Membe: Hatutawaomba radhi Rwanda

…choko choko sijui wakubwa wetu maslahi yao ni nini kutetea mauaji yakimbari.
 
Unamtukana Mwenzako halafu unajitapa kwamba humuombi radhi!.Chondechonde Membe,Mungu humdhalilisha Mfitini.Muungwana huomba radhi haraka pindi aonapo ujumbe wake umepokelewa tofauti na alivyodhamiria.

kutukana na kuua kubwa ni lipi? KAGAME MUUAJI MKUBWA! muda si mrefu yatampata yaliyowapata wadhalimu wenzake kama gadafi na amini.
 
Mi nashindwa kuelewa Kikwete ana maslahi gani na vita ya Kongo hadi kujiingiza kwenye migongano ambayo ni totally BASELESS. Au ndio ule uvumi kuwa Riziwani anataka kuingia kwenye biashara ya almasi na mbao za Kongo?

Membe na Kikwete wanaweza kuwa wanatafuta sifa kwa kuwa watu wengi wanapenda siasa za KI_GANGWE lakini kidiplomasia haiiweki nchi yetu pazuri. Huku Chini Malawi mgogoro hawajautatua, then wanatafuta ugomvi wa KUNUNUA na Rwanda, hatujui kesho itakuwa nani??

Mind you Tanzania ndio nchi yenye uchumi dhaifu na maendeleo duni kwa sasa kwenye ukanda wa Afrika mashariki huku bajeti yake ikiwa tegemezi kwa asilimia 41. Kwa uchumi huu wa hospitali hazina dawa na akina mama wanalala wanne wanapojifungua hatuna haja ya kutafuta migogoro na majirani. FDLR hawatuhusu sisi watanzania na ni matatizo ya ndani ya Rwanda kwa nini tujihusishe?? Je siku Kagame akiibuka na kumshauri Kikwete aende walau kutoa POLE kwa mjane wa Mwangosi, Kikwete atafurahi?? Mbona Membe na CCM yake hawajakaa kwa majadiliano na watu wa Mtwara kuhusu matumizi ya gesi but wanataka majadiliano kwenye nchi za watu?? Wajanja tumenusa kitu hapo...


Nadhani wewe ni kimeo pia, siasa za kimataifa zina mipango na misimamo yake, utakumbuka wakati Tanzania inasaidia Ukombozi nchi za kusini mwa Afrika haikuwa na maana kwamba uchumi wetu ulikuwa imara kiasi cha kutoa misaada. Mwalimu Nyerere aliifanya Tanzania kuwa nchi strategic kusini mwa Afrika na lazima hayo yaendelezwe si kwa kificho Bali kusema wazi Kama tulivyopinga ubaguzi wa rangi Afrika Kusini mbele ya macho ya Uingereza.
 
Membe pataneni kwanza nyie na wapinzani wenu na msitumie mabavu kama mnavyofanya then ndo uwanyoshee kidole Rwanda.
 
Mi nashindwa kuelewa Kikwete ana maslahi gani na vita ya Kongo hadi kujiingiza kwenye migongano ambayo ni totally BASELESS. Au ndio ule uvumi kuwa Riziwani anataka kuingia kwenye biashara ya almasi na mbao za Kongo?

Membe na Kikwete wanaweza kuwa wanatafuta sifa kwa kuwa watu wengi wanapenda siasa za KI_GANGWE lakini kidiplomasia haiiweki nchi yetu pazuri. Huku Chini Malawi mgogoro hawajautatua, then wanatafuta ugomvi wa KUNUNUA na Rwanda, hatujui kesho itakuwa nani??

Mind you Tanzania ndio nchi yenye uchumi dhaifu na maendeleo duni kwa sasa kwenye ukanda wa Afrika mashariki huku bajeti yake ikiwa tegemezi kwa asilimia 41. Kwa uchumi huu wa hospitali hazina dawa na akina mama wanalala wanne wanapojifungua hatuna haja ya kutafuta migogoro na majirani. FDLR hawatuhusu sisi watanzania na ni matatizo ya ndani ya Rwanda kwa nini tujihusishe?? Je siku Kagame akiibuka na kumshauri Kikwete aende walau kutoa POLE kwa mjane wa Mwangosi, Kikwete atafurahi?? Mbona Membe na CCM yake hawajakaa kwa majadiliano na watu wa Mtwara kuhusu matumizi ya gesi but wanataka majadiliano kwenye nchi za watu?? Wajanja tumenusa kitu hapo...

si bure kama hujatumwa na watusi, wewe ni mtusi!
 
Nasema kwamba Msamaha ni jambo la mhimu sana kwa kila jambo ulifanyalo maishani !

Kwani Hata Mitume waliomba misamaha je iweje Binadamu asiombe Msamaha? Wakati Bwana yesu alitusamehe!
 
When did he make that statement and where? Its very important that I know. The Kikwete FDLR comments are a very big issue here in Rwanda.
 
UN wenyewe wanatambua hawa jamaa kama terrorists na wameweka hela kwa atakayefanikisha kama viongozi.Wanyarwanda wapo sahihi kuwa ipo siku JK atawaambia US wakae na Al-qaeda.unacheza JK.He is IDD Amin to be leader.The more he is exposed the more he would act his ways.

Idd Amini aliwhai kuwa mwenyekiti wa Africa,Idd amini alikuwa maarufu sana kutokea ktk matukio n akujenga scene kwa sifa binafsi, pia alijipendekeza kutoa ususuluhishi km JK na Membe.

Aliwahi pia kuwaambia Israeli wa fanya mazungumzo na watekaji wa Ndege, hadi alipomuumbua kwa kufika na kuchukua watu wao,huku wakishuhudia msuluhishi akipigana kabisa vita dhidi yao.

JK hadi leo anawaambia wakristu wazungumze na viongozi wa kiislam ambao hata siku moja hawajawahi hata kukemea mihadhara mibaya,wala wachukulia hatua waliosababisha haya ambo ktk misikiti yao.


That Is JK na CCM islam.
 
Nadhani wewe ni kimeo pia, siasa za kimataifa zina mipango na misimamo yake, utakumbuka wakati Tanzania inasaidia Ukombozi nchi za kusini mwa Afrika haikuwa na maana kwamba uchumi wetu ulikuwa imara kiasi cha kutoa misaada. Mwalimu Nyerere aliifanya Tanzania kuwa nchi strategic kusini mwa Afrika na lazima hayo yaendelezwe si kwa kificho Bali kusema wazi Kama tulivyopinga ubaguzi wa rangi Afrika Kusini mbele ya macho ya Uingereza.

mkuu, hujasoma ramani bado? hawa ni miongoni wa lile kundi la watusi waliosambazwa na muuaji kagame! kwao vita na kujikweza ndiyo utamaduni.
 
Mm nampongeza mh.kikweete kwa ushauri wake kwa rwanda,kwani kumshauri mtu kunatatizo gani?rwanda nimapingwa wa propaganda sana,tusii laum serikali kwa kila jambo,michango mingi kama hii ya Jf,rwanda kule uhuru huo hakuna,mi naona kabla yakulaumiana tusome historia ya nchi majirani kwanza,kwakuwa siku zote matatizo yanchi hizo yamepoa tu,mda wowote yatalipuka,mi nadhani hizi nchi tano,ziweke mfumo mzuri wakiutawala, nakuondoa ukandamizaji hapo hata huo mungano,utadumu.
 
Membe pataneni kwanza nyie na wapinzani wenu na msitumie mabavu kama mnavyofanya then ndo uwanyoshee kidole Rwanda.


kuna watu kumbukumbu zenu ndogo sana japo mnajidai great thinkers, niwakumbushe hatua chache tu za Kikwete kujenga muafaka wa ndani nchini, kwanza kutuelewa kwa vitendo ahadi iliyokuwamo katika hotuba yake ya kwanza ya kuzindua Bunge 2005 kwamba anasikitishwa na mgogoro wa kisiasa Zanzibar uliofikia hatua ya kuzaa uadui wa kususia hata kuzikana (Hapa Cuf na CCM mashahidi). Pili, suluhu ya kupata mchakato we katiba mpya ambayo rasimu yake itazinduliwa rasmi Jumatatu ijayo (Hapa Chadema mashahidi hasa wale akina Lissu na Slaa walioonja keki na kashata za
ikulu) kwa hiyo tumtendee haki Kikwete, sio kumsifu kipuuzi tu Kagame.
 
Aitaka serikali ya Kagame ipatane na wapinzani badala ya kutumia mabavu.

Asisitiza Tanzania ipo tayari kuwapa ushirikiano kama ikiombwa.

JK kwa kuwasingizia tuu CDM kuwa terrorists hakutaka ongea nao..Sasa kagame aongee vipi na terrorists.Hata karatasi aliyo nayo JK ya UN inasema jamaa ni wakushika.Huu si wendawazimu...
 


this is coming from wenje???? one of those classless politicians waliojazana CDM anaongea upuuzi wowote kisa bunge lipo LIVE

unawafahamu fdlr? wako wapi? malengo yao ni yapi? kwa siasa za kimataifa ku-support wapinzani wa serikali linamaanisha nini kwako? ...linaathahari gani kwako? under score of the Qns above means you do not know what Wenje meant.
 
Nadhani wewe ni kimeo pia, siasa za kimataifa zina mipango na misimamo yake, utakumbuka wakati Tanzania inasaidia Ukombozi nchi za kusini mwa Afrika haikuwa na maana kwamba uchumi wetu ulikuwa imara kiasi cha kutoa misaada. Mwalimu Nyerere aliifanya Tanzania kuwa nchi strategic kusini mwa Afrika na lazima hayo yaendelezwe si kwa kificho Bali kusema wazi Kama tulivyopinga ubaguzi wa rangi Afrika Kusini mbele ya macho ya Uingereza.

Wewe na Membe ni vimeo pia na hamzijui siasa za maziwa makuu. Kinachowaponza USALAMA WENU WA CCM unaacha kazi zake za maana unaishia kufanya siasa na hivyo mnakosa intelijensia za maziwa makuu mnajikuta mnaingia kichwa kichwa kwenye migogoro. Kwa taarifa yako Kagame na Kabila ni washkaji na Kabila kule Kongo ni project ya Kagame. Kabila ni adui wa FDLR kama alivyo Kagame. Nyie leo mnajiingiza kwenye mzozo wa FDLR bila kuelewa kuwa hawa watu Kabila hawapendi pia lakini nyie mnadhani mnamfurahisha ili ampe Ridhiwani migodi. Matokeo yake mtaishia aibu wale wanajuana. Nini maslahi ya Tanzania kwenye mgogoro wa Congo?? Hakuna nchi inaingia kwenye mgogoro bila kuwa maslahi binafsi, ni nyie tu CCM. Haya sasa badala ya kumtuma Ramadhani Ighondu aende kutafuta Intelijensia huko mnamtuma kuwatesa Kibanda na Mwangosi na matokeo yake mnajiingiza kwenye migogoro msiyojua chanzo na hamna ujanja wa kuimaliza zaidi ya kutafuta aibu
 
Back
Top Bottom