Mfanyakazi/Mwajiriwa sasa kupewa TIN Number ili kutambulika kama mlipa kodi kupitia PAYE

Ni vizuri kujizoesha kuwa na mawazo positive...SIO KILA KITU ni kuwazia negative
Ninavyo fahamu, huo ni utambulisho tu kuwa mfanyakazi ndiye mlipa kodi na sio taasisi/kampuni kwa kuwa wewe ndiye unakatwa mshahara wako.

Lakini pia ikitokea tax exemption kwa walipa kodi wazuri, mfanyakazi ataweza kunufaika kwani sasa ataweza kuthibitisha kuwa, yeye ni miongoni mwa walipa kodi wazuri. Kumbuka kuna wafanyakazi wanalipa kodi ya mshahara sawa au zaidi ya baadhi ya wamiliki wa maduka makubwa ila kwa sasa hawatambuliki, hivyo ikitokea tax exemption hawawezi kunufaika kwa kuwa hakuna record za kuthibitisha

Mwisho; itasaidia serikali ukusanyaji wa mapato kwani wakiona mtu fulani hajatoa kodi ya mshahara, itabidi taasisi/shirika husika liulizwe ili litoe maelezo
 
Private sectors walisha peleka Tin tangu mwezi March/April
Kimsingi hizo ni utambulisho tu kuwa mfanyakazi ndiye amelipa kodi na sio taasisi/kampuni kwa kuwa wewe ndiye unakatwa mshahara wako
Pia itasaidia serikali ukusanyaji wa mapato kwani wakiona mtu fulani hajatoa kodi itabidi taasisi/shirika liulizwe kwa nini?
Lakini pia kukiwa na taxi exemption mfanyakazi anaweza kunufaika kwani sasa ataweza kuthibitisha kuwa, yeye ni miongoninwa walipa kodi wazuri. Kumbuka kuna watu wanalipa kodi ya mshahawa sawa au zaidi ya baadhi ya wamiliki wa maduka ya Whole sale..sasa kwa nini nayeye asinufaike ikitokea fursa ya tax exception
Ila nadhani itakuwa ngumu sana hasa kwa sector binafsi, wangerekebisha kwanza mifumo ya uajiri.
 
Tin no ni usajili wa mlipa kodi yeyote na kwa kuwa wafanyakazi wanalipa kodi wanapaswa kuwa nayo ni mawazo yangu lkn mkuu
Kodi ambayo mfanyakazi analipa kama mfanyakazi, ni PAYE. Hii wala haina shida na haikwepeki. Serikali inaikata mapema kabisa.

Mimi nadhani wanataka kutrack mali za wafanyakazi . Kama mfanyakazi ana TIN ya gari alimiliki halafu akauza, mfano, itaonekana. Hasa kama aliuza bila TRA kujua, na kupata mgao wake.

Kwa vyovyote, ni ishara tosha kuwa honeymoon ya uchaguzi imekwisha sasa, ni muda wa kamatakamata. Tutaisoma Namba haswa.
 
Kodi ambayo mfanyakazi analipa kama mfanyakazi, ni PAYE. Hii wala haina shida na haikwepeki. Serikali inaikata mapema kabisa.

Mimi nadhani wanataka kutrack mali za wafanyakazi . Kama mfanyakazi ana TIN ya gari alimiliki halafu akauza, mfano, itaonekana. Hasa kama aliuza bila TRA kujua, na kupata mgao wake.

Kwa vyovyote, ni ishara tosha kuwa honeymoon ya uchaguzi imekwisha sasa, ni muda wa kamatakamata. Tutaisoma Namba haswa.
Mkuu hili suala linatia hofu sana.
 
Ni kuboresha taarifa za walipa kodi tu. Nchi itakuwa kama islaer yaani ukiingiza namba ya nida papo hapo ikupe namba ya nssf/psssf na tin number.

Wahusika watajua kama upo kazini au ni mfanya biashara.
Na kama upo kazini basi taarifa za ukomo kazini ziwe zinawiana yaani ukisimamisha kodi ya PAYE na PSSSF/NSSF/ZSSF nazo zikome.

Na faida ya pili tutaokoa wafanyakazi hewa kwenye taasisi za watu binafsi kwani ma hr wanabandika majina tu huku wahusika hawapo na matajiri hawajui kama wanaibiwa.

Tutafika mahali ambapo taarifa za vizazi na vifo nao watakuwa wanahitaji namba ya NIDA yaani ukiweka namba tu itasema huyu ni marehemu.
 
Tin no ni usajili wa mlipa kodi yeyote na kwa kuwa wafanyakazi wanalipa kodi wanapaswa kuwa nayo ni mawazo yangu lkn mkuu
Kuna siku moja niliwahi kuropoka mahali fulani kuwa kwa kodi ya mapato inayotozwa kwa mtumishi wa umma yafaa apewe na TIN kabisa. Wakati huo kodi yangu ya mapato kwa mwezi ilikuwa sh. 223,000/- hivi. Leo wazo linatembea rasmi.
 
Kodi ambayo mfanyakazi analipa kama mfanyakazi, ni PAYE. Hii wala haina shida na haikwepeki. Serikali inaikata mapema kabisa.

Mimi nadhani wanataka kutrack mali za wafanyakazi . Kama mfanyakazi ana TIN ya gari alimiliki halafu akauza, mfano, itaonekana. Hasa kama aliuza bila TRA kujua, na kupata mgao wake.

Kwa vyovyote, ni ishara tosha kuwa honeymoon ya uchaguzi imekwisha sasa, ni muda wa kamatakamata. Tutaisoma Namba haswa.
Alafu we jamaa haya mambo ni ya ndani sanaaa. Wewe umejuaje
 
Yaani kama wewe ni mfanyakazi halafu unakagari kako au bodaboda(walimu wengi walikopa kununua boda) au bajaji ulisajili kwa commercial halafu ukala kona hulipi kodi yake ya kila mwaka lazima upatikane.

Yaani hata kama lilipata ajali halipo road hukuwahi kwenda kuripoti TRA jiandae.A Auuliliuza kwa mtu naye hajabadili jina jiandae.

Kudadadeki halafu kama ulishakuwa na tin number kwa jina lako huwezi kupewa nyingine.
Kimbembe wakukute wewe tin number yako unalipa kodi kubwa kwa biashara zako nyingine kama lodge wakati mshahara wako mdogo unaweza kuitwa utoe maelezo umepata wapi.

Wakute pia ulilipa capital gain
kwa tin number yako hiyo kwa Mali let's say ardhi au nyumba uliyonunua kwa bei kubwa wakati mshahara wako unasoma kama alivyokuacha jk TGS D lazima utaonekana.

Sasa ni zamu ya wafanyakazi kuishi kama mashetani imewadia
wengi wanatapatapa wanataka kutengeneza tin number nyingine wanashindwa system inawaambia tayari wanayo.

Wafanyakazi jiandaeni kisaikolojia kwa negative repercussions yatakayojiri kuhusu hili jambo.
 
Back
Top Bottom