Mgomo wa madaktari ni utovu wa nidhamu - Kibonde wa clouds FM

Kuna usemi kuwa mwenye afya hamhitaji daktari, bali aliyemgonjwa...hapa kwetu kuna watu wanasahau magonjwa yao madaktari hawa wanayafahamu na wakiamua kuweka siri hadharani itakuwa balaa. Msitukane ukunga na uzazi ungalipo!!
 
kuna kitu inaitwa KUBLER ROSS. Huyu jamaa inamkabili ndo maana maongezi yake mengi ni ya aina hiyo. He is fighting. Isome aafu usiniulize kwa nini nimesema hivyo!!

Thanx nimeisoma, nadhani yupo kwenye stage ya anger sababu ana hasira na kila mtu, kwa sasa hasira yake imetua kwa madaktari
 
Namuunga mkono Kibs 200%.
Walichofanya madaktari ni zaidi ya utovu wa nidhamu. Ni utoto!
Inawezekana ni kweli wana madai ya msingi.
Walikataa katakata kuonana na mtu mwingine yoyote isipokuwa mtoto wa mkulima.
Pinda huyooo kachomoza tar.29, madaktari hawapo!
Wamekula mpenyo na kumeza uchochoro,

Pinda kabaki pekeyake,madaktari hawapo!
Kwann asipande kwenye maik?
Ana sababu gani asiitendee haki maik?
Kasema aliyosema, hakuna wakumbishia.
Waliopaswa kubishana nae wamemkimbia.

Kwann wananchi tusimsikilize na kuyaamini yale anayoyasema Waziri wetu mkuu Pinda.
Yes, madaktari si wamekimbia?
Madaktari acheni porojo na kudanganyana, rudini kazini!

Hivi kweli rafiki yangu inawezekana mtu akupangie siku anayotaka yeye ili aongee/akutane na wewe? Waziri mkuu huyu aliwapangia madaktari wakutane hiyo tarehe 29 lakini wao madaktari wakataka kukutana nae tarehe 30; sasa kama kweli huyu waziri mkuu anaejiita mtoto wa mkulima kwanini asiwasikilize watoto wa wakulima wenzake?
Huyu jamaa anajiita mtoto wa mkulima lakini hana sifa za kuitwa mtoto wa mkulima kwasababu anashindwa kutatua matatizo ya watoto wa wenzake ila kwake yeye ni mraisi kuidhinisha posho za wabunge ambao sio watoto wa wakulima, je sheria inaruhusu yeye waziri mkuu kuziidhinisha posho za wabunge kama alivyoachiwa mzigo na huyu mkosa dira ambaye ni mkuu wa nchi?
Huyu mkuu wetu ni mtu ambaye hana mapenzi mema kwa taifa letu ndio maana keki ya taifa alikula na lowassa na rostam na magamba wengine kwenye EPA, RICHMOND, KAGODA, MEREMETA, DOWANS! Sasa anakula na huyu waziri mkuu eti kauli ikiwa pesa za wabunge zinaisha kwaajili ya maendeleo ya jimbo? Mshahara wa mtu kuendesha jimbo?
na je huyu waziri mkuu kisheria ana uwezo wa kuanika profile la mtu hadharani? Yani serikali yetu kwa sasa ina viongozi mfu wasiofuata utawala wa sheria wala kujali sheria inasema nini kuhusu haki za binadamu!!
 
Inatuambia nini kuhusu wasikilizaji wa Tanzania na medani ya habari kwa ujumla, kwamba Ephraim Kibonde, kati ya wote, ndio the single most prominent social political commentator and news analyst towering over rush hour airwaves of Dar-es-Salaam?
 
Inatuambia nini kuhusu wasikilizaji wa Tanzania na medani ya habari kwa ujumla, kwamba Ephraim Kibonde, kati ya wote, ndio the single most prominent social political commentator and news analyst towering over rush hour airwaves of Dar-es-Salaam?

Judging by the amount of threads started about what he says on radio, I say yes.
 
Judging by the amount of threads started about what he says on radio, I say yes.
Naona hujanielewa kidogo hapo, au sikueleza vizuri. Hicho ulichosemea "yes," ambayo ndio ilikuwa premise ya swali langu, inatuambia nini kuhusu umma wa Watanzania, kwamba mtu kama Ephraim Kibonde akiwa ndio the most visible opinion leader aliyeko hewani kwenye radio za Tanzania, anaetuchambulia current affairs, je hilo jambo linaashiria nini kuhusu Watanzania na choices tulizonazo katika waandishi wachambuzi nchini?
 
Naona hujanielewa kidogo hapo, au sikueleza vizuri. Hicho ulichosemea "yes," ambayo ndio ilikuwa premise ya swali langu, inatuambia nini kuhusu umma wa Watanzania, kwamba mtu kama Ephraim Kibonde akiwa ndio the most visible opinion leader aliyeko hewani kwenye radio za Tanzania, anaetuchambulia current affairs, je hilo jambo linaashiria nini kuhusu Watanzania na choices tulizonazo katika waandishi wachambuzi nchini?

Ooh nimekupata vizuri sasa. Obviously, it speaks volumes about us!

To me Kibonde is like Tom Joyner or Rickey Smiley! These are radio talk show hosts who dabble in commentating about 'serious' issues and they actually have a following in some quarters.
 
Kibonde ndo kiasi chenu Watanzania mpaka mtakapoamua kuwa serious.
 
Kibonde is just an entertainer/ shock jock.

Sasa sielewi kwa nini watu hutokwa na povu pindi Kibonde atoapo maoni yake kuhusu jambo fulani wakati kituo cha redio anachokitumikia format yake ni burudani zaidi!!
 
Hivi huyu mpiga debe bado yupo? Bado anajipendekeza kwa serikali ya magamba? Ajitahidi hivyohivyo kwani akijakuwa mwanamke watamchagua viti maalum
 
Kibonde is just an entertainer/ shock jock.

Sasa sielewi kwa nini watu hutokwa na povu pindi Kibonde atoapo maoni yake kuhusu jambo fulani wakati kituo cha redio anachokitumikia format yake ni burudani zaidi!!

Burudani mpaka kwenye serious issue kama hizi? Burudini zihishie humo humo kwenye kuwaibia wasanii
 
Burudani mpaka kwenye serious issue kama hizi? Burudini zihishie humo humo kwenye kuwaibia wasanii

Point ni kwamba yeyote yule anaye-tune in na kumsikiliza Kibonde ana nini cha kusema huyo ndo mwenye matatizo zaidi.

Mtu makini mwenye hamu ya kupata uchambuzi na uchanganuzi wa mambo yajiriyo nchini na kwingineko duniani hawezi ku-tune in kwenye Jahazi na kutegemea kupata news/ current events analysis ya maana.
 
hivi kweli rafiki yangu inawezekana mtu akupangie siku anayotaka yeye ili aongee/akutane na wewe? waziri mkuu huyu aliwapangia madaktari wakutane hiyo tarehe 29 lakini wao madaktari wakataka kukutana nae tarehe 30; sasa kama kweli huyu waziri mkuu anaejiita mtoto wa mkulima kwanini asiwasikilize watoto wa wakulima wenzake?
Huyu jamaa anajiita mtoto wa mkulima lakini hana sifa za kuitwa mtoto wa mkulima kwasababu anashindwa kutatua matatizo ya watoto wa wenzake ila kwake yeye ni mraisi kuidhinisha posho za wabunge ambao sio watoto wa wakulima, je sheria inaruhusu yeye waziri mkuu kuziidhinisha posho za wabunge kama alivyoachiwa mzigo na huyu mkosa dira ambaye ni mkuu wa nchi?
Huyu mkuu wetu ni mtu ambaye hana mapenzi mema kwa taifa letu ndio maana keki ya taifa alikula na lowassa na rostam na magamba wengine kwenye epa, richmond, kagoda, meremeta, dowans! Sasa anakula na huyu waziri mkuu eti kauli ikiwa pesa za wabunge zinaisha kwaajili ya maendeleo ya jimbo? Mshahara wa mtu kuendesha jimbo?
Na je huyu waziri mkuu kisheria ana uwezo wa kuanika profile la mtu hadharani? Yani serikali yetu kwa sasa ina viongozi mfu wasiofuata utawala wa sheria wala kujali sheria inasema nini kuhusu haki za binadamu!!


craaap!
 
kibonde ni sawa na ng'ombe akiwa katika joto kila akiona dume hupaza sauti ya kutaka kuingiliwa.
nasema hivyo kwakua kila mjadala wa kitaifa yeye anajiadai anauelewa wa kutosha, siasa yeye , haki za wafanyakazi yeye, haki za wakazi wa mabondeni yeye, burudani yeye, soka yeye........ni kijana mjnga , asina subira na mwenye tamaa za kirafi.
 
Nakumbuka sana mwaka 2007 , ukiwa hoi bin taabani wewe na mkeo namna madaktari walikuwa wanakuhudumia kwa huruma bila kukata tamaa! wakati we na mkeo mkiwa mmekata tamaa kabisa ya kuishi lakini madaktari wale walipigana kufa kuokoa maisha yako kimwili na kisaikolojia!
wakati huo ulikuwa huwezi hata kutembea ukiwa umenyonyoka hadi nywele, tena siku moja daktari mmoja alisaidia kukubeba kutoka juu kukupandisha kitandani huku ukitoa udenda kwa udhoofu, daktari yule hakujali hali hiyo mbaya uliyokuwa nayo kwani alikubeba bila hata kuvaa gloves wakati nesi aliyekuwa anakuhudumia alipokuwa akihangaika kutafuta gloves ili aweze kukubeba, unajua ni kiasi gani daktari yule alirisk maisha yake ?? ungeweza kumuambukiza ugonjwa wako lakini alisahau hilo kwa huruma yake na kukuhudumia kwa roho moja.
jitihada hizo hatimae ziliza matunda na maisha yako yaliokolewa!!

sasa wewe kibonde ni fadhila gani kubwa sana au ni kiasi gani cha pesa ulichopewa na serikali hadi kusahau wema wa madaktari na kuweza kukaa na kuropoka ropoka ovyo hapo redioni?? wewe kweli kibonde of all the people ni wa kuwatukana madaktari tena hadharani??
au umeshaahidiwa kutibiwa india maisha yako yote?? wewe na familia yako?? kumbuka kuwa wewe essentially we na mkeo bado ni wagonjwa na bado maisha yenu yako mikononi mwa madr! Hivi next time utakapoenda clinic pale.......... utaweza kumtizama dr wako usoni??
Kibonde wewe kweli of all the people ?? mteja wa kudumu wa madr wa kila mwezi where the hell did u get the guts??
KIBONDE DOMO NA NJAA VITAKUPONZA !
 
Back
Top Bottom