Meremeta Report: Released to the Public (Revised & Free!)

Hii ripoti kwa mtazamo wangu imekaa kama one long, winding narrative ambayo inauliza maswali meeengi badala ya kutupatia majibu. Footnotes ni sparse na zinanukuu general sources of information, mostly printed media badala ya kutumwagia ushahidi madhubuti usiopingika i.e. "hard concrete evidence". Hatuonyeshwi takwimu wala nyaraka zinazotumiwa kwenye ripoti. Au vyanzo vyote ni siri? Kama ni hivyo basi credibility ya hii ripoti siyo kubwa. Simple speculations zimekuwa nyingi mno kwenye hii ripoti.

Nimeanza kusoma hii ripoti mwanzoni tu nikabaki sina mbavu. Mwanakijiji anaanza kwa kuwashukuru watu untraceable au hawa exist in real life, Rev. Kishoka, SteveD, Dua, Ka-Inzi.... hahhaaaaaaaaaa!

You know, SteveD, Rev. Kishoka, etc. are among the most trenchant commentators around here, but really, who the hell is a "SteveD"? Hahahahaaa! Yani ripoti imekaa kama posti ya JF hivi....I'm mean, kwenye dibaji Mwanakijiji anakashukuru Ka-Inzi! Ndio source! hahahahaaha... Kuna ndugu zangu wamepumzika hapa nitawaamsha bure kwa kelele za kucheka...nitasoma kesho hii kitu, kwa sasa imenivunja nguvu!
 
Sasa tunajua kile ambacho Serikali ilitaka tusijue na tusijadili kwa namna yoyote ile,nini kifanyike ili kuuamsha umma wa watanzania ambao umelala usingizi mnono? Mzee MJJ ahsante sana kwa kazi nzuri na uchambuzi wa kina ulifanyika nimeshasambaza kopi za kutosha sasa baada ya hapo nini kinafuata?
 
Mkuu umefanya la maana kuitoa hadharani ili kila jicho liione na mawazo yatolewe. Kuna baadhi ya watu ambao hawana uwezo lakini wanaweza kuwa na mawazo constructive hao mimi ndiyo ninao penda wapate copy. Umeconsider wengi katika hilo. Congrats
 
hakika kuna umuhimu wa kila mwananchi kutembea na panga...ujinga kama huu uwezi kuwaona wahusika ukawavumilia...
 
hakika kuna umuhimu wa kila mwananchi kutembea na panga...ujinga kama huu uwezi kuwaona wahusika ukawavumilia...

Kweli ndugu yangu. Inakera sana kujua haya mambo. Hata sijui nimchukie nani? Nchi yangu kipenzi ya Tanzania au hao makuadi wanaojiadai kwamba wanatunza hazina zetu kumbe wanatuanika sokoni kwa bei dezo na kutunajisi namna hii? Labda nijichukie mwenyewe!

Ahsante sana Mwanakijiji, ipo siku usingizi utatuisha ili tuamue la kufanya tuweze kurudisha ng'ombe wetu zizini.
 
Nimeanza kusoma hii ripoti mwanzoni tu nikabaki sina mbavu. Mwanakijiji anaanza kwa kuwashukuru watu untraceable au hawa exist in real life, Rev. Kishoka, SteveD, Dua, Ka-Inzi.... hahhaaaaaaaaaa!

You know, SteveD, Rev. Kishoka, etc. are among the most trenchant commentators around here, but really, who the hell is a "SteveD"? Hahahahaaa! Yani ripoti imekaa kama posti ya JF hivi....I'm mean, kwenye dibaji Mwanakijiji anakashukuru Ka-Inzi! Ndio source! hahahahaaha... Kuna ndugu zangu wamepumzika hapa nitawaamsha bure kwa kelele za kucheka...nitasoma kesho hii kitu, kwa sasa imenivunja nguvu!

Dilunga, Natumaini yaliyokuvunja nguvu ni yale yaliyomo ndani ya ripoti na si dibaji pekee au kutokana na kucheka sana kama ulivyo dokeza hapo juu.

Kwa kweli sielewi kwanini unacheka cheka sana hata kuogopa kuweza kuamsha nduguzo kwa kusoma ripoti tu. Kwani hata kama ina makosa, sidhani kama yatakuwa ni makosa ya kumfanya mtu ajichekeshe chekeshe hata kushindwa kusoma.

Kuna ugonjwa wa kucheka, unaitwa kiharusi kama sikosei, nadhani litakuwa jambo la maana kujiangalia/pima kama mtu unao au hauna iwapo kucheka kunaanza kuwa uncontrollable.

Yumkini umemtaja SteveD; nathibitisha kuwa SteveD aliye nukuliwa kwenye ripoti hiyo ni mimi, na hilo jina ndiyo nitumialo. Sioni makosa kwa mhariri katika hili, kwani sidhani kwenye uwekaji wa dibaji kwenye makala ya aina yoyote ile mwandishi unalazimishwa kuainisha bayana majina ya watu, iwe kwenye dibaji au kwenye yaliyomo.
 
Dilunga, Natumaini yaliyokuvunja nguvu ni yale yaliyomo ndani ya ripoti na si dibaji pekee au kutokana na kucheka sana kama ulivyo dokeza hapo juu.

Kwa kweli sielewi kwanini unacheka cheka sana hata kuogopa kuweza kuamsha nduguzo kwa kusoma ripoti tu. Kwani hata kama ina makosa, sidhani kama yatakuwa ni makosa ya kumfanya mtu ajichekeshe chekeshe hata kushindwa kusoma.

I highly recommend efforts zilizofanywa (na zinazoendelea kufanywa) na MKJJ (uzivunjike moyo and May God Bless You) plus Ka-nzi na timu yake. Mengi yatasemwa juu ya hii report but the bottom point is that at last wengine tumepata mwanga wa kinachoendelea kuhusu meremeta na mengineyo.

Kwamba kuna mtandao wa ufisadi hili si la kubishania hata kidogo labda kwa yule anayeguswa na maslahi ya ufisadi au wapambe wa mafisadi. Watu kama wakina Dilunga wanaangukia katika moja ya makundi haya. Tunaelewa ya kuwa mafisadi wamejipanga sana ktk ngazi zote serikalini na ndani na nje ya nchi na hata katika vyombo ambavyo ni nyeti kwa nchi hii!!

:= Ninapatwa na machungu sana na mambo tunayofanyiwa raia wa nchi hii ... staha na upole wetu ndio umegeuzwa mtaji wa mafisadi. Nina imani kubwa ya kuwa kwa kasi ya cheche hizi za fikra zinavyosambaa kama moto ... basi siku za mafisadi zainahesabika!!

:= ..... Tumechoka KUBAKWA ndani ya nchi yetu wenyewe!! Tanzania siyo MASIKINI jamani!! Tunawasihi sana wabunge timizeni wajibu wenu ... kataeni miradi ya Heritage Oil kule Mkuranga - Kimbiji na wote wanaohusika na kashfa ya meremeta wafikishwe kwenye ICC (coz mahakama zetu nazo zina mikono ya mafisadi!!) .... vinginevyo raia tutaanza kuingia frontline wenyewe!!
 
MJJ, Nimeshindwa kupata usingizi vizuri baada ya kuisoma ripoti hii kikamilifu. Yaliyomo ndani ya ripoti hii yanatisha, kusikitisha na mbaya zaidi yananifanya nijione kwamba mimi si mtanzania.
Ripoti inaonesha wazi kwamba mihili mikuu yote ya nchi inashirikiana katika ujambazi huu wa kutisha, sasa sisi wanyonge tukimbilie wapi?

Watanzania wenzangu ukweli ndiyo huo umewekwa wazi kama hujausoma tafadhali pata muda na usome wote. Ni muda muafaka kwa sisi kuamka na kudai uhuru wetu kamili toka kwa hawa majambazi na wakoloni weusi. Nilikuwa naona tuanzishe movement ya nguvu kupingana na machafu hayo. Tukianza na maandamano nchi nzima kulani uchafu huo.

MJJ hongera na asante sana kwa kazi hii nzito ya kuuanika madhambi. Ni kweli utakuwa ni adui wa kundi fulani na bila shaka utatafutwa kwa udi na uvumba tokana na hili suala, hivyo uwe makini na mwangalifu na bila shaka Mungu Baba ameshakupa ulinzi wake.
 
Mkuu MKJJ JF is always part of your life and as a member I am proud of you. Hubahatishi mambo.
 
Mh! Asante kwa taarifa ila inasikitisha sana sijui hii Tz itaishia wapi.
 
M.M.Mwanakijiji!

This is really a big fish hata sisi wa mafichoni we should now come in the open!! Hongera to the editorial Board. Bado natafakari jinsi ya kuwatuza!! Tatizo nitaonekana . I have to look for means learn through EO how to donate!
 
Mzee Mwanakijiji, we endelea kukaa huko kijijini maana kazi unayoifanya ukiwa huko inastaajabisha. Usije kabisa mjini. Hii ripoti inatosha kupata shahada nene hawajakupa uprofesa huko kijijini? Bado natafakari, akili inauma
Ripoti kama hizi lazima usome ukiwa chini ya uangalizi wa daktari tena bingwa la sivyo ukimaliza ukurasa wa 58 na viambatanisho vyake unaweza kusindikizwa kunako
 
Last edited:
Kupitia report ya Meremeta nimeona watu wawili wakizaliwa Tanzania. Ukifungua Kurasa za mwanzo nawaona Watu matajiri wenye mabilioni ya madola kwenye akaunti zao walizozipata kupitia Meremeta, na Ninaona watanzania waliokondeana wenye njaa, TB na wajinga (wasiosoma) waliofikishwa hapo kutokana na pesa yao kugharamia haya makampuni na miradi inayozungumzwa kwenye report.
 
Nikisonga kurasa za mbele kidogo naanza kuogopa maana naona kumezaliwa kundi la magaidi waliotayari kutumia nguvu yoyote, siraha za uzito wowote, pesa kiasi chochote ili wabaki kwenye utawala au kuubakiza utawala utakaowahifadhi ili masrahi yao yasiingiliwe.

Kuna hatari inanuka hapa, yaani waposema mkituondoa madarakani nchi itaingia vitani inawezekana wanamaanisha kweli maana wanajua hata kama Jeshi la wananchi litakuchukua upande wa wananchi kweli wanao mamluki kibao wa kuwaleta kutuvuruga.
 
Du..hayo ni makubwa na yanatia kichefuchefu kuoana watu wakivimbiana kwa kutupora huku wakitufanya mazuzu...Lazima tuchuke hatua ..hasa hasa ile ya PCCB ya Malawi yenye makali ili kuweka precidence inayotukuka...Du
 
Back
Top Bottom