Malalamiko ya watanzania kwamba viongozi wanasaini mikataba bila kusoma sasa yamethibitishwa wazi na mwakilishi wa Dimbani zanzibar Bw.Mwinyi Haji Makame(CCM) kwa Bw. Bernad Membe ktk kile kuonyesha kuwa careless kwa kufikia kusaini mkataba ambao hakutakiwa kusaini ambapo mwakilishi anadai kwenye video hiyo iliyoko ndani ya youtube.
Mwakilishi huyo alipokuja juu mbele ya JK kwamba kwanini waziri wake amesaini Mkataba ambao si wake? JK kama kawaida yake ya kutetea uzembe alimuombea amsamehe kwamba hayo ni makosa ya kibinadamu tu.
Kwahiyo watanzania kilio chenu cha miaka mingi cha kulalamikia mikataba kusainiwa bila kusomwa sasa kimedhibitishwa wazi na Bw. Mwinyi kuwa viongozi ni watu wasio na huruma na nchi hii tunakupandisha ndege hadi China tunakulipa Posho za kukatana na shoka halafu still hufanyi kazi yako tunayokulipa nafikiri baada ya kuangalia video wale wote mliokuwa mnawaza labda Bw. Membe anafaa kuwa rais wa nchi hii mtabadili mawazo yenu. waandishi tusaidieni kumuuliza ilikuwaje asaini mkataba bila kusoma kwanza anachosaini??
Angalia video hii:
Mwakilishi huyo alipokuja juu mbele ya JK kwamba kwanini waziri wake amesaini Mkataba ambao si wake? JK kama kawaida yake ya kutetea uzembe alimuombea amsamehe kwamba hayo ni makosa ya kibinadamu tu.
Kwahiyo watanzania kilio chenu cha miaka mingi cha kulalamikia mikataba kusainiwa bila kusomwa sasa kimedhibitishwa wazi na Bw. Mwinyi kuwa viongozi ni watu wasio na huruma na nchi hii tunakupandisha ndege hadi China tunakulipa Posho za kukatana na shoka halafu still hufanyi kazi yako tunayokulipa nafikiri baada ya kuangalia video wale wote mliokuwa mnawaza labda Bw. Membe anafaa kuwa rais wa nchi hii mtabadili mawazo yenu. waandishi tusaidieni kumuuliza ilikuwaje asaini mkataba bila kusoma kwanza anachosaini??
Angalia video hii:
Last edited by a moderator: