Mfumo wa Vyama vingi na Katiba ya chama kimoja

Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Si kweli kwamba upinzani umeishiwa pumzi ila umehujumiwa kwa mtazamo wangu.

Wazo lako si baya ila kabla ya hiyo kura tuvipe usawa vyama vipige kameni sawa kujieleza kwa nini visifutwe.

tufanye mabadiliko ya hiyo tume itakayosimamia uchaguzi huo iwe huru na haki isiyo na maslahi pande zote.

Uundwaji wa hii tume;
1. Kila chama kiwe na wawakilishi sawa (observer) wenye maslahi na vyama vyao katika kila hatua muhimu ya zoezi la hiyo kula.
2. Vyama vishirikishwe katika kumteua na kumchagua mwenyekiti wa tume hiyo na asiwe na maslahi na chama chochote (neutral) Mwenyekiti wa tume hiyo apatikane kutokana na njia vyama vitakavyoona inafaa.
Nadhani kwa nafasi hiyo wakishindwa wataridhia ombi lako.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Unatumia jina kubwa unaandika upuuzi mtupu!! Kiufupi ruhusumi mikutano ya upinzani ilituone jinsi upinzani ulivyoishiwa pumzi. Usishabikie siasa kama ushabiki wa Mpira wa miguu. Sera zitumikazo sasa ni za upinzani hatahivyo sasa isipokuwepo mtatumia sera zanani za Chenge?.
MF. sera za Elimu bure,madini,ndege,reli,makusanyo ya kodi,Barbara za kisasa nk. mmetoa wapi?
 
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
We waonaje???
 
Ukiona upinzani unaogopa polisi ujue hakuna mpinzani hapo ni wachumia tumbo watupu!

Upinzani si CHADEMA ,ACT , NCCR au Mbowe/ Zitto upinzani ni zaidi ya hivyo. Utafanikiwa kuua vyote/wote hapo juu lakini bado upinzani utakuwepo.
 
Unatumia jina kubwa unaandika upuuzi mtupu!! Kiufupi ruhusumi mikutano ya upinzani ilituone jinsi upinzani ulivyoishiwa pumzi. Usishabikie siasa kama ushabiki wa Mpira wa miguu. Sera zitumikazo sasa ni za upinzani hatahivyo sasa isipokuwepo mtatumia sera zanani za Chenge?.
MF. sera za Elimu bure,madini,ndege,reli,makusanyo ya kodi,Barbara za kisasa nk. mmetoa wapi?
Hahahaa......!
 
CCM IMEPOTEZA PUMZI. Sasa nguvu yake ni tume ya uchaguzi, polisi, usalama wa taifa, polisi na sheria kandamizi. Ukiviondoa hivyo hata fsmilia zao zinaweza kuwanyima kura.
Kiukweli kwa sasa upinzani ni kama umeishiwa pumzi na kuendelea kuulea ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwa kisingizio cha ruzuku.

Je, hakuna haja ya kuitishwa upya kwa kura ya maoni kuona kama watanzania bado tunauhitaji mfumo wa vyama vingi vya siasa?

Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanapenda sana kujidanganya.Akiambiwa upinzani,basi anawaza tu aone bendera na ofisi za vyama kinzani.Hawapendi kujiuliza ukinzani hutokana na nini?Leo hii wananchi wanalia kuhusu hali mbaya ya uchumi halafu ukinzani usiwepo?Unaweza kuwafunga au kuwabughudhi viongozi wa ukinzani wanaoonekana.Je,utaweza kuuzuia ukinzani uliopo mioyoni mwa watu wanaoishi kwa umasikini,njaa,huduma hafifu za afya,barabara mbovu uminywaji wa demokrasia,mauaji,utekaji na mengine mengi ya aina hiyo?Tafakari.
 
Niliposhauri vyama vifutwe sikusema katiba isibadilishwe, ofcourse ni lazima ibadilishwe.

Tambua kuwa kuna wanaopenda maslahi ya nchi na wanayoyapuuzia.tatizo lililopo ni kwa wale wanaopenda maslahi ya nchi kushindwa kuyatetea kwa sababu yanaingiliana na maslahi ya chama.

Swala la kusema mpaka nchi fulani duniani ianzishe ndio na sisi tuige sikubaliani nao. Angalia Switzerland, hii nchi inabuni njia zake za kujiendesha yenyewe na sio lazima ifanane na njia zinazotumiwa na nchi nyingine yoyote duniani na wanafanikiwa kwelikweli. Sisi tunaweza kuwa waanzilishi wa kutokuwa na vyama vya siasa.Wengine wanaweza kutuiga sisi.
Utuambie kuwa hivyo vyama unavypendekeza vifutwe ni vyama gani. Je, ni vya ushirika? Vya siasa? Vya hiari?, NGOs? Au vyama vipi?

Kama unataka utawala usiokuwa na vyama hayo yatakuwa mapinduzi ya kijeshi au utawala wa kidini kama Saudi Arabia au mapinduzi mwngineyo tu yatayosimika utawala wa m-babe mmoja ambaye hana chama cha siasa.

Kama unamaanisha vyama tofauti na CCM basi hapo umechemka. Vyama vyote vina hadhi sawa ila havina rasilimali na ushawishi unaofanana. Kama utataka CCM itumie ushawishi wake kwa serikali ili vyama vingine vifutwe huo ni u-kichaa. Kwani kesho kitaingia chama kingine nacho kitakuwa na ajenda ya kuifuta CCM.

Usalama wa CCM ni kuviheshimu vyama vyote na kuheshimu misingi yote inayotambulika kikatiba. Hakuna binadamu anayetakiwa kujiweka au kuwekwa juu ya katiba. Katiba peke yake ndiyo mlinzi wa amani na mafanikio ya nchi hii. Binadamu ni kiumbe tu ambaye leo yupo kesho hayupo.

TUACHE FIKRA ZA KUABUDU WATU
 
Many thanks ELNINO.

Watanzania naomba tusahau maendeleo ya kweli kupitia mfumo huu wa vyama vya siasa. Kikubwa ni kuongezeka kwa UKABILA WA KISIASA KILA KUKICHA.
Huyu aliyepo ameasisi rasmi siasa za kikabila. Ajaye kama hatatokea kabila lake basi naye atapambana kufukuza watakaokuwepo na ataweka kabila lake.

CCM dhaifu imeshikiliwa na kuharibiwa mwenyekiti na anaanza kujijengea mazingira ya kutawala zaidi ya matakwa ya katiba. CCM ikimshindwa ukabila utaisumbua sana hii nchi. Wenye subira kuwa ataondoka watakosa hiyo subira, na hapo ndipo siasa za visasi na mauaji zitarudi nchini kwa kasi ya ajabu.

Tuiombee nchi hii iepuke mawazo ya kipuuzi yanayoenda kinyume na demokrasia.
 
Niliposhauri vyama vifutwe sikusema katiba isibadilishwe, ofcourse ni lazima ibadilishwe.

Tambua kuwa kuna wanaopenda maslahi ya nchi na wanayoyapuuzia.tatizo lililopo ni kwa wale wanaopenda maslahi ya nchi kushindwa kuyatetea kwa sababu yanaingiliana na maslahi ya chama.

Swala la kusema mpaka nchi fulani duniani ianzishe ndio na sisi tuige sikubaliani nao. Angalia Switzerland, hii nchi inabuni njia zake za kujiendesha yenyewe na sio lazima ifanane na njia zinazotumiwa na nchi nyingine yoyote duniani na wanafanikiwa kwelikweli. Sisi tunaweza kuwa waanzilishi wa kutokuwa na vyama vya siasa.Wengine wanaweza kutuiga sisi.
Vyama vifutwe? Utakuwa mbinafsi sana wewe nani atakichalenji chama tawala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom