Pendael laizer
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 958
- 101
Mi sioni tatizo kwa Nassary kuchangisha kwani hata baada ya kuchangisha aliwahi kusema yuko tayari kumpisha Dr. Slaa kama atataka kugombea na ataheshimu maamuzi ya chama. Nina wasiwasi na mtoa mada kuwa ni mmoja wa wanaomba usiku na mchana Chadema ipoteze Jimbo hilo. Nikija upande wa wagombea hakuna hata mmoja aliyejitokeza hadharani kulalamikia hilo, labda ritz angetueleza amekutana wapi na wagombea hao wa Chadema na walimlalamikia/walimweleza yeye akiwa na uhusiano gani nao? Je ni mamluki kutoka ccm? Je CDM hakuna viongozi? Hii inatupa kuwa kumbe CCM mna mamluki mliowatuma asanteni kwa taarifa.
asilimia mia moja nakuunga mkono. People's power!