ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
- Thread starter
- #61
Kwa gharama za vipimo na dawa+ kulaza wagonjwa+kuhifadhi miili nkHospital itajiendeshaje?
Mbona enzi za mwalimu hospital ilikua 100% free?
Kwa gharama za vipimo na dawa+ kulaza wagonjwa+kuhifadhi miili nkHospital itajiendeshaje?
Siku nyingine mtu na wewe unageuza kibao unamdai daktari hela kwakua na yeye amekuona wewe pia hivyo alipie kama wewe ulivyolipia kwa kumuona yeyeNi dhuluma ya wazi kabisa , hata ukisahau documents kwenye chumba cha daktari kesho yake ukataka kurudi kuchukua huwezi kuruhusiwa kuingia lazima ulipe hela ya kumuona daktari.
Hilo linawezekana kwani huko nyuma lilikuwepoConsultation fee ikiwa sifuri basi na ada za medschool zishushweee
Kazi ya daktari ni kuokoa maisha ya watu chumba cha dakitari sio duka la mangi!Mkuu unataka ukapate ushauri wa kitabibu bure wakati wenzio wanesota darasani.
Mfano unaenda kwa daktari anakufanyia consultation hakafu unaondoka kwenda kununua dawa kwenye maduka ya dawa, hasara itakuwa kwa nani. Kwa wenzetu walioendelea consultation fee inachajiwa kwa muda daktari anaotumia kukuhudumia.
Na pesa unayolipia hospital sio ili daktar alie bata ni ili kufanya na mwenzko apate hudumaKazi ya daktari ni kuokoa maisha ya watu chumba cha dakitari sio duka la mangi!
Sipati picha pale agha khan ni tsh ngapi kumuona dr wa kihindiNaona wangepunguza au iwe sawa hospital zote ukitoa kabisa kutatokea usumbufu kila mmoja atataka kumuona daktar mwingine Hana ugonjwa ambao n serious lakin atataka kumuona Dr
hapo unakuta kipindi anasoma alikuwa anaandika caption za "napenda kuwasaidia wagonjwa na kuhakikisha wapo sawa mda wote" haya saivi anadai usumbufu. Sasa ulienda kusoma udaktari ili iweje au ni kwa ajili ya show-off.Nisehemu ya majukumu yako
Ushauri hautolewi bure. Maana analipwa mshahara..Mkuu unataka ukapate ushauri wa kitabibu bure wakati wenzio wanesota darasani.
Mfano unaenda kwa daktari anakufanyia consultation hakafu unaondoka kwenda kununua dawa kwenye maduka ya dawa, hasara itakuwa kwa nani. Kwa wenzetu walioendelea consultation fee inachajiwa kwa muda daktari anaotumia kukuhudumia.
mkuu hapo hamn kbx we mtu amesoma miaka mitano af unataka kumuona bure acha zako wwNaona kama serikali imechelewa sana kufuta hii gharama inayozidi kumuongezea machungu mgonjwa pindi anapoamua kwenda kutafuta tiba hospitali.
Ni kijambo kidogo lakini huwezi jua pengine kimewahi hata kusababisha vifo.
Huenda ilishatokea mtu aliumwa sana na akatamani aende hospitali lakini akajikuta hata pesa ya kumuona daktari hana, pengine ikapelekea akasusa hata baadae maradhi yakamzidi na akafariki kwa kuchelewa kupata matibabu!
Nimewaza sana na kujiuliza kuna uhalali gani wa malipo haya? Si hospitali ya serikali si private, yaani hata daktari hajasema chochote anaku chaji pesa ambayo imeshapangwa wewe na yeyote yule atakayeingia chumba hicho atoe kwanza kabla ya gharama zingine za matibabu.
Tuombe serikali iondoe gharama hizi kutupunguzia mzigo wa maisha angalau tuwe tunalipia vipimo na dawa tu.
Kusoma kila mtu kasoma tunazidiana vyumba tumkuu hapo hamn kbx we mtu amesoma miaka mitano af unataka kumuona bure acha zako ww
mkiongezewa Kodi mnalia tenahNaona kama serikali imechelewa sana kufuta hii gharama inayozidi kumuongezea machungu mgonjwa pindi anapoamua kwenda kutafuta tiba hospitali.
Ni kijambo kidogo lakini huwezi jua pengine kimewahi hata kusababisha vifo.
Huenda ilishatokea mtu aliumwa sana na akatamani aende hospitali lakini akajikuta hata pesa ya kumuona daktari hana, pengine ikapelekea akasusa hata baadae maradhi yakamzidi na akafariki kwa kuchelewa kupata matibabu!
Nimewaza sana na kujiuliza kuna uhalali gani wa malipo haya? Si hospitali ya serikali si private, yaani hata daktari hajasema chochote anaku chaji pesa ambayo imeshapangwa wewe na yeyote yule atakayeingia chumba hicho atoe kwanza kabla ya gharama zingine za matibabu.
Tuombe serikali iondoe gharama hizi kutupunguzia mzigo wa maisha angalau tuwe tunalipia vipimo na dawa tu.
milioni miatanoSipati picha pale agha khan ni tsh ngapi kumuona dr wa kihindi
tayar sasa Apo ushaona mnAzidiana vyumba broo udakttar ni risk ya maisha ya watu kufa au kupona wanafanya hvo ili kubalance mxhahara wao mkuu hizo hela wanazozitoa m nazan zinasaidia serikali hata kuongeza vituo vingine m naona wako sahihi kbxaKusoma kila mtu kasoma tunazidiana vyumba tu
Kwamba hii fee imewekwa ili kupunguza Jam Hospitalini mkuu?Labda useme kuwe na kiwango kimoja kwa nchi nzima...
Ukiondoa hiyo fee, mahospitali yatafurika wakati bado uwiano wa daktari mmoja kwa wagonjwa ni mkubwa...
nani sasa wa kuachana na mwenzake,Nani kamlazimisha, si aachane na udaktari ajichimbie Sumbawanga akalime maparachichi au mahindi pia ni maisha?
Unajua bora wangefuta huo msemo halafu hiyo gharama ichanganywe kwenye bili kuu ya vipimo ..kama serikali ilivyoua kulipia kadi ya gari pale TRAtayar sasa Apo ushaona mnAzidiana vyumba broo udakttar ni risk ya maisha ya watu kufa au kupona wanafanya hvo ili kubalance mxhahara wao mkuu hizo hela wanazozitoa m nazan zinasaidia serikali hata kuongeza vituo vingine m naona wako sahihi kbxa
Nenda JKCI MuhimbiliNaona kama serikali imechelewa sana kufuta hii gharama inayozidi kumuongezea machungu mgonjwa pindi anapoamua kwenda kutafuta tiba hospitali.
Ni kijambo kidogo lakini huwezi jua pengine kimewahi hata kusababisha vifo.
Huenda ilishatokea mtu aliumwa sana na akatamani aende hospitali lakini akajikuta hata pesa ya kumuona daktari hana, pengine ikapelekea akasusa hata baadae maradhi yakamzidi na akafariki kwa kuchelewa kupata matibabu!
Nimewaza sana na kujiuliza kuna uhalali gani wa malipo haya? Si hospitali ya serikali si private, yaani hata daktari hajasema chochote anaku chaji pesa ambayo imeshapangwa wewe na yeyote yule atakayeingia chumba hicho atoe kwanza kabla ya gharama zingine za matibabu.
Tuombe serikali iondoe gharama hizi kutupunguzia mzigo wa maisha angalau tuwe tunalipia vipimo na dawa tu.
Umeleta jambo jema sana.
Na sio kwa government hospital tu hii inapaswa kuondoka hata kwa hizo private hospital.
Kuna hospitali zinachaji hadi 40,000/= kumuona daktati tu.
Huu ni wizi kabisa, unalipia hela hiyo na unalipia vipimo na baadae unaambiwa hakuna tatizo au una malaria na matibabu yake ni mseto ya shilingi 3,000/=
Serikali angalieni hili au tutaamini wahusika wanakata posho?