Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Kauli za Serikali kuhusu swala la Mgao wa Umeme zimekuwa kero zenyewe, maana kila siku kuna Vijisababu ambavyo havina majibu.
Sasa mimi nashauri Serikali iangalie namna ya kupata mwekezaji, ambaye atatuletea huduma hii ya kuvuna umeme wa jua na kwa hili jua la Dar yaani umeme utakuwa unanguvu sana. Baada ya Jua kuchoma Wananchi lichome Solar Pannels sisi tupate umeme, na hii itashusha Gharama za umeme kabisa.
Pia inaweza kutumika kama 'backup' ya umeme wa sasa huu umeme wa kupigizana kelele.
Naomba mamlaka husika mfikirie hili ili tupate suluhu rafiki kwa swala hili. Huu mradi tunaweza ufanya hata wenyewe.
Sasa mimi nashauri Serikali iangalie namna ya kupata mwekezaji, ambaye atatuletea huduma hii ya kuvuna umeme wa jua na kwa hili jua la Dar yaani umeme utakuwa unanguvu sana. Baada ya Jua kuchoma Wananchi lichome Solar Pannels sisi tupate umeme, na hii itashusha Gharama za umeme kabisa.
Pia inaweza kutumika kama 'backup' ya umeme wa sasa huu umeme wa kupigizana kelele.
Naomba mamlaka husika mfikirie hili ili tupate suluhu rafiki kwa swala hili. Huu mradi tunaweza ufanya hata wenyewe.