Mgomo: Madaktari waiangukia serikali!

nakumbuka hiki kikundi cha interns wasaliti kilianza harakati zake wakati wa mgomo wa mwisho kwa kutuma sms za ushawishi zenye mrengo wa serikali wa kujaribu kuwagawa madaktari kwa misingi ya dini.harakati hizi zilifanyika ndani ya nyumba za ibada.sishangai kuwaona wakija na tamko hili.
Hapa utagundua kuna wawakilishi wa system ndani ya madaktari ambao kwa namna moja au nyingine walikuwa wakivujisha siri za mienendo ya comrade ulimboka.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari hao, Paul Swakala alisema ¡°Tulikaa na MAT kuzun gumza juu ya kutusaidia kutatua kero zetu lakini wameshindwa kutusikiliza na baadala yake tumeamua kufika hapa na kutoa kilio chetu¡±Kutokana na kusalitiwa huko, alitoa onyo kwa Madaktari wengine kuwa wanaweza kupima kama wataendelea kujiunga na MAT au la.Alienda mbali zaidi na kusema, hawako tayari tena kushiriki kwa namna yoyote katika migomo inayoweka rehani maisha ya Watanzania.Alisema, kwa hakika wanajutia kosa lao la kushiriki mgomo na wako tayari kurejea kazini ili kuendelea na kazi ya kuwahudumia Wananchi kwa moyo mweupe.
 
uzuri wa medical field ni mmoja tu.
Kosa la kusaliti medical fratenity ni baya kuliko yote.serikali ikiwasemehe hawa vilaza specialists ambao ndio waalimu wao professionally hawatawasamehe na matokeo yake hawatamaliza internship and ultimately they will never qualify to practise medicine in Tz.kamwe kikwete hana uwezo wa kusema hawa ni madaktari kamili,so they have to choose kama watapiga magoti kwa serikali au walimu wa madaktari.this is a big battle!
specialists wajiandae kula vichwa 300 wakianza na dr swakala
 
wew Zomba....weka ushahidi kama unao hapa

JF nzima ni ushahidi na walivyokuwa wana shadidia hata hii leo ukisoma utaona ni magwanda tu wanaosikitika na kuwalaani hawa walioomba msamaha, Mwenye macho haambiwi tazama, mwenye masikio haambiwi sikia.

Sema, wewe siyo gwanda? ulikuwa unaunga mkono au unapinga mgomo wa madaktari?
 
uzuri wa medical field ni mmoja tu.
Kosa la kusaliti medical fratenity ni baya kuliko yote.serikali ikiwasemehe hawa vilaza specialists ambao ndio waalimu wao professionally hawatawasamehe na matokeo yake hawatamaliza internship and ultimately they will never qualify to practise medicine in Tz.kamwe kikwete hana uwezo wa kusema hawa ni madaktari kamili,so they have to choose kama watapiga magoti kwa serikali au walimu wa madaktari.this is a big battle!

Mkuu Jackbauer, unayoaema ni kweli this is so true nikikumbuka mgomo wa 2005...anyway,..the mandate is in the our hands,..

Short term plan:
- They cant be back bse new intern doctors(amvao watahitimu mwaka huu 2012), tayari wako makazini...hili suala la woga wa kuona nafasi zao zinachukuliwa ni matatizo tupu.

I cant imagine someone who leads the family(father/mother) was in DENIAL for more than 2months, kwamba all that time alikuwa gajui kama anapaswa kuwa katika mgomo or not!!! If these are ghe same people going back to save lives...i highly doubt it their capability.
 
leo ni mwezi wa tisa bado fedha za dawa hazijafika mahospitalini!
Huu ni usaliti kwa wananchi.
 
uzuri wa medical field ni mmoja tu.
Kosa la kusaliti medical fratenity ni baya kuliko yote.serikali ikiwasemehe hawa vilaza specialists ambao ndio waalimu wao professionally hawatawasamehe na matokeo yake hawatamaliza internship and ultimately they will never qualify to practise medicine in Tz.kamwe kikwete hana uwezo wa kusema hawa ni madaktari kamili,so they have to choose kama watapiga magoti kwa serikali au walimu wa madaktari.this is a big battle!

Unazungumzia walimu ambao wanaednelea na kazi na maisha yao kama kawaida!
Kwanini tunakosa huruma na hawa young professionals?
 
Mkuu Jackbauer, unayoaema ni kweli this is so true nikikumbuka mgomo wa 2005...anyway,..the mandate is in the our hands,..

Short term plan:
- They cant be back bse new intern doctors(amvao watahitimu mwaka huu 2012), tayari wako makazini...hili suala la woga wa kuona nafasi zao zinachukuliwa ni matatizo tupu.

I cant imagine someone who leads the family(father/mother) was in DENIAL for more than 2months, kwamba all that time alikuwa gajui kama anapaswa kuwa katika mgomo or not!!! If these are ghe same people going back to save lives...i highly doubt it their capability.
I wonder sijasikia registrars ambao wamepoteza ajira zao wakitetereka katika msimamo wao!
All in all hawa mamluki hawatafanikiwa kamwe.
 
wew Zoba....weka ushahidi kama unao hapa

Wewe leo una mdomo wa kuongea? unakumbuka hii? hata magwanda wenzako walikuponda kuwa hawakuelewi, sasa unajuwa kuandika?

Kwa takriban miez & sasa madactari wamekua na mgogoro na serikali, ambao ulianza kwa mainterns waliofukuzwa pale MNH miez & iliyo pita japokua hiyo c hoja tena kwa sababu tatizo hilo lilishatatuliwa.
Katka utatuzi wa suala hilo yaliongezeka madai mengine ya madactari ambayo ctayataja hapa ambayo ilipelekea kuitishwa kwa episode ya kwanza na ya pili ya mgomo ambao uliisha kwa ahadi kuwa hayo yatafanyiwa kazi ikiwa pamoja na Mh. Rais kuahudi kua yupo tiari kulimaliza au kuyafanyia kaz madai hayo.
Ahadi hizo hizo hazkutekelezeka ndio maana madactari wakaamua kuingia katika episode ya tatu ya mgomo wa nchi nzima kushinikiza utekelezaji wa madai yao.
Takriban n wiki 2 sasa zmepita kukiwa na huu mgomo ambao ulianza kwa kasi kubwa na kuungwa na madactari wote kuanzia interns, Registras, residents, na Specialisty....
Hii ilipelekea Resindents kwenye baadhi ya vyuo kucmamishwa masomo, registras kucmamishwa kazi, na interns kuondolewa sehemu zao za kazi.
Pamoja na propanganda za serikali ambazo kwa upande mwingine zmefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuwagawa madactri kwa mtizamo wangu kimedhoofisha kabsa nguvu iliyo kuwapo mwanzon wakati huu mgomo unaanza.
Kwa kitendo cha kuchaguliwa interns peke yao nakuitwa Wizaran na kukabidhiwa barua ya CMI ya kujieleza kwa nn wako kwenye mgomo mmoja mmoja, bila kuwahusisha Residents na regstras n mbinu ambayo kwa mtizamo wangu mm inaenda kuwarudisha interns wote kazn, na kwasababu wao ndo wanaonekana ndio vinara wa huu mgomo basi unaenda kuisha wote kabsa within next week.
Hivyo Mgomo huu waliunzisha Interns na Wanaenda kuumaliza Interns.
Imetolewa na Raymond M. Wlison.
 
hata sisi wananchi tumewasamehe na tunawaombea kwa wahusika mrudi kazini, siku nyingine msifuate mkumbo hasa wa kisiasa
 
wamejiharibia sana hawa ndugu zetu, kosa namba moja ni pale mlipoamua kugawanyika wakati wa kugoma. Kosa namba mbili ni sasa mnapowageuka MAT na kuwatupia mpira wa lawama wakati utashi wa kugoma ulikua juu yenu.Mwisho kabisa nasikitika kusema ya kwamba JK au serikali yake haitawasemehe kwa kuwa imeshagundua wapi mna kasoro, tafadhali jaribuni tu kutafuta career nyinginezo maana inaonesha hamkuwa na plan B.Suala na ninyi kugoma ama kutokugoma ilipaswa mliongee vizuri hapo awali kwenye vikao vyenu vya ndani huku mkishauri na kushauriwa kutoka MAT.
Kama kila mtu aliumbwa kwa udongo wa nchi yake basi huu udongo wa tz haufai maana watanzania tumekuwa na roho nyepesi mno Madiba alikaa jela miaka 27 hawa njaa ya 2 months wamelainika kinoma. Mungu turehemu waja wako
 
Unazungumzia walimu ambao wanaednelea na kazi na maisha yao kama kawaida!
Kwanini tunakosa huruma na hawa young professionals?
Ulimboka alifukuzwa intern na kuteseka mtaani(2005) lakini baadae alimaliza internship(2007) na aliendelea na maisha.mwaka huu alijitolea damu yake kwa ajili yao ni kwa nini wakose uvumilivu na kuamua kununuliwa na adui?do you expect mtu anaweza kuwahurumia hawa wasio na huruma au aibu?
 
Comments nyiingi za wafuasi wa cdm zimejaa kashfa na matusi kwa madokta hawa waliogundua kosa lao kwa watanzania wenzao walio athirika wakati wa mgomo. Maana cdm walikuwa wanafurahia mgomo huo wa madaktari kwa kuwa kama kawaida yao ya siasa za maji taka na vulugu, walikuwa wanafaidika kwao.

magamba bwana kila kitu chadema. umejuaje kuwa ni wafuasi wa chadema?udhaifu wa jk ndo chanzo cha yote. mgomo wkt wa mkapa haukudrag this long coz he made correct intervention kama rais. dhaifu alienda kutembea kama kawaida yake. mtasema hata ffu aliyemuua Mwangosi alikuwa cdm
 
Laiti hii serikali ingekuwa na angalau harufu ya akili! Badala ya kulipa fedha nyingi ili kurubuni watu na kuendesha propaganda za hovyo si wangetumia fedha na rasilimali hizo kupunguza kero za Afya kama zilivyoainishwa na madaktari ktk migomo yao ya karibuni?

Kila kitu JK anafanya siasa na/au usanii tu. Kesho watawahonga na walimu, mtondogoo watawahonga tena wabunge......jamani mpaka lini? Namna hii 2015 ni mbali sana.
 
namkumbuka Daktari wa falsafa ambaye aliingia upinzani,magamba wakamkalia kooni akajikuta hana udiwani,hana Ubunge n.hana uhadhiriwa chuo kikuukuu cha Manzese halafu askakuta hata haki ya kufanya kazi kama wakili huku Tanganyika hana.Huyu alirudishwa CCM kama vile anabarikiwa na askofu hapo jangwani.
Hakuna tatizo kubwa kama kugawanywa na mkagawanyika kama kundi.Toba hiyo ni ngumu na hata maslahi yenu mtaambiwa myakane yote ndipo mrudi kazini,kama huyu daktari wa falsafa ya sheria!naona aibu kusikia hili
 
Mlimdharau Pinda aliposema LIWALO NA LIWE pamoja na Rais Kikwete alipowaambia mapema madhara ya mgomo kwenu nyie(interns) mkajifanya kichwa ngumu leo mnalia nini? Komaeni hivyo hivyo...!!
 
Back
Top Bottom