Meli ya MV Spice Islander, yazama ikelekea Pemba; wengi wahofiwa kupoteza maisha

Kama ameomba msamaha asamehewe bila masharti wala masimango, regardless amekuwa mnafiki au vipi! <br />
si imeandikwa samehe saba mara sabini? <br />
La msingi kaomba msamaha.<br />
Tosha naungana na Mr Toyo nimewasamehe.
<br />
<br />

Mkuu,
Kuomba radhi kwa muungwana sio swala la kukurupusha kama alivyofanyiwa Lundenga kutoka vodacom.
Kwanza anatakiwa alione kosa, akubali kakosea na kukiri SABABU zilizopelekea kufanya hayo makosa licha ya tahadhari iliyokuwa inatolewa tangu asubuhi kuhusu hilo shindano. Halafu kwa DHATI YA NAFSI YAKE, AOMBE RADHI akijutia na kudhibitisha kutolirudia kosa.
Huyu Lundenga kabanwa na watu wa Voda halafu anatuletea unafiki na sisi kwa akili zetu timamu tuseme tumemsamehe!? Huo ni upuuzi!
 
Hiyo siyo issue ya msingi. Issue kubwa ni nini kilisababisha au nani alisababisha ajali iliyoua watu wengi wasiokuwa na hatia. Tukipoteza muda kuangalia nani alilipia ukumbi wa mashindano ya ulimbwende tutashindwa kupata majibu sahihi ya tatizo kubwa la ajali nchini ambalo limetamalaki kwenye sekta zote za usafiri. Waingereza wanasema &quot;We risk missing the bigger picture of the problem&quot;.
<br />
<br />
Mkuu, watu wanajitahidi bila aibu kudivert attention ya watu. WAZEMBE TUNAOTAKIWA KUWAWAJIBISHA NI WAMILIKI WA MELI NA WATENDAJI WALA RUSHWA WA SERIKALI.
 
Yaani hata waogeleaji mpaka watoke South Africa,
Jeshi letu la Maji linafanya kazi gani?
Vipi kuhusu jeshi la Anga nalo?
Hatuna vita kwa sasa wanafanya kazi gani? Hapo ndipo ilikua pa kuonyesha umahiri wao.
Wanajeshi wanalipwa tu mishahara ya bure na kuoteana vitambi,
Bora kiwake tu kama Libya tushikishane adabu!!
 
MELI ya MV Spice Islanders iliyopata ajali mwishoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo vya takriban watu
200 na majeruhi 619 ambao waliokopolewa, ilibeba abiria 3,000 wakati
uwezo wake ni kubeba abiria 600 tu.

Hii ni zaidi ya Tamaa,Uzembe wa kupindukia
 
Ni hofu, huzuni na majonzi, zimetanda huku pemba. Mimi naishi huku Pemba nimepata taarifa tangu saa tisa usiku za ,redio ZENJ FM, ESQUAMA Vimekuwa vikitoa taarifa hizo kweli ajali imetokea na asubuhi hii wanasema KMkM (jeshi la kujenga uchumi zanzibar) wapo ktk eneo kwa uokozi na baadhi ya miili imesha na hiyo meli sasa inasukumwa na mawimbi kuelekea Tanga. serikali lazima iwajibike kwani Pemba imesahaulika katika kila sekta kama vile hakuna watu.

MUNGU KTK CHRISTO YESU AWAFARIJI WENZENTU WALIOFIKWA NA MSIBA HUU MKUBWA
jamani msiba ni wetu sote waliokufa ni watanzania tatizo la nyie wapemba sijui niwaiteje nakosa neno kama ni ubinafsi sijui kama ni kupenda muonekane mnatengwa sijui nakosa neneo .

Ajali ngapi zimetokea hatusemi wachaga wamekufa, au wasukuma wamekufa, au wazaramo zote tunasema wenzetu wamekufa na wengine kuwa vilema. Meli ilizama MV bukoba hatukusema wasukuma na wahaya ndio waliio kufa leo MV spice imezama unakuja kwa kuwa eneo ililozama ni pemba basi na upemba umeingia so ingezama eneo la unguja ingekuwa waunguja mbona hivyo.

Tafuta solution sio kulalamika wapemba wamesahaulika na serikali iwajibike. Hayo mabasi na pikipiki zinaoua watu kila siku huko bara hasa eneo la mikumi mbona hatusemi walugulu. na wakati vyanzo vinajulikana vingine ni kubeba watu kupita kasi, mwendo kasi na kadhalika na ajali zingine abiria wanachangia kwa ushabik,i au hakuna njia nyingine za kusafiri kutokana na shida ya usafiri ya wakati huo hivyo mtu inakulazimu kuwa overloaded hivyohivyo ukiomba salama ya kufika.

uwajibikaji uwepo na pia tusaidiane jinsi ya kuepusha ajali kama hizi zisitokee mbeleni lakini sio lawama za upemba, uunguja na ubara, mbona hivyo nyie. Fikiria chukua uamzi.
 
Mv spice islander wakati wa uhai wake

default.jpg
 
Sababu zile zile, tabia zile ...



Haki ya mungu Wa Africa tuna laana , yaani miaka takribani 7 kupita inatokea ajali kama ileile, tuna la kujifunza
 
Back
Top Bottom