Liganga
Senior Member
- Jul 4, 2007
- 165
- 125
Leo kiunaga ubaga natoa uchambuzi wa Taifa letu miaka ile ya sabini na leo wakati tuna
adhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika. Utakapo fika mwisho wa habari hii fupi naomba
utoe jibu lako katika kila kipengere cha kauli hii ya maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru, yaani :
"TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE"
Miaka ile ya sabini, taifa letu lilifanana hivi na Leo linafanana hivi
Mashirika ya Umma : 1970s = 300+ na 2011 = < 10
Benki ya biashara : 1970s = 1 na 2011 = 0
Benki ya nyumba : 1970s = 1 na 2011 = 0
Vyama vya ushirika : 1970s = 20+ na 2011 = 0
Dola kwa shilingi : 1970s = 1/8 na 2011 = 1/1800
Asilimia ya mapato ya kuuza nje iliyotumika kuagiza mafuta : 1970s = 10% na 2009 = 52%
Tani moja ya chai ilinunua mafuta ghafi : 1970s = 60 pipa na 2011 = 35 pipa
Gharama za vita : 1970s = $ 500 million na 2011 = 0
Kampuni za simu mezani : 1970s = 1 na 2011 = 1
Kampuni simu za viganja : 1970s = 0 na 2011 = 5
Uzalishaji umeme : 1970s = MW350+ na 2011 = MW780+
Bandari za baharini : 1970s = 3 na 2011 = 3
Meli : 1970s = 8 na 2011 = 3
Mashirika ya Reli : 1970s = 2 na 2011 = 2
Wakala wa meli : 1970s = 1 na 2011 = 0
Ndege za ATC : 1970s = 5 na 2011 = 1
Mtandao wa barabara za lami : 1970s = 3000+ na 2011 = 9000+
Tuendele kuiboresha orodha hii hili kuweza kujua je ni kweli
TUMETHUBUTU????
TUMEWEZA?????
TUNASONGA MBELE????
Nyongeza
Nashukuru kwa maoni ya wachangiaji mbalimbali
Muda unabana lakini nafikiri tukishirikiana tutaboresha hiki kitu
Nimejitahidi kupitia vitabu vichache vyenye kueleza juu ya Tanzania wakati
ule, pia nimetembelea tovuti ya NBS (Taasisi ya takwimu apo nyumbani) nao pia wako na
takwimu za miaka ya hivi karibuni.
Tunaitaji takwimu kugusa maeneo yafuatayo :
1. Elimu >> wahitimu ngazi mbalimbali na idadi ta taasisi za elimu
2. Maji
3. Afya
4. Mauzo ya nje
5. Thamani ya bidhaa tulizoagiza
6. GDP
7. Mshahara kima cha chini
8. Bei za vitu vya msingi (mchele, mafuta kula, maharage, unga, ndizi, ngano, nyanya, vitunguu n.k)
9. Idadi ya watu (Population)
10. Ukubwa wa bunge (idadi ya wabunge, matumizi yake) na serikali (idadi ya mawaziri na manaibu, wakuu wa mikoa, matumizi ya serikali)
Ningependa sisi hapa JF tuifanye kazi yetu hii na ndio iwe mchango wetu katika maadhimisho ya
miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika. Tunaweza kuitoa humu na pia katika magazeti mbalimbali ya kila siku
na kama wahariri wakikubali badala ya kuwa makala, iandaliwe vizuri kama toleo maalum.
MWISHO :
Kwa wale walio na wasi wasi wa nini nimeifanyia nchi yangu, kazi hii ni moja wapo wa vitu ninavyoifanyia
nchi yangu (Muda na uchambuzi niliowekeza) pamoja na uwakilishi mzuri huku ughaibuni kwa kulinda
sifa na heshima ya mtanzania huku nikienzi lugha yangu ya kiswahili.
adhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika. Utakapo fika mwisho wa habari hii fupi naomba
utoe jibu lako katika kila kipengere cha kauli hii ya maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru, yaani :
"TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE"
Miaka ile ya sabini, taifa letu lilifanana hivi na Leo linafanana hivi
Mashirika ya Umma : 1970s = 300+ na 2011 = < 10
Benki ya biashara : 1970s = 1 na 2011 = 0
Benki ya nyumba : 1970s = 1 na 2011 = 0
Vyama vya ushirika : 1970s = 20+ na 2011 = 0
Dola kwa shilingi : 1970s = 1/8 na 2011 = 1/1800
Asilimia ya mapato ya kuuza nje iliyotumika kuagiza mafuta : 1970s = 10% na 2009 = 52%
Tani moja ya chai ilinunua mafuta ghafi : 1970s = 60 pipa na 2011 = 35 pipa
Gharama za vita : 1970s = $ 500 million na 2011 = 0
Kampuni za simu mezani : 1970s = 1 na 2011 = 1
Kampuni simu za viganja : 1970s = 0 na 2011 = 5
Uzalishaji umeme : 1970s = MW350+ na 2011 = MW780+
Bandari za baharini : 1970s = 3 na 2011 = 3
Meli : 1970s = 8 na 2011 = 3
Mashirika ya Reli : 1970s = 2 na 2011 = 2
Wakala wa meli : 1970s = 1 na 2011 = 0
Ndege za ATC : 1970s = 5 na 2011 = 1
Mtandao wa barabara za lami : 1970s = 3000+ na 2011 = 9000+
Tuendele kuiboresha orodha hii hili kuweza kujua je ni kweli
TUMETHUBUTU????
TUMEWEZA?????
TUNASONGA MBELE????
Nyongeza
Nashukuru kwa maoni ya wachangiaji mbalimbali
Muda unabana lakini nafikiri tukishirikiana tutaboresha hiki kitu
Nimejitahidi kupitia vitabu vichache vyenye kueleza juu ya Tanzania wakati
ule, pia nimetembelea tovuti ya NBS (Taasisi ya takwimu apo nyumbani) nao pia wako na
takwimu za miaka ya hivi karibuni.
Tunaitaji takwimu kugusa maeneo yafuatayo :
1. Elimu >> wahitimu ngazi mbalimbali na idadi ta taasisi za elimu
2. Maji
3. Afya
4. Mauzo ya nje
5. Thamani ya bidhaa tulizoagiza
6. GDP
7. Mshahara kima cha chini
8. Bei za vitu vya msingi (mchele, mafuta kula, maharage, unga, ndizi, ngano, nyanya, vitunguu n.k)
9. Idadi ya watu (Population)
10. Ukubwa wa bunge (idadi ya wabunge, matumizi yake) na serikali (idadi ya mawaziri na manaibu, wakuu wa mikoa, matumizi ya serikali)
Ningependa sisi hapa JF tuifanye kazi yetu hii na ndio iwe mchango wetu katika maadhimisho ya
miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika. Tunaweza kuitoa humu na pia katika magazeti mbalimbali ya kila siku
na kama wahariri wakikubali badala ya kuwa makala, iandaliwe vizuri kama toleo maalum.
MWISHO :
Kwa wale walio na wasi wasi wa nini nimeifanyia nchi yangu, kazi hii ni moja wapo wa vitu ninavyoifanyia
nchi yangu (Muda na uchambuzi niliowekeza) pamoja na uwakilishi mzuri huku ughaibuni kwa kulinda
sifa na heshima ya mtanzania huku nikienzi lugha yangu ya kiswahili.