Meli za kivita za Urusi kupitia bahari ya Uingereza

Kama kuna mtu anaweza nipa data ambayo ktk vita vikuu vya kuangamiza utawala wa hilter kati ya malekani na urusi nani aliyekuwa wa kwanza kuingia mji mkuu wa Ujerumani na kupepea bendera yake.
Mimi nasema ni Rusia
 
Kama kuna mtu anaweza nipa data ambayo ktk vita vikuu vya kuangamiza utawala wa hilter kati ya malekani na urusi nani aliyekuwa wa kwanza kuingia mji mkuu wa Ujerumani na kupepea bendera yake.
Mimi nasema ni Rusia
1477135602161.jpg
1477135613054.jpg
1477135622412.jpg
 
Kama kuna mtu anaweza nipa data ambayo ktk vita vikuu vya kuangamiza utawala wa hilter kati ya malekani na urusi nani aliyekuwa wa kwanza kuingia mji mkuu wa Ujerumani na kupepea bendera yake.
Mimi nasema ni Rusia

khe! berlin iliyosurrender mapema tu huku mjapan akiendelea kukinukisha. uliza mjapan alitulizwa na nani? na huo ndo ukawa mwisho wa vita
 
Msitoke mapovu sana.
Rusia kachukua crimea na anatawala pamoja na kelele za us na washilika wake.
Rusia anamiliki part of ucrain pamoja na na kelele za mmalekani na ulaya nzims.
Rusia alimwambia us pamoja na ulaya nzima mkiweka makombola yenu poland nayashambulia.hadi leo hayajawekwa.
Us na ulaya silaha wanayo tegemea ni vikwazo na rusia hadi leo anavyo na ana survive.
Us na ulaya silaha yao kubwa ipo ktk kukontrol bei ya bidhaa muhimu duniani kama mafuta. Bei ya mafuta ilishuka makusudi kumdhoofisha urusi lkn hadi leo bado kawa mhogo mchungu kwao.

Sasa jiulizeni wenyewe vita ipi malekani na wenzake walishaishinda hadi leo?

Mpaka hapo mmeshajua nani Kidume
Hzo missile defenses huko Poland ziwekwe Mara ngp... Tena zimedizainiwa kuweza pia kurusha na Cruise missiles(interceptor&cruise missiles pamoja) km ile S300V(Sa-12) ya mrusi... Russia alilalama lkn US hakusikiliza akaweka missile defenses na hakuna alyezishambulia mpk Leo... Kifup ni kwamba US na Russia hawatokuja kupgana directly ht siku moja bali kupitia vibaraka wao km hvyo huko Syria,Iraq, etc... Na kuhusu Syria, Russia Ana haki ya kuilinda Syria kwa hali na Mali km mshirika wake mkuu kutokana na mkataba waliosaini 1946 km sikosei ni km vile US ambavyo angeilinda Israel au S.Korea km mrusi angetaka kuzishambulia na mrusi asingeweza tia mguu hpo Ila kwa US alivyo hatak kushindwa hyo ngoma ya Syria bado mbichi anataka tyu amtie mwenzake hasara huku bei ya mafuta ikiendelea kushuka hatimaye ashindwe kutekeleza project sake nying na muhimu za kijeshi km hyo ya PAK FA, PAK DA,S500,dev.of 6th gen fighter jets, etc
 

Attachments

  • Screenshot_2016-10-22-14-30-30.png
    Screenshot_2016-10-22-14-30-30.png
    89.8 KB · Views: 51
  • Screenshot_2016-10-22-14-30-38.png
    Screenshot_2016-10-22-14-30-38.png
    51.2 KB · Views: 43
Kwa mujibu wa wikipedia hiyo meli ya kubebea ndege iliamuliwa kutengenezwa mwaka 1981, ikazinduliwa mwaka 1985,ikatanbuliwa mwa 1990 na ikaanza kufanya kazi rasmi mwaka 1995 na ikaboreshwa zaidi kwa kuwekewa mifumo ya kisasa mwaka 2015
Endelea kushusha nondo mkuu
 
Kaweka mwaka uu hizo misile pamoja akiambatanisha hoja ya kuomba ruhusa kwa mrusia ya kuwa hawajaweka kwa ajili ya kumshambulia.
Alafu huo mkataba wa kuweka hayo makombola umebadilishwa kama ilivyokuwa mwanzo ya kuwa hizo misile system zimilikiwe na nchi husika.
Syatem za misile zilizowekwa poland na romania ni za Nato. Na wala sio za mromania au mpoland kama alivyotaka kufanya raisi bush.
Na nivugumu nato kumshambulia rusia sababu sio wote wapo against.
Kama USA ina nguvu kwa nini Misile system asimpe Mpoland .
Rusia kasema S400 anampa Syria na kampa pamoja na mmarekani kuleta nyodo.
 
Michango ya watu kwenye uzi huu nimethibitisha bila shaka yoyote mm ni kilaza.
 
Kaweka mwaka uu hizo misile pamoja akiambatanisha hoja ya kuomba ruhusa kwa mrusia ya kuwa hawajaweka kwa ajili ya kumshambulia.
Alafu huo mkataba wa kuweka hayo makombola umebadilishwa kama ilivyokuwa mwanzo ya kuwa hizo misile system zimilikiwe na nchi husika.
Syatem za misile zilizowekwa poland na romania ni za Nato. Na wala sio za mromania au mpoland kama alivyotaka kufanya raisi bush.
Na nivugumu nato kumshambulia rusia sababu sio wote wapo against.
Kama USA ina nguvu kwa nini Misile system asimpe Mpoland .
Rusia kasema S400 anampa Syria na kampa pamoja na mmarekani kuleta nyodo.
Hahaha.... Dah embu mwambie Yule Apollo akuelekeze kidg jins dunia inavyokwenda na jins hzo system zinakua maaana kwenye Pro Russia me namwelewa huyo Apollo, Elungata, na Yule Bukyanadi cjui embu wafate wakueleweshe kdg then ndo urudi hpa tuendeleee na nondo
 
Kundi kubwa la meli za kivita za Urusi litapitia katika mlango wa bahari wa Uingereza.

Meli hizo zinaelekea Syria ambapo Urusi imekuwa ikisaidia wanajeshi wa Rais Bashar al-Assad kukabiliana na waasi.

Uingereza imetuma meli mbili zake za kivita kufuatilia kundi hilo la meli.

Wizara ya ulinzi ya Uingereza imesema zitafuatiliwa "hatua kwa hatua" zikiwa karibu na maeneo ya bahari ya Uingereza.

Meli moja ya kubwa, ambayo inaaminika kuwa sehemu ya msafara huo wa meli, iliingia kwenye mlango huo wa bahari wa Uingereza (English Channel) kupitia karibu na eneo la Ramsgate.

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wameshutumu vikali hatua ya Urusi kuendelea kushambulia maeneo ya mji wa Aleppo kwa mabomu.

Maeneo ambayo meli hizo za Urusi zinapitia baharini ni ya kimataifa, na hayamilikiwi na Uingereza, lakini waziri wa ulinzi wa Uingereza Michael Fallon amesema ni lazima wazifuatilie meli hizo "kama sehemu ya kujitolea kwao kuilinda Uingereza."

Meli hizo za Uingereza HMS Duncan na HMS Richmond ziliondoka bandarini Portsmouth Jumanne kufuatilia meli hizo za Urusi ambazo zilikuwa zikielekea kusini kutoka Bahari ya Norway.

Meli kubwa katika msafara huo wa Urusi ni meli kwa jina Admiral Kuznetsov ambayo ndiyo pekee ya Urusi yenye uwezo wa kubeba ndege za kivita. Meli hiyo inaweza kubeba ndege 50 na ina silaha hatari zikiwemo makombora ya kushambulia meli.

Mwandishi wa BBC aliyeko Moscow Steve Rosenberg anasema meli hizo zinakusudiwa kuimarisha uwezo wa Urusi kutekeleza shughuli za kijeshi Syria.

Hata hivyo, pia ni kama juhudi za kutuma ujumbe kwa nchi za Magharibi kwamba Urusi pia ina uwezo mkubwa kijeshi.
Image caption Admiral Kuznetsov inaweza kubeba ndege zaidi ya 50

Urusi tayari ina meli 10 karibu na pwani ya Syria ambazo zimekuwa zikitumiwa kushambulia waasi nchini humo.

Ingawa EU iliiwekea vikwazo Urusi kutokana na mzozo wa kivita mashariki mwa Ukraine na hata ya Urusi kuchukua umiliki wa Crimea, mataifa ya EU hayajaweza kuzuia Urusi kuingilia kijeshi Syria.

CHANZO: BBC Swahili
... najaribu kufikiria hii dunia inakoelekea sasa hivi sijajua maana putin hasikii la mhadhini wa la mnadi swala.. mda si mrefu ltatokea jambo litakalotoa historia nyingne katika hii dunia
 
Marekani licha ya kuwa Ana vinu vya Nyuklia lakini bado anamwogopa Mrusi, unajua kwanini, Mrusi Ana vinu vingi vya Nyuklia kuliko nchi yoyote ile duniani
 
Hahaha.... Dah embu mwambie Yule Apollo akuelekeze kidg jins dunia inavyokwenda na jins hzo system zinakua maaana kwenye Pro Russia me namwelewa huyo Apollo, Elungata, na Yule Bukyanadi cjui embu wafate wakueleweshe kdg then ndo urudi hpa tuendeleee na nondo
Kumbe wewecunategemea kuelezwa sio kufanya uchambuzi.
Ingia ktk net angalia obama alivyotupilia mbali mpango uliowekwa na Raisi bush. Kuwapa poland na romania hiyo mitambo.
Na rusia alisema ukiwapa na kupa dakika tu.
Obama kabadilisha mpango huo na kuweka umilikaji uwe wa Nato.
 
Tunaendelea wadau........ngoja tuangalie hiz kambi zilivo nanan yuko vizur kuliko mwingine..tuanze na marekan...marekan ipo pamoja na saudia rabia katar bahrein izrael umoja wafalme zakiarabu kwaupande mmoja ....tatizo kubwa kwahawa washirika wamarekan nimamwinyi hawatafuti tecnologia yao wala mfumo wao mzur kwaajili tauliz nahata ukiwaangalia nimabwanyenye nazile kanzu zao mpaka zinaburuza chin wakitembea kifupi hawa washirika niwavivu wakutupa wasioona mbele wao marekan amewadanganya kua atawapa uliznz wauhakika hivo wasiwe nawas mpaka imefikia kiongoz wao wa hiz nnchi ambae nisaudia amepewa ulinz na wamarekan anaaskar takriban 20000 wanaohakikisha usalama wakifalme pale maka kwann nimesema nikiongoz wao nikwasababu kitaratibu hawa wakolon wakimarekan wanapowatawala lazima mmoja awe kiranja wenu sa mtakubaliana namm kua saudia nikiranja wahuu upande wamarekan anachokanya saudia ni kuhakikisha kila anaetetea haki yakiislam naile alkaaba tukufu huyu nigaidi atauwawa kinyama naule utawala wakiflme nakwasababu anaemjua gaid nimmarekan pekee hivo hakuna atakaehoj kwan maerkan wakishakuita gaid bas imeshapitishwa nadunia nzima nakwasababu hawa niwashrika wake kamwe namisheni hii mmarekan anajua sababu yake hakutakua nashida watauawa maadhal2 wanahatarisha maslai yawamareka tatizo hapa nimoja saudia na washirika wake wanachorwa nawamarekan kwasababu wakat anawadanganya kua atawalinda huku anampa mizrael nguvu nauwezo wakutosha nateknologia anayotaka anamfanya kua mwenyenguvu mashariki yakat hivo atamtumia na hao wajinga wenzake akichoka anamuacha au kumfanya kama gadaf hii ndo amerka ambayo weng hawaijuiwakati wale mabwanyenye wanaona wanasidiwa kumbe mmarekan anawachora nandomaana kama mnafatilia habar waflme wa saudia wamekua wapumbavu mpaka sasa wanashirikiana na waizrel kwenye mambo meng2 kama kipiga sirya pia wakat wa palestina wa ghaza wanauawa wao hawajawahi kuikemea izrail kifupi wamebanwa nawamarekan mpaka hawana namna nika umemuoa mkeo mkaishi miaka mingi ukaanza kumlawiti nidhamb nanikitu kibaya lakin kwasababu amekaa naww muda anakua hana jinc inabakia kua nisiri nabaadae kwake inakua kawaida nakuja saivi kuona upande wa urus nafaida aliyonayo nawashirika wake wa mashariki yakat msiondoke waungwana nakama napatia nitimien clip
Ona sasa. Uandishi gani huu. Umejaza kitabu kizima bila kuweka kituo hats sehemu moja. Kaaaaah!
 
Back
Top Bottom