PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Dalili za mgomo huo zilianza jana baada ya upande wa manispaa ya mkoa wa kilimanjaro kuongeza ushuru wa mabasi yanayofanya safari zake mikoani.hali hiyo imesababisha usumbufu kwa abiria kwani naulu zimepanda mara dufu baada ya mgomo huo kwani vijana wa mkowa huu wa kilimanjaro wamezuia hata daladala ziendazo wilaya mbalimbali kufanya safari zake mpaka hapo mambo yatakapo rekebishwa.