Membe: Sikushangazwa kufukuzwa. Niliendelea kusimamia nia yangu kugombea Urais 2020. Mwenyekiti na Katibu wameratibu mimi kufukuzwa

Ninaowakumbuka na walioumbuka kwa kuiasi CCM TOKA VYAMA VINGI VIANZE
1. KIGHOMA ALLY MALIMA (rip)
2. AUGUSTINO LYATONGA MREMA
3. EDWARD LOWASA
4. FREDRICK SUMAYE
5. KINGUNGE NGOMBALE MWIRU
Hawa wote walikuwa na nguvu kubwa kiuchumi na kisiasa kuliko Ben Membe waliondoka wakatukana CCM kwa nguvu zote lakini mpaka leo CCM ndiyo inayotawala Tanzania. Binafsi siioni kabisa impact ya huyu waziri wa zamani ni kama tone la maji baharini.
Hatari ya Membe kwa CCM ni kuwa huyu ni nguli wa diplomasia.
Anajua wapi pa kuwaminya serikali kupitia taasisi za kimataifa na wahisani au washirika wa miradi ya maendeleo na ya kijamii, kupitia baraza la usalama la UN, n.k.

Huyu anaweza kuwa mtu tishio mara 5 ya Lowassa endapo atahamua kumwaga mboga, kuweka uzalendo pembeni na kusema liwake jua au inyeshe mvua lazima upinzani uingie Ikulu 2020 anaweza kufanikiwa.

Ogopa mabeberu, wakumbumke Laurent Gbagbo wa Ivory Coast aliondokaje, Ghadaf wa Libya, na wengine wengi.
Tena kosa la bagbo kuwatumia kundi la militia watiifu kwake kuwafurusha raia wa Kifaransa na wengine wa Ulaya.

Hapa tunatafutwa sana kwa matukio yetu ya Makonda kusaka mashoga, Kukamata wale watetezi wa waandishi wa habari, Makinikia, na sheria mpya ya maliasili na madini, kunyang'anya vitalu vya uwindaji, kukomaa kukataa kutia saini mkataba wa EPA, n.k.

Yani tunatafutwa hasa, Membe akiamua kuharibu, na wadau wake mabeberu wakiamua nakuambia mwaka 2020 CCM inaondoka madarakani kama wenye dhamana wasipotumia akili kubwa sana.

Kumuacha Membe aendelee na harakati zake ndani ya CCM ilikuwa hatari lakini kumfukuza Membe toka CCM ni hatari kubwa zaidi.
 
Maybe........ila atakwama maana hana mvuto sana kisiasa labda kwenye social media......2015 EL hata alivyoenda cdm mtaani alikuwa na watu wanaomkubali....ila huyu naona threads tu hapa JF na twitter.....ngoja tuone nn mwisho wake
Lakini wapambe wanaweza kujitokeza tu. Kwa sababu wengi tunapitia maisha magumu ko wako wanatafuta mbadala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BWM kwa sasa hayupo nyuma ya Magu. Magu ndo boss wa CCM. Jeshi la mtu mmoja. Kwanza JK ndo alikosea kubadili katiba ya CCM na wenyeviti wastaafu wakawa hawaingii tena kwenye Kamati kuu. Asingebadili huenda leo Membe asingefukuzwa chama.Maana JK,Mkapa,Mwinyi wangehudhuria kikao.
Wewe dada nakukubali Sana upo vizuri Sana kwenye siasa kuliko midume mingi ambao wapo humu.
 
Poor Membe. Huyu washamg’oa meno. Hiyo ndoto haitotimia. Kama plan yake ni kuhamia upande wa pili, anapaswa kwenda kupata ushauri kutoka kwa Lowassa na Sumaye maana these men experienced first-hand huko kwingine kukoje
 
Ukitaka kujua kama membe ni boya tu,,
Amefukuzwa ccm AWEZI kupata hata watu 10 wa kumuunga mkono alipo tupo kutoka ccm, kama alivyosubutu lowasaa
Au ZITO, MAALIM SEIF, LIPUMBA,

Leo hii lema akitoka Chadema anatoka yeye na mkewe tu kama membe pale ccm

Leo hii january makamba akitoka ccm anatoka yeye na mkewe tu

PALE Chadema manyika pamoja na ukatibu wake aliopewa akitoka pale Chadema anatoka yeye na mkewe tu.

Ila nakamwambia watu wenye mvuto
Magu akihama ccm anatoka na kijiji
Mbowe akihama Chadema anatoka na kijiji
Maalim seif akitoka tena ACT hata akienda ccm atakwenda na kijiji chake

Bashir Ally pamoja na ukatibu wake pale ccm akihama ccm anatoka yeye na mkewe

Kifupi membe pale ccm hana mvuto wowote wa kuishangaza ccm
Na hata akienda upinzani ndio itakuwa mwisho waje wa kujiuzuru siasa kama sylivester marsha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukianzisha vita na massai jiandae na uwe makini na mikakati ya kitaalaqmu, .Wamasai na wasukuma walipigana sana enzi za kuibiana ng'ombe kule makao, wale wanajuana.
 
Vipi na zile ndoto zake za mahakana ya KADA na kujiunga na OES bado naza zipo oilivee?
 
Huu ndio ukweli, huwa namwona Membe kuwa ni mtu asiye SMART sana kichwani.
Hajui kujenga hoja
Maybe........ila atakwama maana hana mvuto sana kisiasa labda kwenye social media......2015 EL hata alivyoenda cdm mtaani alikuwa na watu wanaomkubali....ila huyu naona threads tu hapa JF na twitter.....ngoja tuone nn mwisho wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom