Meya wa Jiji la Arusha, Kalisti Lazaro ahamia CCM. Awashutumu CHADEMA kumkataza kutoa ushirikiano kwa viongozi wa Serikali

Wadau bila kupoteza muda.
kalisti Lazaro ambaye alikuwa Meya wa Arusha kupitia CHADEMA sasa naona anakwenda kugombea Ubunge kwa ticketi ya CCM na atampiga Lena mweleka usio na kifani.
Anayebisha anaruhusiwa kutokwa povu kadri awezavyo.
Nabii nimemaliza kazi yangu ya kutabiri.
 
Mpiga zumari wa CCM tawi la JF mbona unaandika rafu sana kana kwamba ujira wako hujilipwa?
 
Aende tu akaunge juhudi na kupewa cheo kikubwa kinachozidi cha umeya, kama wewe ni mchumia tumbo huwezi kukaa upinzani hasa hasa katika awamu hii ya tano inahitajika uwe komandoo kweli.
 
Wadau bila kupoteza muda.
kalisti Lazaro ambaye alikuwa Meya wa Arusha kupitia CHADEMA sasa naona anakwenda kugombea Ubunge kwa ticketi ya CCM na atampiga Lena mweleka usio na kifani.
Anayebisha anaruhusiwa kutokwa povu kadri awezavyo.
Nabii nimemaliza kazi yangu ya kutabiri.
Sawa.
 
Nadhani ni vema Bw. Polepole akatutangazia Watanzania kama CCM imelifungua dirisha dogo tayari kwa usajili tuvune mambo.
 
Back
Top Bottom