I don't know, what they want from me.
It's like the more money we come across, the more problems we see
Zitadumu in one premise, sio wote wawe matajiri, mmoja - na huyo awe ni mwanamume...
Nilikuwa nasoma jarida la "Vanity Fair" la mwezi huu unaokuja. Lina makala moja inaelezea jinsi matajiri walio na majumba yenye thamani za makumi ya mamilioni ya dola za Kimarekani fukweni huko Malibu California (Hollywood stars mostly) na Nantucket Massachusetts (Northeast brahmins and bluebloods) wanavyopata matatizo baada ya majumba yao ya fukweni kuanza kufikiwa na bahari baada ya "beach erosion" ambayo itafanya pale Ocean Road paonekane mchezo wa kitoto.
Hata matajiri wana matstizo yao, pesa hazinunui kila kitu.
Wengine wanasema "More money, more problems" kama B.I.G.
Hook.
We ukiwa tajiri utamtimua mumeo?
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!
Nawakaribisha wadau kwenye mgongano wa Hoja, na mchango wako uongozwe na nguvu ya hoja juu ya hii mada!
Sheria!
Ni marfuku kumshambulia/kumjadili mtoa hoja bali hoja yake!
Matusi hayaruhusiwi! Swaumu kali saa hizi.
Mjadala huru yeyote anaweza kuchangia.
Mimi Naunga mkono hoja 100% sio tu kiushabiki maandazi bali kwa Hoja nzito zifuatazo.
1. FACT. Furaha hainunuliwi ila pia furaha haiji hivi hivi! Vya kufurahisha vina gharama yake.
2. FACT. Money brings peace, and ateasy. Hulazimiki kufanya maamuzi magumu kamakujiuza upate ada ya mwanao.
3. FACT. Mtazamo wa jamii juu yako (Peer pressure) unaweza kukunyima raha na kukushawishi uriconside maamuzi yako kama choice ya mume.
4. FACT. Money is a powerful Motivation to Stay! Hata kama huna raha kuacha ghorofa si mchezo mjue.
4. THEORY. Wanaume wengi hawajatulia. Sasa kuishi na mtu hajatulia na hana kitu inataka moyo mjue.
4. STATISTICS. Ndoa nyingi zinavunjika mume akifukukzwa kazi au kufilisika.
KARIBUNI KWA HOJA ZENU!
money can buy happines
money can buy peace
money can buy freedom
money can buy anything.
even money can buy a happy marriage.
2. FACT. Money brings peace, and ateasy. Hulazimiki kufanya maamuzi magumu kamakujiuza upate ada ya mwanao.
4. FACT. Money is a powerful Motivation to Stay! Hata kama huna raha kuacha ghorofa si mchezo mjue.
5. THEORY. Wanaume wengi hawajatulia. Sasa kuishi na mtu hajatulia na hana kitu inataka moyo mjue.
6. STATISTICS. Ndoa nyingi zinavunjika mume akifukukzwa kazi au kufilisika.
asikwambie mtu bora kulia ukiwa ndani ya mercediz kuliko kufurahi ndani ya tz11
wengi mtakataa lakin kwa vile hamna na mnataka kujifariji. pesa ndio kila kitu kwenye ndoa. pata picha shopping dubai.holiday united states. kutengeneza kucha paris. check up german kwa nin ndoa isidumu.
lakin ndoa za kimasikin kwanza mwanaume anajijua kuhudumia shida hivo anakuwa na wivu sana anais anaibiwa.
vurugu kila siku mara tumechoka matembele. pesa ndio kila kitu.
nasema hivo kwa uzoefu wengine toka tukiwa watoto full masafari kila siku mara japan.hongkong.states.german. china. sweden etc kwa nin family isiwe na furaha! !!!!
furaha inaweza isiwepo kote kote, we unadhani maskini wanafuraha? ni kwamba wanavumilia tu sawa na yule anayeweza kuvumilia kero za wenye nazo
asikwambie mtu bora kulia ukiwa ndani ya mercediz kuliko kufurahi ndani ya tz11