Does this mean they had no idea of what had happened in Haiti? Au walikuwa wanaenda kusaidia? Au walikuwa wanapita kwenda mahali kama Dominican republic?
If none of the above are true, and they were merely there to witness what was going on, then it was truly insensitive and inhumane of them! Wakiongozwa na captain wao.
Inasemekana kampuni inayomiliki meli hiyo imekuwa na uhusiano wa kitalii na Haiti kwa miaka mingi na uamuzi huo ulifanywa na kampuni. Nadhani ilikuwa stop-over iliyokuwa kwenye schedule kabla ya tetemeko. Hivi serikali ya Haiti imeishia wapi, tumeshamuona Raisi (siku ya kwanza tu), lakini mawaziri, meya wa Port-au-Prince na viongozi wengine wameishia wapi? Nadhani wangesaidia kusimamia mambo kama haya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.