Medicine vs Pharmacy

Master of shit!!! Master kwa manesi ambao hawana la kufanya bila uwepo wenu lkn sio master of pharmacist...
Kujiamin au kutokujiamin ni individual factor huwez kugeneralize maana hata mm nmekutana na MD wasiojaiman lkn siwez kusema MD wote hawajiamin...
Pharmacy iko vr diverse kaz za pharmacist haianzii hospitali na wala haiaiishii hospitali kuanzishwa kwa pharm D ni ili apatikane mfamasia ktk ngaz ya bachelor anayedili na mambo ya clinical tuuu with shallow knowledge kwenye aspect nyingne sasa endelea kujilinganisha na mfamasia wakat wewe nje ya hospitali huna la maana zaid ya illegal abortion...
Utakataa tu ukweli, but facts are there to stay. In Africa, Pharmacy inayotumika ni Hospital Pharmacy. Nchi nyingine za Africa kama Nigeria na Afrika Kusini na pia nchi za Ulaya na america washaanza kutengeneza kozi mpya (Pharm D). Sijui ni kuwa too desperate to be identified as a Dr au nini. MD ni Mtu anaefanya Prescription anakupa tu wewe kama mtoa dawa.
 
Fanya kile unachokipenda ili hata ikitokea mikiki mikiki na madaliko usighafirike na uendane nayo ipasavyo.
Kama una akili ya nje ya box pharmacy inakupa uwanja mpana wa kusolve changamoto nyingi za nchi hii mf community pharmacy nyingi zinakua run na wafanyabiashara hivyo ethics ni changamoto lakini ukianzisha yako na ukatoa huduma bora utapiga pesa na jamii itafaidika utatrain wafanyakazi ukazidi kupanuka (idea siwezi weka hapa zitaibwa but ukidhamiria kila kitu kipo mtandaoni), kuna chance ya kutengeneza vitu mbalimbali ukiachilia dawa kuna shampoo na vitu mbali mbali vya akina mama....etc
Udaktari ukifanya toka moyoni hautokusumbua sababu changamoto zake ni nyingi zaidi, mazingira ya kazi ya nchi hii ni magumu watu wanafariki ilihali kwa elimu yako unaweza kufanya kitu, maslahi wamebana motivation hamna, kujiari hapa kunahitaji msuli mrefu kidogo na mwisho kabisa safari ya kuwa specialist ni ndefu na inahitaji mapenzi ya dhati (kuishia kuwa general doctor kwa maoni yangu binafsi sioni kama ina mvuto) mwisho kabisa ukifanya kazi yako kwa ufanisi bila janja janja utajijengea jina kubwa na jeshima ambayo itakubeba kwenye mambo mengi zaidi ya utarajiavyo (sema hii inaplay part kubwa sana kwa specialists)
Andiko refu sana... jitahidi kusoma kibishi
 
Sijakupata vzur hebu nieleweshe mkuu

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
 
wandugu heshma yenu...
Hivi kwa m2 anayetaka kusoma medicine inategemea na matokeo yake ya 4m four pia or ni 4m six 2?
Kama yanategemea matokeo ya 4m four kwa m2 mwenye C-Phy C-Chem B-Bios D-Eng F-Math anaweza kwenda medicine kama matokeo yake ya 4m 6 yatakaa vizuri?
Kama haiwezekani kwa tokeo hilo hapo juu ni kwa nini?
Kwanza jifunze kuandika vizuri baada ya hapo ndio uchangie mada. Ebo!
 
Angalia mwenyewe unapenda nini.Na je akili yako itamudu?Ndiyo muhimu kuliko mengine.Watu wa famasi bila shaka watakuvutia upande wao na wa medicine hali kadhalika.Kama utaanza mwaka wa masomo ujao,una miaka minne ya kufanya Pharmacy kama sikosei na mitano ya medicine kwa Tanzania.Hiki ni kipindi kirefu na mabadiliko yanaweza kutokea hapo katikati.Ukifanya kile unachopenda,hutaathirika.
Umenena kweli kiongozi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom