Salas
JF-Expert Member
- Feb 15, 2009
- 382
- 82
Radio clouds wameonywa kutoa mijadala au taarifa mbali mbali juu ya mgomo unao endelea imefahamika kuwa kipindi cha mwanzo waliupa mgomo airtime kubwa ndio maana ulifanikiwa sana na hizi taarifa pia zimepelekwa kwenye vyombo vya habari vingine ikiwa ni strategy ya TISS kuzibithi mgomo huu kwa kugawa madktari na media na madaktari wao kwa wao. Mpaka sasa Dr Mponda hajulikani halipo kuthibitisha tishio alilopewa na TISS.
ni haya kwasasa
ni haya kwasasa