St. Paka Mweusi na Mbuzi Mzee mtaleta shida hapa muda sio mrefu........kujilinda ni kupeleka hili suala mahakamani ili lisizungumziwe!! teh teh tehJamani naona kitimoto au miwani inanizingua...?
Last edited by a moderator:
St. Paka Mweusi na Mbuzi Mzee mtaleta shida hapa muda sio mrefu........kujilinda ni kupeleka hili suala mahakamani ili lisizungumziwe!! teh teh tehJamani naona kitimoto au miwani inanizingua...?
St. Paka Mweusi na Mbuzi Mzee mtaleta shida hapa muda sio mrefu........kujilinda ni kupeleka hili suala mahakamani ili lisizungumziwe!! teh teh teh
St. Paka Mweusi na Mbuzi Mzee mtaleta shida hapa muda sio mrefu........kujilinda ni kupeleka hili suala mahakamani ili lisizungumziwe!! teh teh teh
100% Uko sawa mkuu inabidi nikimbilie huko kujilinda.......
Nimeshameza mate ya kutosha, naomba glas ya maji nishushie
Tumeshaunda Tume tena Tume huru kushughulikia swala lako. Naomba Mhimili huu usiingiliwe na mhimili mwingine
Nashukuru kaka kwa utendaji uliotukuka na wa haraka....
Tumeshaunda Tume tena Tume huru kushughulikia swala lako. Naomba Mhimili huu usiingiliwe na mhimili mwingine
Duh...naona umefanya Mchakato na Upembuzi Yakinifu kuhusu hili suala kwa haraka zaidi!!........ St. Paka Mweusi umepona!!
nyie watu nyieee. By thw way huo mfungo waaanza lini? Ili wadau tuanze kujipanga kutokuwakwaza watu
Nyie watu wachokozi sana..........
Hii order ni ya mtu mmoja au?