Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,494
Kwa Siku Mbili Au Zaidi Daladala za mji wa Moshi zimegoma kufanya kazi ya kusafirisha watu.
Sababu yao kubwa ni Ushuru mkubwa wanaotozwa kila waingizapo magari Stand kubwa. Mfano daladala zinazo-operate Route ya Rau-Mjini nauli kubwa ni 300 ama 250 kwa abiria, na kila aingi*po gari stand analipa 2000.
Moshi-Arusha.
Leo Tarehe 09-07-2012 mabus yanayofanya ka- kubeba abiria Moshi kwenda Arusha na Arusha kwenda Moshi nayo yamegoma, madai yao ni Ushuru,(wanashirikiana kituo na daladala), Pili usmbufu wa Trafics na mengine.
Katika Habari hiyohiyo leo pale Machine Tools Machame daladala ya Arusha yenye route za Ngulelo Town maarufu kama kipanki imepasuliwa kioo kwa sababu ya kubeba abiria kutoka Arusha kuleta moshi.
Mgomo umesababisha usumbufu mkubwa kufuatia shule nyingi kufunguliwa leo na wanafunzi kukosa usafiri.
NIONAVYO:
Serikali fungueni macho, hawa viongozi wenu wa halmashauri wataharibu Nchi. Yule mkurugenzi wa kumuangalia mara ya pili.
Sababu yao kubwa ni Ushuru mkubwa wanaotozwa kila waingizapo magari Stand kubwa. Mfano daladala zinazo-operate Route ya Rau-Mjini nauli kubwa ni 300 ama 250 kwa abiria, na kila aingi*po gari stand analipa 2000.
Moshi-Arusha.
Leo Tarehe 09-07-2012 mabus yanayofanya ka- kubeba abiria Moshi kwenda Arusha na Arusha kwenda Moshi nayo yamegoma, madai yao ni Ushuru,(wanashirikiana kituo na daladala), Pili usmbufu wa Trafics na mengine.
Katika Habari hiyohiyo leo pale Machine Tools Machame daladala ya Arusha yenye route za Ngulelo Town maarufu kama kipanki imepasuliwa kioo kwa sababu ya kubeba abiria kutoka Arusha kuleta moshi.
Mgomo umesababisha usumbufu mkubwa kufuatia shule nyingi kufunguliwa leo na wanafunzi kukosa usafiri.
NIONAVYO:
Serikali fungueni macho, hawa viongozi wenu wa halmashauri wataharibu Nchi. Yule mkurugenzi wa kumuangalia mara ya pili.