Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,693
- 26,212
Nyie akina nani hao?Wanaosema kuna ubaya si nyie?,,,
Nyie akina nani hao?Wanaosema kuna ubaya si nyie?,,,
Hatari ya Membe kwa CCM ni kuwa huyu ni nguli wa diplomasia.Ninaowakumbuka na walioumbuka kwa kuiasi CCM TOKA VYAMA VINGI VIANZE
1. KIGHOMA ALLY MALIMA (rip)
2. AUGUSTINO LYATONGA MREMA
3. EDWARD LOWASA
4. FREDRICK SUMAYE
5. KINGUNGE NGOMBALE MWIRU
Hawa wote walikuwa na nguvu kubwa kiuchumi na kisiasa kuliko Ben Membe waliondoka wakatukana CCM kwa nguvu zote lakini mpaka leo CCM ndiyo inayotawala Tanzania. Binafsi siioni kabisa impact ya huyu waziri wa zamani ni kama tone la maji baharini.
Nyie akina nani hao?
Lakini wapambe wanaweza kujitokeza tu. Kwa sababu wengi tunapitia maisha magumu ko wako wanatafuta mbadala.Maybe........ila atakwama maana hana mvuto sana kisiasa labda kwenye social media......2015 EL hata alivyoenda cdm mtaani alikuwa na watu wanaomkubali....ila huyu naona threads tu hapa JF na twitter.....ngoja tuone nn mwisho wake
Lazima wafanye hivyo ili watu wawe na hamu ya kununua magazeti yao so no sehemu ya biashara.Media zinampa huyu mtu airtime asiyostahili.
Wewe dada nakukubali Sana upo vizuri Sana kwenye siasa kuliko midume mingi ambao wapo humu.BWM kwa sasa hayupo nyuma ya Magu. Magu ndo boss wa CCM. Jeshi la mtu mmoja. Kwanza JK ndo alikosea kubadili katiba ya CCM na wenyeviti wastaafu wakawa hawaingii tena kwenye Kamati kuu. Asingebadili huenda leo Membe asingefukuzwa chama.Maana JK,Mkapa,Mwinyi wangehudhuria kikao.
Mwamba wa pande za Kusi, mwanadiplomasia nguli Bernard Membe ameunguruma baada ya kutoswa na CC ya CCM.
Ngoma bado mbichi kabisa hii.
Kwa undani zaidi, jipatie nakala yako ya "The Citizen" hapo kesho Jumamosi 29 February.
View attachment 1372047,
Pia Gazeti la Mwananchi, Februari 29, 2020 limeandika:
View attachment 1372062
Mbona unatukana mzee baba?Sawa mama Cyprian bahati nzuri membe hakujui na hawezi kukujua mpka unakufa na uke wako unaliwa mchwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kond*mu iliyotumika nani ataitaka?Akagombee urais kupitia Chadema, akatimize hiyo ndoto yake. Makamanda tayari wameshajitayarisha kumpigia deki barabara.
Very true, ndo mwisho wake na umri umeenda sana, Alee tu wajukuu.Wewe meeembeeee! Huna ushawishi wowote wa kisiasa zaidi ulikuwa unabebwa na JK! You are just a layman politician!
Kwani vipi atapata wapi platform, au atatumia shortcut thubutu!!!!!!!!! atagawanwa kama chungwaScience will prove this soon.
Na sasa political science is dynamic. Ngoja tuone senema inaishia wapi hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukianzisha vita na massai jiandae na uwe makini na mikakati ya kitaalaqmu, .Wamasai na wasukuma walipigana sana enzi za kuibiana ng'ombe kule makao, wale wanajuana.Ukitaka kujua kama membe ni boya tu,,
Amefukuzwa ccm AWEZI kupata hata watu 10 wa kumuunga mkono alipo tupo kutoka ccm, kama alivyosubutu lowasaa
Au ZITO, MAALIM SEIF, LIPUMBA,
Leo hii lema akitoka Chadema anatoka yeye na mkewe tu kama membe pale ccm
Leo hii january makamba akitoka ccm anatoka yeye na mkewe tu
PALE Chadema manyika pamoja na ukatibu wake aliopewa akitoka pale Chadema anatoka yeye na mkewe tu.
Ila nakamwambia watu wenye mvuto
Magu akihama ccm anatoka na kijiji
Mbowe akihama Chadema anatoka na kijiji
Maalim seif akitoka tena ACT hata akienda ccm atakwenda na kijiji chake
Bashir Ally pamoja na ukatibu wake pale ccm akihama ccm anatoka yeye na mkewe
Kifupi membe pale ccm hana mvuto wowote wa kuishangaza ccm
Na hata akienda upinzani ndio itakuwa mwisho waje wa kujiuzuru siasa kama sylivester marsha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maybe........ila atakwama maana hana mvuto sana kisiasa labda kwenye social media......2015 EL hata alivyoenda cdm mtaani alikuwa na watu wanaomkubali....ila huyu naona threads tu hapa JF na twitter.....ngoja tuone nn mwisho wake
hata wakoloni walikuwa wakitoa kejeli kama hizi enzi hizo vs Mwalimu JKN.