Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,873
- 8,894
Ushauri kwa ninachoona kinachoelekea kwa baadhi ya wachangiaji Waganga
Kuna baadi ya Post hapa zinaonekana kama ni za Waganga wa Tiba asili ila wapo kwenye kivuli fulani.
Na ni Colapo ya ya wachangiaji Capital na Deception
Hapa ni mtego ambao wao wapo kibiashara zaidi,na hii ni kutumia maradhi ya wenzao kama chanzo cha kupatia pesa.
Mnakuja na nahau nyingiiiiiii za loliondo.
Na hii ni kwa kuona kwamba Waathirika wengi wameishakata tamaa,basi kila wanaloambiwa wao watafuata.Sasa hawa jamaa target yao ni kwamba watu wa wa PM ili huko ndio wakapigwe vizuri na Tiba fake Mbadala.
Wewe Doctor ameishapima,nyie mnakuja na mauzauza mengine ya kwenu,tatizo ni kwamba mna fikra za kizamanai juu ya Ukimwi na wakati sasa kuna fikra mpya juu ya Ukimwi na Vipimo vyake.
Hembu fanyeni kazi mpate pesa halali,na na sio kuhadaa watu na Tiba zenu za ajabu na kujifanya watabibu na washauri wa tiba za Waathirika.
Kuna baadi ya Post hapa zinaonekana kama ni za Waganga wa Tiba asili ila wapo kwenye kivuli fulani.
Na ni Colapo ya ya wachangiaji Capital na Deception
Hapa ni mtego ambao wao wapo kibiashara zaidi,na hii ni kutumia maradhi ya wenzao kama chanzo cha kupatia pesa.
Mnakuja na nahau nyingiiiiiii za loliondo.
Na hii ni kwa kuona kwamba Waathirika wengi wameishakata tamaa,basi kila wanaloambiwa wao watafuata.Sasa hawa jamaa target yao ni kwamba watu wa wa PM ili huko ndio wakapigwe vizuri na Tiba fake Mbadala.
Wewe Doctor ameishapima,nyie mnakuja na mauzauza mengine ya kwenu,tatizo ni kwamba mna fikra za kizamanai juu ya Ukimwi na wakati sasa kuna fikra mpya juu ya Ukimwi na Vipimo vyake.
Hembu fanyeni kazi mpate pesa halali,na na sio kuhadaa watu na Tiba zenu za ajabu na kujifanya watabibu na washauri wa tiba za Waathirika.