hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
kuongezea hii, tz tuna viongozi hasa wa serikali wanafiki, na quran imesema kuwa ukitaka mjua mnafiki na imesisitiza kuwa heri mchawi kuliko mnafiki, na moja ya sifa za mnafiki ni hizi:
Akiahidi- hatekelezi
akiaminiwa-haamikiniki
hutenda yale asiyo hubiri
swali je ni sifa zipi kati ya hizi asiyokuwa nayo kiongozi yeyote wa serikali ya ccm?
hakuna hata wa ngama