Membe: Gaddafi amefikia mwisho lakini hatuwatambui waasi!

Mkuu ulishata majibu ya swali la hili mpaka kufikia muda huu?

Sijapata jibu wala nini.

Ninachoona ni kwamba Foreign Policy ya Tanzania inaendekeza kutoa misimamo kabla ya kusoma upepo na haina "strategic non-alignment".

Ndiyo maana unasikia Kikwete anaingia kwenye ma beef na Wanyarwanda na WaEthiopia kirahisi.

Na kama rais Obama anavyopenda kusema, tunaishia kuwa "on the wrong side of history".

Mkuu unaandika thesis on this au vipi?

Maana umelifukua.
 
...

Ninachoona ni kwamba Foreign Policy ya Tanzania inaendekeza kutoa misimamo kabla ya kusoma upepo na haina "strategic non-alignment".

Ndiyo maana unasikia Kikwete anaingia kwenye ma beef na Wanyarwanda na WaEthiopia kirahisi.

......

Mkuu unaandika thesis on this au vipi? Maana umelifukua.

Red: Hapa uko sahihi kabisi...hiyo kitu imetushida...ni mefurahia China ilivyojiweka katika suala la Ukraine...inaonyesha jinsi gani wako vizuri kwenye "strategic non-alignment".

Black: Nilikuwa nafanya marejeo ya hali ya Afrika ya Libya toka baada ya kuondolewa Comred Ghaddaf (R.I.P) mpaka sasa, ndiyo maana nikajikuta nimeanguakia kwenye post yako.
Halafu cha kushangaza kuna taarifa kuwa siyo Ghaddaf aliyehusika kuiangusha ndege ya " Rokeby" bali ni IRAN...yaani hawa jamaa (US+EU) wanashida kweli kweli.
 
..tuseme Membe hajui kwamba Gadaffi alituma majeshi yake Uganda na yakaua askari wetu?

..kwa historia hiyo ya Gadaffi ya kumwaga damu ya wa-Tanzania sikutegemea kuwa ipo siku mtetezi wake mkubwa atakuwa ni waziri wetu wa mambo ya nje.

cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
Red: Hapa uko sahihi kabisi...hiyo kitu imetushida...ni mefurahia China ilivyojiweka katika suala la Ukraine...inaonyesha jinsi gani wako vizuri kwenye "strategic non-alignment".

Black: Nilikuwa nafanya marejeo ya hali ya Afrika ya Libya toka baada ya kuondolewa Comred Ghaddaf (R.I.P) mpaka sasa, ndiyo maana nikajikuta nimeanguakia kwenye post yako.
Halafu cha kushangaza kuna taarifa kuwa siyo Ghaddaf aliyehusika kuiangusha ndege ya " Rokeby" bali ni IRAN...yaani hawa jamaa (US+EU) wanashida kweli kweli.

Gaddafi deserved what was coming to him, he was threatening a genocide, openly.

He was too comfortable and thought he couldn't fail.

"My people love me, my people love me", hatimaye wakamuua.
 
Gaddafi deserved what was coming to him, he was threatening a genocide, openly.

He was too comfortable and thought he couldn't fail.

"My people love me, my people love me", hatimaye wakamuua.


With all due respect, I beg to differ with you on that red-bold; then, if it is appropriate,let us close this chapter.
 
Mimi niliunga Mkono msimamo wa Membe kuhusu Ghaddafi.

Hao watanzania wanaojifanya wazalendo kuliko Membe na kumlaumu kumpa sapoti Ghaddafi wanayedai aliua wanajeshi wetu wakati wa vita ya kagera wangeanza kuipinga serikali iliyopokea misaada ya waathirika wa mafuriko kilosa kutoka kwake na pia kufadhili ujenzi wa baadhi ya taaasisi pamoja na kufanya nae biashara .Badala ya kuelekeza nguvu kuishinikiza serikali kutumia raslimali za nchi vizuri ili kuepuka misaada ya fedha,wao wapo busy kumshutumu Membe anaye-act kulingana na taaluma yake.

Ukichunguza sana utakuta kuna watu ambao ni mafisadi wakubwa na wakwepa kodi wanaoutaka urais wanaopalilia propqganda na kumlaumu Membe zaidi huku wao wakikwepa wajibu wao wa kuwajibika kwa ufisadi

Ofcourse sera yetu ya mambo ya inatakiwa kubadilika sana.Hiyo ndio changamoto ya Membe.Ila kwenye hili la Ghaddafi naliunga mkono.

Crisis iliopo South Sudan sasa hivi ni mbaya,Jamhuri ya Afrika ya kati kati ya SELEKA na Ant-BALAKA is even worse.AU na jumuiya ya kimataifa imefanya nini kikubwa so far?

Hawana mwamko kwa kuwa hawana maslahi.

Ghaddafi aliuawa kuhujumu Afrika tu.Pamoja na mapungufu yake,bado ni role model wangu kwa mambo mengi
 
With all due respect, I beg to differ with you on that red-bold; then, if it is appropriate,let us close this chapter.

This forum is about discussion, so if it's appropriate, state your case.

Rwanda watu wameuana en masse, the international community imeangalia tu, tumelaumu kwamba hawajali.

Wamesikia na kuwa sensitive kwenye hilo.

Gaddafi kasema nitawaandama na kuwa smoke out of your holes, watu wake mwenyewe, kawatishia a systematic genocide. Watu wakaona ngoja tuingie hapa isije kuwa another bloodbath.

Halafu wananchi wake wakam lynch kama a common thief.

Utamtetea vipi?

Violence begets violence, it was only the chickens coming home to roost.

The ripening of Karma.

I can bemoan his loss of life as I would bemoan any human being, indeed on another level any being, however evil, but that doesn't mean he did not get what was coming to him.
 
...

Rwanda watu wameuana en masse, the international community imeangalia tu, tumelaumu kwamba hawajali.

Wamesikia na kuwa sensitive kwenye hilo....

Kwa kuendeleza mjadala ebu kwanza soma maelezo haya Kuhusu Genocide ya Rwanda...wakati naendelea kukusanya taarifa muhimu za kudhibitisha kwa nini sikikubaliana nawe kwenye post yako ya 281 ya uzi huu.

Source: PressTV

Judges are deliberating a final decision in France's first case regarding the Rwandan genocide of 1994, which killed one million people. A former Rwandan army captain is awaiting his verdict, but many say France's long-standing reluctance to go to trial indicates just how complicit they were in the tragedy.


In an even stronger indication, the French state illegally shut down a demonstration outside the courthouse which tried to call attention to France's role. The causes of the Rwandan genocide are rooted in the 19th-century style of colonial politics still practiced by the West:

Simply put, France and the US were competing for influence, and each supported extremist elements among the Hutus and the Tutsis, respectively.Despite mounting evidence of genocidal hysteria, France provided the Hutus with military, political and economic support. But other Western-led institutions are also at fault: In the early 1990s the IMF imposed austerity measures on Rwanda, resulting in economic disaster and boiling social tensions. The US refused to use the term "genocide" and bring back UN peacekeepers, because that would have jeopardized the military success of the Tutsis.
France's fabrication of ethnic or economic divisions in order to divide-and-conquer has obvious parallels today in Mali and especially the CAR. Paris still refuses to extradite, much less prosecute, key Rwandan figures who live in France. But many wonder how court decisions from a country which is so complicit in the genocide can bring about justice and closure for Rwanda and its neighbors.

http://www.presstv.ir/detail/2014/0...mo-condemning-paris-role-in-rwandan-genocide/
 
Kwa kuendeleza mjadala ebu kwanza soma maelezo haya Kuhusu Genocide ya Rwanda...wakati naendelea kukusanya taarifa muhimu za kudhibitisha kwa nini sikikubaliana nawe kwenye post yako ya 281 ya uzi huu.

Source: PressTV

Judges are deliberating a final decision in France's first case regarding the Rwandan genocide of 1994, which killed one million people. A former Rwandan army captain is awaiting his verdict, but many say France's long-standing reluctance to go to trial indicates just how complicit they were in the tragedy.


In an even stronger indication, the French state illegally shut down a demonstration outside the courthouse which tried to call attention to France's role. The causes of the Rwandan genocide are rooted in the 19th-century style of colonial politics still practiced by the West:

Simply put, France and the US were competing for influence, and each supported extremist elements among the Hutus and the Tutsis, respectively.Despite mounting evidence of genocidal hysteria, France provided the Hutus with military, political and economic support. But other Western-led institutions are also at fault: In the early 1990s the IMF imposed austerity measures on Rwanda, resulting in economic disaster and boiling social tensions. The US refused to use the term "genocide" and bring back UN peacekeepers, because that would have jeopardized the military success of the Tutsis.
France's fabrication of ethnic or economic divisions in order to divide-and-conquer has obvious parallels today in Mali and especially the CAR. Paris still refuses to extradite, much less prosecute, key Rwandan figures who live in France. But many wonder how court decisions from a country which is so complicit in the genocide can bring about justice and closure for Rwanda and its neighbors.

PressTV - France bans demo condemning Paris role in Rwandan genocide

Even more reason to go against Gaddafi and say " we have cleaned up since Rwanda" as I said before.

Of course there are degrees of geopolitics in all these acts, but one cannot say that Gaddafi did not give them reasonable justification.
 
Gaddafi deserved what was coming to him, he was threatening a genocide, openly.

He was too comfortable and thought he couldn't fail.

"My people love me, my people love me", hatimaye wakamuua.

iwapo NTC wangefanya mapinduzi haya waliyoyafanya without American interference ningesema walibya hawakumpenda gaddafi.lakini miguu ya marekani ilifuata nini kwenye sovereign country? kwanini wajudge kuwa gaddafi ana makosa? ilikuwa wapi AU? wanawasaidia vipi walibya hawa ambao hawamtaki kiongozi muoga kama Ali Zidan? yupi aliyetishia usalama wa libya kati ya waasi na gaddafi?

the man didnt deserve it
 
Back
Top Bottom