maharage ya ukweni
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,231
- 2,400
Huyu sheikh sio mtu wa mchezo mchezo
Itakuwa aliyaagiza kabla kiwanda hakijafungwa Mkuu
Kweli kabisahuu uandishi andikiana na mpenzi wako huku tuko watu wazima kama wazazi wako. Kuwa na adabu na uzingatie uandishi bora.
KWA kweli yaanihuu uandishi andikiana na mpenzi wako huku tuko watu wazima kama wazazi wako. Kuwa na adabu na uzingatie uandishi bora.
Danganya toto . .Malori 600 ya nini wakati nilisikia anafunga kiwanda!
Wazaliwa pabaya ni wap??ha habhaKampeni ya mafisadi ya kwamba kiwanda kimesitisha kazi,sijui kuhamia Kenya nk.ndio imekufa hivyo.njoon na kampeni nyingine enyi wazaliwa pabaya
Tatizo lako kubwa ni UVIVU, ikiwa kwenye kuandika tu unaandika kwa "short short" kujituma kwenye kazi kutakua na hali gani kwako? Jifundishe kuandika ili ueleweke na kila mtu,pia punguza uvivu ni adui sana wa maendeleo yako.Huyu jmaa anatisha cna hv mm ht bjji cna yy ananunua malor 600 hz kufuru cna
Illa billahLaa haulaa wala kuwwata!
Ww ulikuwa unamchukulia ki spoti spotiHuyu sheikh sio mtu wa mchezo mchezo
Unawezaukawacondom ukarusha kilasehemuu unaby. Mzuriii mwishooo ukaiacha chumbani Kama ilivyooo usiniulize ulitumiajeww*Anaandika Robinson Metinyiku*
A nightmare bolted with silk wire.., kuna maswali najiuliza hapa mwenyewe, halafu naishia kusema, eeh Mola tusemehe sisi waja wako..,
Sasa kama hakukuwa na tatizo lolote wamekutana kuongea nini????
Na Rais mwenyewe kasema wajanja walitaka kupiga deal.., hao wapiga dili ni wapi!?
Halafu anatokea mtu na kusema hakukuwa na tatizo lolote...,
Needs not a secondary certificate to reason this...
Huyu sheikh sio mtu wa mchezo mchezo