Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
- Thread starter
- #41
hehehehehe!Wapo sana na bahati mbaya moja alikuwa dada yangu na mwingine GF wangu; basi ukishuka style huku anasimuliwa sista kule! Nilikuja gundua siku GF akajisahau akanipa style ambyo alinambia sista alimpasha kuwa iko njema! Nikapiga chini mzigo na kumakanya sister kuwa na mazoea hayo na kuacha tabia hiyo ni mwiko!
hommie hommie
WII MWAAFU SANA VEVE