimiwa Lissu.

Naona mama anajikanganya mwenyewe na maneno mengi yasiyo na tija. Mimi nadhani angekwenda kwa hoja moja moja alizozungumzia Lissu na kuzijibu kwa hoja angeeleweka lakini hivi?? ndiyo mawaziri wetu hawa?

Kazi ipo bado
 
leo waziri wa sheria selina combani kamchana mh. Tundu lisu wazir kivuli wa sheria , msemaji wa kambi ya upinzani
anadai:
1. Lissu ametumia lugha ya
uchochezi ktk hotuba yake. kamchochea nani?
2.
hajaptia hotuba ya wzara kabla ya kuandaa ya kwake-haihitaji kupitia hotuba ya wizara kwani ni pumba tupu.
3.mh. Lissu huwa anakwepa vikao vya kamati ya bunge kwa hiyo hawezi kujua yaliyojadiliwa.mfano
kikao kimojawapo alikuwa nyamongo.-hapa hajamchana, kajichana mwenyewe! Kwani lazima uhudhurie vikao vyote kama kuna kuna mambo ya kitaifa nje ya bunge?
4.awaasa wabunge wa kambi ya upinzani wa pitia hotuba za mawazir ili kuepuka "madudu" ya mtu mmoja kuwakilisha mawazo ya kambi nzima.-
the woman is confused, she can not convince any one!
5.kuhusu kukithiri rushwa mahakamani, anadai hana uhakika ilia atafatilia.-natakani kumtukana hapa! Yaani hajui kama kuna rushwa? Shenzing kabisa. Utaniharibia swaumu wewe mdada.
6.asema lisu hajatumia busara, akili n akarima aliyojaaliwa na mungu.-katumia nini? Mpaka ndugai mwenyewe kamfagilia kwa kutoa data zake za nkuruma hall enzi zele, acha mama, utapata ki sugar bure.
7. Mchakato wa katiba bado.,
why? Lazima uje, tena haraka, no discussion here.
8.kuhusu bajet ya wizara inatosha kama lisu anaona haitoshi ajazie kutoka kwenye jimbo lake-upupu.
mwisho amesema lissu ametoa hoja ambazo ni genuine ila nyingne amedanganya-masaburi.

hayo ni kwa ufupi

hovyoooooooooooooooooooooooo. Kimama kinachekacheka tu, harafu dada yake anataka kukitetea, wakati watanzania wote wamekiona kikichekacheka, nitatukana..........mungu nisaidie, nataka kuivunja kompyuta yangu...
 
Back
Top Bottom