Mh. Celina Kombani AMCHANA Lissu Bungeni

Sijaelewa ni kwa nini Mh Selina Kombani ametumia mfano wa kuhamisha kaburi kupisha ujenzi wa barabara kama jibu la hoja iliyotelewa na Mh Lissu kuhusu kuhamisha Jengo la Mahakama kuu ya Tanzania ili kupisha 'Mwekezeji' apanue eneo la maegesho ya magari! Sijaelewa. Mh Kombani karudia hii hoja ya makaburi mara mbili na inaelekea tangu jana wamekaa 'yeye na Werema &co' kutafuta namna ya kujibu hii fedheda wanayotaka kutuletea watanzania.

Taifa huru linajengewa mahakama na mmiliki hoteli?? halafu wanakuja na majigambo kuwa 'tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele? .
Sijui ni vipi lakini ningeshukuru kama wananchi wote wa Tanganzania tungeanza kuchanga ili tujenge jengo la mahakama 'wenyewe' Hivi ikatokea keshi mahakama kuu inayohusisha mmiliki wa hoteli hiyo itakuwaje? Serikali gani hii?

Mh. Kombani hawezi hata siku moja kushindana na Lissu, hawezi! Na kama sio tuition toka kwa Werema leo angeugua kifafa. She wa shaking like a leaf wakati anajibu. Na kuthibitisha kuwa Lissu kawakamata pabaya, zaidi ya nusu ya muda wa majumuhisho ametumia kumjibu Lissu. Ingekuwa Lissu sio kitu angekaa kimyaa but the entire debate ya leo wa about Lissu. Na bado!
 
Hiyo namba 5 inamaana Celina hajui yanayotendeka mahakamani jamani, au kapotezea hoja!!!!!!!
 
hadi sasa sijaona alipomlipua Lissu... nimeona ameeleza mawazo yake na kujenga hoja yake vizuri

kweli uandishi kazi sana,

.........vp bado hajalipuka tu pamoja na kulipuliwa hivyo?
 
Leo Waziri wa Sheria Selina Combani kamchana Mh. Tundu Lisu wazir kivuli wa sheria , msemaji wa kambi ya upinzani
Anadai:

1. Lissu ametumia lugha ya uchochezi ktk hotuba yake.

2. Hajaptia hotuba ya wzara kabla ya kuandaa ya kwake.

3.Mh. lissu huwa anakwepa vikao vya kamati ya bunge kwa hiyo hawezi kujua yaliyojadiliwa.mfano kikao kimojawapo alikuwa Nyamongo.

4.Awaasa wabunge wa kambi ya upinzani wa pitia hotuba za mawazir ili kuepuka "madudu" ya mtu mmoja kuwakilisha mawazo ya kambi nzima.

5.Kuhusu kukithiri rushwa mahakamani, anadai hana uhakika ilia atafatilia.

6.Asema Lisu hajatumia Busara, akili n akarima aliyojaaliwa na mungu.

7. Mchakato wa katiba bado.

8.Kuhusu bajet ya Wizara inatosha kama Lisu anaona haitoshi ajazie kutoka kwenye jimbo lake.
Mwisho amesema Lissu ametoa hoja ambazo ni genuine ila nyingne amedanganya.

hayo ni kwa ufupi


Waziri Kombani hana makucha ya kumchana Mh. Tundu Lisu hata siku moja.
 
Tuwape Paper Huyu mama yenu na Lissu - tuone kama huyu mama atatoka hata robo.
 
leo waziri wa sheria selina combani kamchana mh. Tundu lisu wazir kivuli wa sheria , msemaji wa kambi ya upinzani
anadai:

1. Lissu ametumia lugha ya uchochezi ktk hotuba yake.

2. Hajaptia hotuba ya wzara kabla ya kuandaa ya kwake.

3.mh. Lissu huwa anakwepa vikao vya kamati ya bunge kwa hiyo hawezi kujua yaliyojadiliwa.mfano kikao kimojawapo alikuwa nyamongo.

4.awaasa wabunge wa kambi ya upinzani wa pitia hotuba za mawazir ili kuepuka "madudu" ya mtu mmoja kuwakilisha mawazo ya kambi nzima.

5.kuhusu kukithiri rushwa mahakamani, anadai hana uhakika ilia atafatilia.

6.asema lisu hajatumia busara, akili n akarima aliyojaaliwa na mungu.

7. Mchakato wa katiba bado.

8.kuhusu bajet ya wizara inatosha kama lisu anaona haitoshi ajazie kutoka kwenye jimbo lake.
Mwisho amesema lissu ametoa hoja ambazo ni genuine ila nyingne amedanganya.

Hayo ni kwa ufupi


chaaaa!
 
Kombani vs Lissu ni sawa na Tyson vs Matumla
Kama hajisoma bajeti ya wizara Lissu alijuaje kama haitoshi!
Mama kalee wajukuu maji marefu hayo
 
Lissu anajulina si Tanzania tu bali hata kwenye majukwaa ya sheria ya ulimwengu - huyu maza vipi. Juzi juzi Lissu alikuwa NBI kwenye Jopo la wanasheria wa Africa - mbona maza wenu hakuitwa na jopo lake la wanaomsaidia kuandika madesa ya ile hotuba aliyowasomea.
 
Yaani naona wameamua kumshambulia Mh. Tundu Lsisu ili kumpunguza kasi.. Ungesikia Wazanzibari wamemuita mnafiki, muongo anaongea upuuzi na kuwa wao kwao Zanzibar TunduLlissu inamaana yake ambayo nadhani ni chafu hivyo wapuuzie wajue aliyeongea ni Tundu Lissu, wamedai wanashangaa anawezaje kuwawakilisha wateja wake mahakamani kama hajui mambo namna hivi ? Cha kusikitisha Spika Anna Makinda alikuwa akiwakingia kifua licha ya kutoa lugha za chafu na za kebehi dhidi ya Mh. Lissu licha ya kuombo muongozo mara kwa mara. Wazanzibari huenda walikuwa na hoja leo bungeni ila zilijawa na jazba mno na kupoteza mantiki.
 
Huyu mama hana lolote..alishawahi kusema katiba haitabadilisha hata siku moja tena tusitarajie haya mabadiliko kwani hamna bajeti..sasa tumulize huyu mama mbona boss wake kakubali mchakato wa katiba mpya??? Ovyo selina, huwezi kufanana na lisu hata mkiletwa selina komboni 1000
 
<font size="4"><span style="font-family: arial narrow">Leo Waziri wa Sheria Selina Combani kamchana Mh. Tundu Lisu wazir kivuli wa sheria , msemaji wa kambi ya upinzani<br />
Anadai:<br />
<br />
1. Lissu ametumia lugha ya uchochezi ktk hotuba yake.<br />
<br />
2. Hajaptia hotuba ya wzara kabla ya kuandaa ya kwake.<br />
<br />
3.Mh. lissu huwa anakwepa vikao vya kamati ya bunge kwa hiyo hawezi kujua yaliyojadiliwa.mfano kikao kimojawapo alikuwa Nyamongo.<br />
<br />
4.Awaasa wabunge wa kambi ya upinzani wa pitia hotuba za mawazir ili kuepuka &quot;madudu&quot; ya mtu mmoja kuwakilisha mawazo ya kambi nzima.<br />
<br />
5.Kuhusu kukithiri rushwa mahakamani, anadai hana uhakika ilia atafatilia.<br />
<br />
6.Asema Lisu hajatumia Busara, akili n akarima aliyojaaliwa na mungu.<br />
<br />
7. Mchakato wa katiba bado.<br />
<br />
8.Kuhusu bajet ya Wizara inatosha kama Lisu anaona haitoshi ajazie kutoka kwenye jimbo lake.<br />
Mwisho amesema Lissu ametoa hoja ambazo ni genuine ila nyingne amedanganya.<br />
<br />
hayo ni kwa ufupi</span><br />
</font>
<br />
<br />
teh teh teh..mara lissu kadanganya mara hoja ni za kweli..(?) kombani hajui kama mahakamani wenye pesa hawafungwi, sijui ni kazi ya nani na yeye anjiita waziri.!
 
Back
Top Bottom