ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,279
- 22,010
Na sie wabongo tutengeneze letuAdmiral Kuznetsov hii meli ni hatari sana
Na sie wabongo tutengeneze letuAdmiral Kuznetsov hii meli ni hatari sana
Kwa ela ipi mkuu maana hyo carrier moja sio chini ya $10bnNa sie wabongo tutengeneze letu
Kama kuna mtu anaweza nipa data ambayo ktk vita vikuu vya kuangamiza utawala wa hilter kati ya malekani na urusi nani aliyekuwa wa kwanza kuingia mji mkuu wa Ujerumani na kupepea bendera yake.
Mimi nasema ni Rusia
mkuu ebu jaribu kutafuta historia au kasome upya na kupitia vizur historia ya Manhattan project kuna sehem wanaeleza kwanini Truman alitoa order ya bombing Japan...WW2 iliisha nguvu baada ya USSR kuiteka Berlin, na chanzo cha WW2 alikua mjeruman na sio Japan ...
Kupigwa kwa Japan na atomic bombs ilikua ni kupeleka ujumbe kwa soviet
Soma hio Manhattan project inaelezea kila kitu
Mim ni mshamba lakini wewe umenizidi kete!!
Apo mimi ndo hua najilazmsha Hitler sijui alikua na akili gani kuwaza kuivamia soviet..tukirudi nyuma hakuna nchi ya ulaya yoyote ile ilio kua na uwezo wa kupigana na Mjeruman...Yaani hapo mkuu hata historia inajua ni Russia. Hata marekani asingeingia Russia alikuwa ameshachukua Europe yote kasoro Japan. Marekani kupiga mabomu japani alikosea sana kwa sababu Russia alimwambia hakuna haja ya kuua watu wakati wameshashinda Vita.
Na kama Hitler asingejaribu kuingilia west Russia angeshinda vita na angechukua Europe yote. Kosa alilofanya ni kutaka kuchukua mpaka Russia kwa tamaa zake za kukuza NAZI area na kuchukua potential sites za USSR zilizopo karibu yake na ndipo alipokosea saaaaana mpaka leo anajutia kuchokoza kila mtu. Russia alimpiga Mjerumani mpaka Hitler hakuamini na kutaka kuomba radhi kwa telegram.
Apo mimi ndo hua najilazmsha Hitler sijui alikua na akili gani kuwaza kuivamia soviet..tukirudi nyuma hakuna nchi ya ulaya yoyote ile ilio kua na uwezo wa kupigana na Mjeruman...
ukifatilia historia vizuri ya WW2 inasema mpaka Waziri mkuu wa wingereza Wakati huo alikua anamwomba rais wa US aingilie vita..lakin US alikataa na kusema yeye atabaki neutral..mfaransa ndio alikua anamwogopa sana ujerumani baada ya kupigwa ile vita aliyonyang'anywa makoloni
Hio ina maana kua Mjeruman alikua na uwezo wa kupigana na ulaya yote akiwa Peke yake na Kweli alizipiga bahadhi ya nchi na aliziteka...ua najiuliza ni nini pia kilimtuma haivamie USSR...?...tamaa yake ilimponza sana
Usiwe na wasiwasi Mkuu ila Mkulu pale Magogoni kasema pesa ipo.....??Na sie wabongo tutengeneze letu
Pesa IPO wakt wanafunz hawana mikopo,walim hawajalipwa madai yao,serikali imeshndwa kuajili,bandarin empty,mzunguko wa pesa umekua mdogo sana,biashara zinafungwa kila siku,n.k... Labda waombe watengenezewe kwa mkopoUsiwe na wasiwasi Mkuu ila Mkulu pale Magogoni kasema pesa ipo.....??