Mfanyakazi/Mwajiriwa sasa kupewa TIN Number ili kutambulika kama mlipa kodi kupitia PAYE

Ni vizuri kujizoesha kuwa na mawazo positive...SIO KILA KITU ni kuwazia negative
Ninavyo fahamu, huo ni utambulisho tu kuwa mfanyakazi ndiye mlipa kodi na sio taasisi/kampuni kwa kuwa wewe ndiye unakatwa mshahara wako.

Lakini pia, ikatokea kukawa na tax exemption mfanyakazi ataweza kunufaika kwani sasa ataweza kuthibitisha kuwa, yeye ni miongoni mwa walipa kodi wazuri. Kumbuka kuna wafanyakazi wanalipa kodi ya mshahara sawa au zaidi ya baadhi ya wamiliki wa maduka makubwa ila kwa sasa hawatambuliki, hivyo ikitokea tax exemption hawawezi kupata msamaha..

Mwisho; itasaidia serikali ukusanyaji wa mapato kwani wakiona mtu fulani hajatoa kodi ya mshahara, itabidi taasisi/shirika husika liulizwe ili litoe maelezo
Hawatambuliki vp wakati anayetoa huo msharaha ndiye anayeukata Kodi...sijawahi kuona mtu anesahaulika kukatwa PAYEE...labda Kama we umewahi sahaulika.
 
WAAJIRI WENGI HAWAPELEKI P.A.Y.E ZETU 🤣 🤣


NET PAY CALCULATOR - 2019
Gross Pay
800,000
PAYE
98,100​
NSSF
80,000​
Net Pay
621,900

Non-Cash Benefits
80,000​
Allowable Deductions
160,000​
Taxable Pay
720,000​
 
Naona MATAGA yamejipanga tu hapo kutetea utumbo...

Watumishi jiandaeni kupigwa Rede tena kama mlivyofanywa ktk uhakiki... Hakuna nini wala nini hapo.

Ni kuendelea chelewesha /wanyima haki zenu.

Upumbavu mtupu. Na mtanyooka... Hasa Walimu. Mi 5 tena.
 
Sio sahihi sio wafanyakazi wote wanalipa kodi (paye)
kima Cha chini ( less than 270000) hawalipi Kodi,
mungu wa kabudi halipi kodi
Majaji hawalipi Kodi
Wabunge hawalipi be kodi
Asante kwa hizi 'Nondo' tuendelee kuelimishana.
 
Sio sahihi sio wafanyakazi wote wanalipa kodi (paye)
kima Cha chini ( less than 270000) hawalipi Kodi,
mungu wa kabudi halipi kodi
Majaji hawalipi Kodi
Wabunge hawalipi be kodi
Ila punguza chumvi kidogo kuanzia lini wabunge na majaji hawalipi kodi kutokana na ajira zao?
 
Back
Top Bottom