NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
- Thread starter
- #21
Analaghaiwa mtoto wa shule wewe, huyo mwanamke mzima mpaka ameolewa unasema analaghaiwa? ni tamaa zake za kushindwa kuridhika na mumewe na huyo jamaa yako amechukua mwanamke ambae si size yake, mke anataka makubwa wakati yeye hawezi kumtimizia, mwambie asubiri ubavu wake, huo amekwapua wa mwenzie
Huoni kama Kampendezesha ndio jamaa kamuona anafaa? be fair kdiogo da maty