Nyota Ndogo
Senior Member
- Aug 7, 2011
- 150
- 33
sawa mkuu,,, hakuna haja ya kubishana sana kwa sasa,,, kama great thinkers, lets wait kwa hiyo idadi kamili,, tuzidi kuwafariji ndugu zetu walioptwa na msiba huu,,, pole zangu za dhati pia kwa rafiki yako ambaye baba yake na mdogo wake pia walikuwepo kwenye meli hiyo
na nchi hii ilivokuwa masikini............wamekata umeme tangu saa 12 na nusu.
ngoja tusubiri habari za saa mbili usiku (kupata taarifa za tukio la jana usiku).