Tanzania Mpya
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 253
- 144
Kuna swali la kujiuliza hapa, kwa nini Membe akimbilie kusaini? Kwani akisubiri atakosa nini? Je anajua kilichoandikwa humo labda ndio maana akausaini haraka? Je, JK kwa nini hakushtushwa na hilo? Labda anajua nini kilichomo humo ndani, na alimtaka Membe asaini haraka?