Mohamed Ngwasu
JF-Expert Member
- May 11, 2011
- 304
- 79
kwao masasi huyo marufu kwaaaa
<br />kwao masasi huyo marufu kwaaaa
Tundu Lisu ni miongoni mwa viongozi watakaoacha legacy katika nchi hii.
Kombani hawezi kujibu hojaa za lisu.
Selina Kombani hana weledi wowote katika mambo ya sheria kwahiyo asingeweza kujibu chochote cha kisheria toka kwenye hotuba ya Tundu Lisu. Ni kama waziri vuai na serikali yote ilivyoshindwa kujibu hoja za Lema na kuishia kulalamika kwamba Lema anafanya uchochezi. Sasa serikali ya magamba ikikosa hoja ya ku counter dhidi ya wapinzani wanakimbilia kutafuta huruma kwamba hoja za upinzani ni za uchochezi.
Serikali legelege hii taabu tupu.
<br />Eeh huyu wama anafikiri kwa masaburi nn....? Mbona haeleweki kabsa..