NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Bwana mmoja mwenye tabia ya kubeba wake za watu huko Kimara juzi kati amefumwa akiwa na mke wa mtu.
Huyo bwana kachabangwa mabao na kumwagiwa mitusi mbele ya kadamnasi na mwanamke ambaye inasemekana pia ni mke wa mtu.
Habari zimemfikia mume wa mmoja wa hawa wanawake amabye ni rafiki yangu na anamsaka huyu jamaa ili amfanyizie kwa kumwaribia mahusiano ya ndoa yake kwa muda mrefu.
Tumshaurije huyu bwana anaye msaka mtuhumiwa wake maana anahasira na aweza fanya maangamizi na kujikuta anaingia pabaya?
Huyo bwana kachabangwa mabao na kumwagiwa mitusi mbele ya kadamnasi na mwanamke ambaye inasemekana pia ni mke wa mtu.
Habari zimemfikia mume wa mmoja wa hawa wanawake amabye ni rafiki yangu na anamsaka huyu jamaa ili amfanyizie kwa kumwaribia mahusiano ya ndoa yake kwa muda mrefu.
Tumshaurije huyu bwana anaye msaka mtuhumiwa wake maana anahasira na aweza fanya maangamizi na kujikuta anaingia pabaya?