Mgao wa umeme rasmi waanza

fungamesa

Senior Member
Feb 20, 2009
129
13
jamani kwa wana JF huku Kijichi umeme ilikatika saa 11.00 alfajiri mpaka sasa hivi saa 2.20 usiku hakuna dalili za kurudishwa tujue walikuwa wanatuzuga kwa ajili mya sikukuu ya pasaka ndo waanze mgao rasmi nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom