RUMANYIKA
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 315
- 74
Haya mambo ndio ya kuelimisha wenzetu ambao, hawana access ya kuingia humu. Watawala wamekua wadanganyifu kana kwamba kuna maendeleo makubwa kumbe uzushi mtupu. Ningependa iandaliwe makala ndefu inayoeleza kwa kina kuhusu tofauti ya kimaisha toka miaka ya 70s hadi leo. Ili tuone wamedhubutu nini na wameweza nini na kwa lipi wanalosongesha mbele?