Mgomo: Madaktari waiangukia serikali!

Mkuu Lukansola, sijaelewa ulichokuwa unamaanisha mkuu wangu, kwamba mpumbavu ni mtu wa aina gani na sababu ipi tena?

Nimesikia leo kwenye magazeti kuwa tayari wamepishana hao madaktari, wengine wanasema hawamo kwenye kuomba huo msamaha, ndo maana nasema kwa mtazamao wangu kuomba msamaha kwa jambo lililofanywa kwa malengo ni upumbavu, na upumbavu zaidi kwa sababu msamaha unaombwa wakati madai yakiwa bado hayajatekelezwa. Ni mtazamo wangu tu lakini, sioni kama walikuwa na haja ya kuomba msamaha. Regardless of madhara yaliyojitokeza.
 
ndugu pdidy pole sana ndugu yangu najua una hasira km mimi. Ht mi mwanzo niliwalaani sn lkn baadaye nikaja kuwaelewa kwamba hawakuwa na nia ya kuomba msamaha bali ni njaa ndugu yangu.

Hebu firikia mwenyewe, hao watu serikali ilikuwa ndo inawatema wkt washapigika kusoma miaka 5 i.e bila ajira wangeishije? Ungekuwa we ungefanyaje?

So nafikiri ht wao kutoka kumtima hawana nia ya kuomba radhi bali wakiangalia future du!. Hawataki tu kukubali lkn ukweli ndo huo na inawezekana ndo walikujibu hapa jf kwa hasira. Na nahisi walicomment kwa hasira hp jinsia zao ni 'me' bcoz mtoto wa kiume si unajua tena huwezi kukubali kujishusha kirahisi

mkuu deejo
askofu masa nae nimuathirika wa huu mgomo??nijuavyo ameshamaliza field yake huko ....
 
Back
Top Bottom