Mgomo mkubwa wa walimu Tz

Lyamungo

Member
Aug 17, 2011
91
7
Kutokana na mazingira magumu ya kazi ya walimu, madai yasiyosikilizwa, walimu wameanza mgomo kimyakimya kwa kile kinachosemekana kuwa wanaogopa kupigwa virungu. Ukifuatilia utendaji kazi wao hauleti matumaini ( hawafanyi kazi kwa moyozaidi ya kuigiza) matokeo ya kidato cha nne ni ushahidi wa kwanza na maneno yao wenyewe ni ushahidi wa pili.
Jamii na Serikali wanatakiwa kuwasikiliza na kuikwamua elimu
 
Ni kweli kuna shule wanafunzi wamefeli karibu wote! Lakini walimu ndio kwaaanza wanashangilia.
 
Walimu wanatuchanganya: migomo yao mbona huwa inaishia hewani?????, maneno mengi hakuna kinachoendelea.
 
Walimu wanatuchanganya: migomo yao mbona huwa inaishia hewani?????, maneno mengi hakuna kinachoendelea.

Bado hujakiona kinachoendelea ndugu? Watoto wetu wanafail, walimu siku hzi wanajali miradi yao binafsi kuongeza kipato kuliko kufundisha. Ndo mana nikasema from what i can see, huu ni mwanzo wa kuzama kabisaa kwa elimu ya Tanzania.
 
Ylivyotoka tu matokea, nikagundua mgomo tayari,
Hii serikali isipowapa walimu kipaumbele kizazi kijacho ni khasara tupu, kwasababu ujinga utaingia nchi nzima so hii nchi itaachwa kwa kizazi cha wajinga so nadhani itakuwa hatari sana kwa vizazi vijavyo maana mpaka sasa hatujagundua kitu, hatuwezi kutengeneza japo wembe so tulipaswa kusisitiza elimu nasisi tuweze.....

so sad.
 
mgomo wao noma,tunatengeneza generation full of failures.unafikiri serikali imeona hali hii?au hata kama wameona je watatake action???
 
Inderect strike!unakuwepo shule,mapindi hugusi!mwulizeni MWANAASHA J.K.
 
Bado hujakiona kinachoendelea ndugu? Watoto wetu wanafail, walimu siku hzi wanajali miradi yao binafsi kuongeza kipato kuliko kufundisha. Ndo mana nikasema from what i can see, huu ni mwanzo wa kuzama kabisaa kwa elimu ya Tanzania.

Siyo mwanzo washavuka nusu ktk kuzamisha jahazi la elimu
 
mgomo wao noma,tunatengeneza generation full of failures.unafikiri serikali imeona hali hii?au hata kama wameona je watatake action???

Serikali inapokuwa legelege mambo kama haya haiwezi kuyaona bali inamshukuru Mungu mgomo wenyewe hauna direct impact kama ule wa madaktari
 
Kha kha kha hata mwanaasha nae atadai amefeli kutokana na mgomo baridi wa walimu?
 
Bado hujakiona kinachoendelea ndugu? Watoto wetu wanafail, walimu siku hzi wanajali miradi yao binafsi kuongeza kipato kuliko kufundisha. Ndo mana nikasema from what i can see, huu ni mwanzo wa kuzama kabisaa kwa elimu ya Tanzania.

Wanauza visheti mashuleni badala ya kufundisha madarasani
 
TRA nao wako kwenye mgomo baridi!
Kutokana na mazingira magumu ya kazi ya walimu, madai yasiyosikilizwa, walimu wameanza mgomo kimyakimya kwa kile kinachosemekana kuwa wanaogopa kupigwa virungu. Ukifuatilia utendaji kazi wao hauleti matumaini ( hawafanyi kazi kwa moyozaidi ya kuigiza) matokeo ya kidato cha nne ni ushahidi wa kwanza na maneno yao wenyewe ni ushahidi wa pili.
Jamii na Serikali wanatakiwa kuwasikiliza na kuikwamua elimu
 
Walimu kuboreshewa maslahi yao,labda wasubiri serikali zijazo...

Ila,mi napenda kuuliza,hivi walimu na shida zao ni nchi hii tuu,au hata na nchi nyingine fani hii ni ya kipato kidogo?
 
Mgomo wao utakuwa na impact kubwa ambayo itadumu muda mrefu kuliko hata ule wa madaktari. Hapa inabidi serikali isidharau hii kitu!
 
Lakini wa FEZA Girls wenyewe hawajagoma!
Feza ni watu binafsi wanamiliki zilie shule, mgomo ni walim wa serikalini, serikalini ndo walimu wanawalisha watoto matango pori, private huwezi maana umekubaliana nao
 
Back
Top Bottom