Machafuko gani????? Mbona tunawaogopa binadamu walioumbwa kwa nyama na damu kama yetu? kwani wao hawawezi kuuwawa?
Unaweza kuwaua kwa upinde wakati wenzio wana AK-47? Usiote ndugu yangu!! "TO EVADE A BLOW IS NOT COWARDICE"
Machafuko gani????? Mbona tunawaogopa binadamu walioumbwa kwa nyama na damu kama yetu? kwani wao hawawezi kuuwawa?