MWAGONA
Member
- Jul 14, 2011
- 53
- 3
hiyo prado nyumba mbona vitu vya kawaida ambavyo kuna mwalimu wa sekondari ninaye mfahamu mimi anamiliki ivyo huo wivu wa kipumbavu.ungeniambia utajiri wa maloli na mahoteli ya Riziwani tungekuelewaa hapoHebu tuwe positive thinkers, meneja kumiliki ghorofa na prado nayo ni issue? Huo ni uvivu wa kufikiri na kufanya kazi. Issue hapa ni ufisadi wake uwekwe mezani, vinginevyo tunakuwa na wivu mzee Mkapa sikumbuki aliuitaje.