<br />Mwanakijiji udhaifu wa AU usitumike kuwakandamiza kwa mtu unayesoma habari kutoka pande nyingi kama wewe sidhani unaamini kuwa Ghadafi kaondolewa na Walibya na kuwa Walibya watafaidika hata chembe na 'uhuru' huu feki.Pamoja na matatizo yake yote Ghadafi kaiendeleza Libya na sasa imeingia kwenye ukoloni wa nyuma ya pazia.<br />
Kwa kitu kimoja nitamkumbuka Nyerere alikuwa na 'guts' aliwahi kumfukuza waziri wa mambo ya nje wa Ufaransa Raymond Barre alipotua Airport na kumwambia hataki kuongea naye aondoke.
<br />
ni kwa nini nyerere alimfukuza huyo balozi tujuzane mkuu