Message ya kugomea sensa

Bro, massege haina maana yeyote ni upotoshaji mtupu kwa umma wa kiislamu. Hatuhesabu watu ili kujua idadi ya waslamu na wakristo,wagogo au wanyamwezi, wachaga au ... bali ni kujua idadi ya watu kwa mipango ya maendeleo. Huu ushindani kwa kiimani hautasaidia bali kuongeza mvutano usio wa lazima ktk jamii yenye kuvumiliana hasa tz.

Mmh Kaka pole sana kwa kukomaa na Negative thinking pekee. Mie nimezoea kuona uki google nchi yeyote unayoijua wewe utakuta takwimu zilizowekwa lazima pia zitabainisha wakristo,waislam,wapagani,wahindu etc ni wangapi. Sasa mie nashindwa kukuelewa ni kweli ulichokiandika ndiyo understanding yako au umeandika matwaka ya mtu? Kwani tatizo liko wapi kama wakikiweka hicho kipengere? kaka ivi unajua kama katiba ya sasa inakuruhusu wewe kama raia kuilazimisha serikali yako kukupatia information ambazo mnaamini kupitia serikali pekee ndio kunaweza patikani information sahihi? wala sidhani kama kuwekwa kwa kipengere hicho cha dini eti lile lengo unalolidhania kuwa ndio lengo la sensa kama litakuwa limefutika. kipengere cha dini just ni nyongeza ya takwimu sisi kama taifa tunazihitaji. na hii ni kupunguza usumbufu wa kufanya sensa mbili mbili, thats why tunataka kipengere hicho kiwepo. nakushauri uwe unafanyia kazi mambo halisia na siyo dhana. naomba unijibu hivi wewe kama raisi mfano uulizwe, kwenye nchi yako kuna watu wa dini tofautitofauti hebu tupe takwimu zao kwa mujibu wa dini zao, nini utajibu?kumbuka wakati unaulizwa swali hilo umemaliza kufanya sensa nchi nzima. HOJA ISIYO WEZA KUCHAKACHULIWA NA AMBAYO KILA MMOJA WETU NAFSI YAKE INAMSUKUMA KUJUA UKWELI NI JUU WA IDADI YETU SISI KAMA WATANZANIA KWA MUJIBU WA IMANI ZETU KUU TATU, UISLAM,UKRISTO,NA UPAGANI na za kigeni UHINDU. mR nSIMBA WHERE IS THE PROBLEM?
 
Mkuu Petrol, zoezi la sensa ni la lazima sio option kama uchaguzi, its a must hakuna room ya kusema anayetaka!.

Mimi nawaunga mkono ndugu zetu Waislamu ili kikiongezwa hicho kipengele cha dini na cha kabila tutakipenyeshea hapo hapo angalau tujue wale Wahdzabe waliokuwa 250 sasa wamebaki wangapi. Miaka ya 80 iliwachukua kinguvu watoto wao 4 na kuwasomesha boarding mpaka la 7 hakuna aliyefaulu, lakini wote wanne wakapelekwa Pugu na kusomeshwa mpaka form four, wote walipata Div. 0!. Wakarudishwa kwao msituni ili kupeleka civilization kwa ndugu zao ikiwa ni pamoja kuwajengea nyumba za kisasa na kupewa nguo na vifaa vya kisasa!. Baada ya mwezi mmoja serikali ilirudi kuwatrace ilikuta vile vitu vyote walivyowapa viko pale pale walipoviacha na yale makazi yakiwa kama yalivyo na more surprising hata zile nguo za wale wasomi 4 nazo walizivua na kuziacha!.

Hivi tutaendelea kuwategemea wazungu mpaka lini?. Wazungu watuhesabie tembo wetu, Mama Jane Goodhall atuhesabie sokwe wetu!, sasa hata makabila yetu nayo ndio tusuburi wazungu watuhesabie?!.

Tulipopata uhuru tulikuwa na makabila milioni 12 na makabila 120, kwa wastani wa watu laki moja kila kabila, sasa tunaenda milioni 50 kwanini tusijue na makabila!.

Mfano wangejua kabila linaloongoza kwa procreation ni kabila gani ili elimu ya uzazi wa mpango iwe concetrated huko na makabila gani yana hatari ya kufutika ili yaingizwe kwenye 'endagered species' ili kuyalinda!.

Wangapi kati yenu mnajua Watindiga wamebaki wangapi?, Wahadzabe, Wasandawi, Wataturu Wabalungi, Wakonongo etc. etc.

Kuna ubaya gani kujua tunawapagani wangapi, Hindu, Budha, Bahai, Baniani, Waislamu wa Ahamadiya, Waislamu wa Shia, Waislamu wa Sunni, Waislamu wa Ismailia, Waislamu Makadiani etc?. Kuna ubaya gani?.

Kama rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa Mkatoliki, Mkapa nae ni Mkatoliki, Membe, Dr. Slaa na Magufuli nao ni Wakatoliki wanaosubiria kupangishwa pale nyumba nyeupe!, kuna ubaya gani tukiwajua wako wangapi, na Anglicana wangapi, Walutheri, Waadvetisti Wasabato, Memonite, Walokoke etc. etc. Hivi kuna ubaya gani?.



Mkuu Pasco hapo umeteleza ,kila jambo linafanyika kwa malengo. Jambo lolote ambalo linagharimu rasilimali kubwa (fedha na rasilimali watu) kwenye utekelezaji wake lazima malengo yake yaanishwe kwa ufasaha wa hali ya juu sana.Sensa inayofanyika inamalengo yake ,studi kwa maana ya utafiti ishafanywa na kufanya majaribio mbalimbali ya variables wanazotaka kuzitumia ili wapate majibu sahihi.Hizo takwimu za variables nyingine kama dini,kabila wameona hazitakuwa na mantiki kwa malengo ya takwimu za kimaendeleo/usatawi ya wa jamii.

Huwezi ukawa unataka majibu ya jinsi gani ya kuboresha huduma za afya ama kuongeza idadi ya shule kwa kujua waisilamu/wakristo wapo wangapi ama wapare wapo wangapi kulinganisha na wanyakyusa,huu ni ufinyu wa mawazo.Wao wameona kujua umri,jinsia ,wasiojiweza zina mantiki zaidi kiutafiti.Sensa inafanyika wakishatoa takwimu -mfano watanzania tupo milioni 60,hao wanaotaka kujua kuwa waisilamu/wakristo wapo asilimia ngapi mbona ni rahisi.Makanisa na misikiti wanautaratibu wao wa kuainisha majina ya waumini wao wa watafanya mahesabu rahisi.Sisi ambao hatuendi msikitini/kanisani idadi yetu itajulikana kwani kwenye hizo list zao misikitini/makanisani hatutaonekana.Hizo takwimu za kidini ni kwa manufaa ya waumini na wafuasi wa dini hizo.

Huu ushabiki unaofanywa na hawa baadhi ya viongozi wa dini sio wa kufumbia macho hata siku moja.Inamaana na wewe unashabikia maendeleo yaletwe na serikali kwa misingi ya udini na ukabila!!?.Kijiji nilichozaliwa kulikuwa na waisilamu na wakristo -sherehe zikifanyika iwe Idd ama Xmas watoto tulikuwa tunajuika pamoja,wazazi wetu walikuwa hawana shida na hilo.Hata katika shughuli za maendeleo mfano kujenga shule,kuchimba visima,kuchimba barabara nk. shughuli hizo zilikuwa zinafanyika kwa ushirikiano bila kujali huyu ni mwisilamu/mkristu.Siku za ijumaa waisilamu walikuwa haendi kwenye shughuli hizo na vile vile j'pili wakristo hawaendi ,hii ilitokana na misingi ya utaifa iliyokuwepo.

Leo hii wametokea watu wenye uelewa finyi wa maendeleo kwa kuweka maslahi binafsi kwa kupenyeza hizo ajenda zao kwenye taasisi za dini.Mwislamu/Mkristo haitaji kujua waislamu/wakristo wenzake wapo wangapi kwa yeye kupata elimu bora ama huduma bora za afya,anachotaka kukijua ni rasilimali za nchi yake zinamfaidishaje yeye na wanajamii wenzake kwa ujumla. Mama ntilie kilio chake ni kuona anapatiwa mahali safi pasipo na adha anapofanya biashara yake ,haitaji kujua waisilamu/wakristo ni wangapi.Huu ushabiki utatuopeleka pabaya sana,kizazi hiki kinategemewa kuwa ndio kitakacholeta mabadiliko kwenye nchi hii ,sasa kama tunageuka kuwa washabiki wa mambo kama haya napata wasiwasi.Tunatakiwa tuweke nguvu kupambana na adui yetu mkuu anayehujumu rasilimali ya nchi yetu kwa kuungana na sio kujigawa kwa misingi ya ukabila ama udini.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Petrol, zoezi la sensa ni la lazima sio option kama uchaguzi, its a must hakuna room ya kusema anayetaka!.

Mimi nawaunga mkono ndugu zetu Waislamu ili kikiongezwa hicho kipengele cha dini na cha kabila tutakipenyeshea hapo hapo angalau tujue wale Wahdzabe waliokuwa 250 sasa wamebaki wangapi. Miaka ya 80 iliwachukua kinguvu watoto wao 4 na kuwasomesha boarding mpaka la 7 hakuna aliyefaulu, lakini wote wanne wakapelekwa Pugu na kusomeshwa mpaka form four, wote walipata Div. 0!. Wakarudishwa kwao msituni ili kupeleka civilization kwa ndugu zao ikiwa ni pamoja kuwajengea nyumba za kisasa na kupewa nguo na vifaa vya kisasa!. Baada ya mwezi mmoja serikali ilirudi kuwatrace ilikuta vile vitu vyote walivyowapa viko pale pale walipoviacha na yale makazi yakiwa kama yalivyo na more surprising hata zile nguo za wale wasomi 4 nazo walizivua na kuziacha!.

Hivi tutaendelea kuwategemea wazungu mpaka lini?. Wazungu watuhesabie tembo wetu, Mama Jane Goodhall atuhesabie sokwe wetu!, sasa hata makabila yetu nayo ndio tusuburi wazungu watuhesabie?!.

Tulipopata uhuru tulikuwa na makabila milioni 12 na makabila 120, kwa wastani wa watu laki moja kila kabila, sasa tunaenda milioni 50 kwanini tusijue na makabila!.

Mfano wangejua kabila linaloongoza kwa procreation ni kabila gani ili elimu ya uzazi wa mpango iwe concetrated huko na makabila gani yana hatari ya kufutika ili yaingizwe kwenye 'endagered species' ili kuyalinda!.

Wangapi kati yenu mnajua Watindiga wamebaki wangapi?, Wahadzabe, Wasandawi, Wataturu Wabalungi, Wakonongo etc. etc.

Kuna ubaya gani kujua tunawapagani wangapi, Hindu, Budha, Bahai, Baniani, Waislamu wa Ahamadiya, Waislamu wa Shia, Waislamu wa Sunni, Waislamu wa Ismailia, Waislamu Makadiani etc?. Kuna ubaya gani?.

Kama rais wa kwanza wa Tanzania alikuwa Mkatoliki, Mkapa nae ni Mkatoliki, Membe, Dr. Slaa na Magufuli nao ni Wakatoliki wanaosubiria kupangishwa pale nyumba nyeupe!, kuna ubaya gani tukiwajua wako wangapi, na Anglicana wangapi, Walutheri, Waadvetisti Wasabato, Memonite, Walokoke etc. etc. Hivi kuna ubaya gani?.



Mkuu Pasco hapo umeteleza ,kila jambo linafanyika kwa malengo. Jambo lolote ambalo linagharimu rasilimali kubwa (fedha na rasilimali watu) kwenye utekelezaji wake lazima malengo yake yaanishwe kwa ufasaha wa hali ya juu sana.Sensa inayofanyika inamalengo yake ,studi kwa maana ya utafiti ishafanywa na kufanya majaribio mbalimbali ya variables wanazotaka kuzitumia ili wapate majibu sahihi.Hizo takwimu za variables nyingine kama dini,kabila wameona hazitakuwa na mantiki kwa malengo ya takwimu za kimaendeleo/usatawi ya wa jamii.

Huwezi ukawa unataka majibu ya jinsi gani ya kuboresha huduma za afya ama kuongeza idadi ya shule kwa kujua waisilamu/wakristo wapo wangapi ama wapare wapo wangapi kulinganisha na wanyakyusa,huu ni ufinyu wa mawazo.Wao wameona kujua umri,jinsia ,wasiojiweza zina mantiki zaidi kiutafiti.Sensa inafanyika wakishatoa takwimu -mfano watanzania tupo milioni 60,hao wanaotaka kujua kuwa waisilamu/wakristo wapo asilimia ngapi mbona ni rahisi.Makanisa na misikiti wanautaratibu wao wa kuainisha majina ya waumini wao wa watafanya mahesabu rahisi.Sisi ambao hatuendi msikitini/kanisani idadi yetu itajulikana kwani kwenye hizo list zao misikitini/makanisani hatutaonekana.Hizo takwimu za kidini ni kwa manufaa ya waumini na wafuasi wa dini hizo.

Huu ushabiki unaofanywa na hawa baadhi ya viongozi wa dini sio wa kufumbia macho hata siku moja.Inamaana na wewe unashabikia maendeleo yaletwe na serikali kwa misingi ya udini na ukabila!!?.Kijiji nilichozaliwa kulikuwa na waisilamu na wakristo -sherehe zikifanyika iwe Idd ama Xmas watoto tulikuwa tunajuika pamoja,wazazi wetu walikuwa hawana shida na hilo.Hata katika shughuli za maendeleo mfano kujenga shule,kuchimba visima,kuchimba barabara nk. shughuli hizo zilikuwa zinafanyika kwa ushirikiano bila kujali huyu ni mwisilamu/mkristu.Siku za ijumaa waisilamu walikuwa haendi kwenye shughuli hizo na vile vile j'pili wakristo hawaendi ,hii ilitokana na misingi ya utaifa iliyokuwepo.

Leo hii wametokea watu wenye uelewa finyi wa maendeleo kwa kuweka maslahi binafsi kwa kupenyeza hizo ajenda zao kwenye taasisi za dini.Mwislamu/Mkristo haitaji kujua waislamu/wakristo wenzake wapo wangapi kwa yeye kupata elimu bora ama huduma bora za afya,anachotaka kukijua ni rasilimali za nchi yake zinamfaidishaje yeye na wanajamii wenzake kwa ujumla. Mama ntilie kilio chake ni kuona anapatiwa mahali safi pasipo na adha anapofanya biashara yake ,haitaji kujua waisilamu/wakristo ni wangapi.Huu ushabiki utatuopeleka pabaya sana,kizazi hiki kinategemewa kuwa ndio kitakacholeta mabadiliko kwenye nchi hii ,sasa kama tunageuka kuwa washabiki wa mambo kama haya napata wasiwasi.Tunatakiwa tuweke nguvu kupambana na adui yetu mkuu anayehujumu rasilimali ya nchi yetu kwa kuungana na sio kujigawa kwa misingi ya ukabila ama udini.
 
Last edited by a moderator:
Sasa tuendako ni kuwa na tanganyika mbili,itafikia kwenye uchaguzi kukawa na rais wa kiislam na wa kikristu kama sensa ya serikali mmeshaingiza mambo ya dini ni mbaya sana
 
I am sorry to say, they are brain washed!!

Bro kwa hili mie naamni kabisa wewe ndio brain washed, kwani unajipa Upogo wa kuliona jambo la takwimu kama halina maana. Bro its not you. Ni sawa na wewe uwe baba halafu eti huwajui watoto wako kijinsia, mtu anakuuliza "Baba Zebedayo" ivi una watoto wangapi -nawe unamjibu vizuri kabisa kuwa unao mfano 6, kisha muuliza swali anakuuliza wakike ni wangapi na wakiume ni wangapi unamjibu -sijui, hebu niambie huyo muuliza swali atakuona kama wewe ni baba mwenye akili timamu au takhira? sasa mfano huo ndio kama hicho unachokizungumzia,wewe ni raisi unaulizwa President Pro, Dr.Zebedayo ivi nchi yako ina jumla ya watu wangapi-unamjibu wako 50M, kisha anakuuliza nipe idadi zao kwa mujibu wa dini zao-kisha unabung'aabung'aa, kaka im sure marais wengine watakudharau kama alivyodharaulika Mh Rusinde.
 
Sasa tuendako ni kuwa na tanganyika mbili,itafikia kwenye uchaguzi kukawa na rais wa kiislam na wa kikristu kama sensa ya serikali mmeshaingiza mambo ya dini ni mbaya sana

hapa tatizo ni wewe, kwani serikali ina haki ya kukutambua wewe kwa mujibu wa imani yako. hapa kama serikali kama inavyojiita yenyewe kuwa haina dini=ni ya kipagani. Kama neno dini linakutatiza ima ni kwa kutokuisoma dini na ukaelewa maana yake, au ni kutokana na mitizamo uliyoingiziwa kichwani na kuona kama siasa ndio mbadala wa dini na eti utaingia peponi kwa kuifata siasa tu bila kuzingatia miongozo ya dini. Mara nyingi watu ambao huwa wakisikia neno dini roho zao huja juu basi huwa ni waasi wa mafundisho ya Mungu.
 
[/COLOR]Mkuu Pasco hapo umeteleza ,kila jambo linafanyika kwa malengo. Jambo lolote ambalo linagharimu rasilimali kubwa (fedha na rasilimali watu) kwenye utekelezaji wake lazima malengo yake yaanishwe kwa ufasaha wa hali ya juu sana.Sensa inayofanyika inamalengo yake ,studi kwa maana ya utafiti ishafanywa na kufanya majaribio mbalimbali ya variables wanazotaka kuzitumia ili wapate majibu sahihi.Hizo takwimu za variables nyingine kama dini,kabila wameona hazitakuwa na mantiki kwa malengo ya takwimu za kimaendeleo/usatawi ya wa jamii.

Huwezi ukawa unataka majibu ya jinsi gani ya kuboresha huduma za afya ama kuongeza idadi ya shule kwa kujua waisilamu/wakristo wapo wangapi ama wapare wapo wangapi kulinganisha na wanyakyusa,huu ni ufinyu wa mawazo.Wao wameona kujua umri,jinsia ,wasiojiweza zina mantiki zaidi kiutafiti.Sensa inafanyika wakishatoa takwimu -mfano watanzania tupo milioni 60,hao wanaotaka kujua kuwa waisilamu/wakristo wapo asilimia ngapi mbona ni rahisi.Makanisa na misikiti wanautaratibu wao wa kuainisha majina ya waumini wao wa watafanya mahesabu rahisi.Sisi ambao hatuendi msikitini/kanisani idadi yetu itajulikana kwani kwenye hizo list zao misikitini/makanisani hatutaonekana.Hizo takwimu za kidini ni kwa manufaa ya waumini na wafuasi wa dini hizo.

Huu ushabiki unaofanywa na hawa baadhi ya viongozi wa dini sio wa kufumbia macho hata siku moja.Inamaana na wewe unashabikia maendeleo yaletwe na serikali kwa misingi ya udini na ukabila!!?.Kijiji nilichozaliwa kulikuwa na waisilamu na wakristo -sherehe zikifanyika iwe Idd ama Xmas watoto tulikuwa tunajuika pamoja,wazazi wetu walikuwa hawana shida na hilo.Hata katika shughuli za maendeleo mfano kujenga shule,kuchimba visima,kuchimba barabara nk. shughuli hizo zilikuwa zinafanyika kwa ushirikiano bila kujali huyu ni mwisilamu/mkristu.Siku za ijumaa waisilamu walikuwa haendi kwenye shughuli hizo na vile vile j'pili wakristo hawaendi ,hii ilitokana na misingi ya utaifa iliyokuwepo.

Leo hii wametokea watu wenye uelewa finyi wa maendeleo kwa kuweka maslahi binafsi kwa kupenyeza hizo ajenda zao kwenye taasisi za dini.Mwislamu/Mkristo haitaji kujua waislamu/wakristo wenzake wapo wangapi kwa yeye kupata elimu bora ama huduma bora za afya,anachotaka kukijua ni rasilimali za nchi yake zinamfaidishaje yeye na wanajamii wenzake kwa ujumla. Mama ntilie kilio chake ni kuona anapatiwa mahali safi pasipo na adha anapofanya biashara yake ,haitaji kujua waisilamu/wakristo ni wangapi.Huu ushabiki utatuopeleka pabaya sana,kizazi hiki kinategemewa kuwa ndio kitakacholeta mabadiliko kwenye nchi hii ,sasa kama tunageuka kuwa washabiki wa mambo kama haya napata wasiwasi.Tunatakiwa tuweke nguvu kupambana na adui yetu mkuu anayehujumu rasilimali ya nchi yetu kwa kuungana na sio kujigawa kwa misingi ya ukabila ama udini.

Yaani wewe ni mweupe kichwani sijapata kuona, si kila lisemwalo na waislam basi wewe upinge hata kama huna hoja.
soma hii sensa ya india iliyoweka na dini, soma matokeo yake kisha nambie je, hauhitaji kufanya intervention kwa baadhi ya maeneo, kielimu, kiafya, kiuchumi ili kuwainua wananchi wa taifa kiujumla?
http://censusindia.gov.in/Ad_Campaign/drop_in_articles/04-Distribution_by_Religion.pdf
 
Chini ya utawala wa ccm, sensa haina maana hata kidogo. Mimi ni mkristo, wakija nyumbani kwangu hiyo siku ya tarehe 26, nitawafukuza, waende wakawahesabu watoto wa JK & Co.
 
[/COLOR]Mkuu Pasco hapo umeteleza ,Hizo takwimu za variables nyingine kama dini,kabila wameona hazitakuwa na mantiki kwa malengo ya takwimu za kimaendeleo/usatawi ya wa jamii.

.

Kaka kama sentensi yako ilivyoanza basi nawe umeteleza. Ustawi wa jamii unahitaji kujua idadi ya watu kwa mujibu wa itikadi zao otherwise wanavyopima viwanja wasingepima maeneo ya kufanyia ibada. haiingii akilini wewe kama mtaalam upime eneo la kuweka kanisa mfano AGP uweke sehemu ya kuabudu wafuasi wa AGP 30 nawakati wao wenyewe wako 400. jamani mbona elimu zetu mbona hazitubadilishi? tatizo ni nini
 
Hivi hawa wano gomea sensa kweli serikali hikiamua kuweka kipengele cha dini na matokeo yakaja kweli wako tayari kuya kubali?

Sensa ikionesha mko million 10 kati ya watanzania milion 45 mtakubali? Maana me najua pamoja na kutaka kuhesabiwa mko wachache.
 
Hata mtu akiuliza atakuwa amelenga kitu. Kiongozi uulizwe nchini kwako kuna waislam/wakristo wangapi kwa lengo gani?kugawa bible/koran au kujenga misikiti/makanisa?
Kama hizi taasisi zinahtaji kufahamu idadi ya wafuasi wake wafanye sensa yao,na sidhani kama serikali watazuia.
Tuache kuichokoza serikali, may be there is something hidden.
 
Kaka msg umeisoma ukiwa na mtizamo hasi, na hili ni tatizo siyo kwako tu bali hata kwa wenzako wengi. Msg haichochei kitu isipokuwa ni taarifa ya kiimani inayowahusu waislam, wewe kama siyo muislam hiyo msg haikuhusu na wewe jipange kuendelea na sensa. madai ya waislam ni ya kimsingi na hakuna hoja ya kuyafanya yaonekane kama hivyo unavyodhani. acha msg serikali imesha pewa taarifa ya kimaandishi kuwa kama sensa haitoweka vipengele muhimu basi mhesabiane nyinyi wenyewe wengi wakristo. Ni aibu kubwa sana kwenu kwani mitandao yenu mnajitangaza mko wengi sasa mwahofia nini kwa kipengere cha dini kuwekwa? Mrudieni Mungu, otherwise mtapotea.
mr mark unaona ni sahihi kipengele cha udini kuingizwa kwenye dodoso ya sensa?? faida yake nini hasa? kujua watakaochinja kuku, ngombe mbuzi au?sioni mantiki yake. wakristo wakiwa wengi kwa idadi ina faida gani au moslims wakiwa wengi in numbers wana faida gani/ mbona mitaani tunaishi pamoja?
 
Ingependeza sana kama wananchi wote tugeigomea hii sensa, kwani haina maana yoyote kwetu, zaidi ya wao kupeana mianya ya kula ela zetu za kodi. Wanatakiwa waende kuwahesabu ndugu zake wasir kule maporini...
 
Wanabodi kuna message inasambaa kwenye mitandao ya simu imeandikwa"WAISLAM WOTE NI MARUFUKU KUSHIRIKI KTK ZOEZI LA SENSA.ATAKAYEKIUKA WARAKA HUU ATAKIONA CHA MOTO MBELE YA ALLAH."
my take
message Kama hizi za kichochezi ni hatari sana ikizingatiwa hili zoezi linaendeshwa na serikali ambayo hafungamani na dini yeyote

Hawana lolote hao mujahedina japo kwa kuwa sensa ni jambo muhimu kwa maendeleo ya taifa, basi serikali iwashukie kwa mkono wa chuma kwa sababu uwezo wa kuwaffuatilia na kuwakamata upo kwa kutumia teknolojia iliyopo.
Eti wanataka kujua wakatolioki ni wangapi sijui wanataka kuwasilimisha?!!
 
PakaJimmy.
Hili suala sio la Issa Ponda ni la Waislam wote nyie endeleeni na maneno yenu jamaa ndio wameamua
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa wano gomea sensa kweli serikali hikiamua kuweka kipengele cha dini na matokeo yakaja kweli wako tayari kuya kubali?

Sensa ikionesha mko million 10 kati ya watanzania milion 45 mtakubali? Maana me najua pamoja na kutaka kuhesabiwa mko wachache.

Kwani Chadema wamekubali matokeo ya Tume ya Uchaguzi?
 
Mahakama ya Kadhi, ianzishwe na SERIKALI ........................
Idadi ya waumini Waislam, wahesabiwe na SERIKALI ................

Tunakoelekea......... hata futari na daku, SERIKALI ipike! Iko siku.
 
Back
Top Bottom