Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Kaka hiyo mbona hata haitoshi kwa mtu mmoja...
Duu.......utakuwa kama JOHN KOMBA usipoanagalia utamu wa hii kitu
Kaka hiyo mbona hata haitoshi kwa mtu mmoja...
Duu.......utakuwa kama JOHN KOMBA usipoanagalia utamu wa hii kitu
Ombi limezingatiwa glas ya maji hiyo hapo ukimaliza nikuongezee na safari au kilimanjaro..??
Watu wamekula mboga yoote na kuacha mindizi in 5 minutes only
Tatizo letu sisi wenye miili kama Kagame huwa haturidhiki hata iweje mkuu...
Watu wamekula mboga yoote na kuacha mindizi in 5 minutes only
Mmmh haya bana. Mate + glass ya maji + safari beer . UNAUTAKIA MEMA UTUMBO WANGU?
Mmmmmh.....hiyo ya kwanza mbona kama "mdudu"??
JF Members pls lets all Respect Muslim faith on this holy month of Ramadan.
Ramadhan Kareem to all Muslim brothers.
Duh...naona umefanya Mchakato na Upembuzi Yakinifu kuhusu hili suala kwa haraka zaidi!!........ St. Paka Mweusi umepona!!
Nimefanya kuzingatia Itifaki pamoja na Sera ya Utawala Bora
Asante sana mkuu. Basi tupeane namba.
happiness win mbona umetoweka ghafla hutaki konyagi,,,
Yaani huu ni uchokozi hasa! hadi udenda unatoka lol!
Nimegundua hunitakii mema!
Haya yote ni mapenzi yangu kwako ndio yananipelekea kufanya hivi usijesema leo sikushiba kabisa nilipomtembelea mtakatifu.....